Homa ya kidinga popo yasambaa Tanzania, mmoja athibitika kufariki
Mbu anayeambukiza kidinga popo
Nchini Tanzania watu 147 wamethibitika kuwambukizwa ugonjwa wa homa ya kidinga popo yaani homa ya dengu huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo.
Kasi ya ugonjwa huo ambao ikiwa hautadhibitiwa unaweza kuleta madhara dalili zake zinashabihiana na zile za malaria kwani unaambukizwa kwa kupitia mbu na unadaiwa kusambaa katika maeneo mengine nchini Tanzania ingawa kwa sasa uko zaidi mjini Dare salaam.
Taarifa zinasema kuwa kuna visa vya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini
9 years ago
StarTV12 Sep
Soma kiundani taarifa za watu watano wafamilia moja kupewa Sumu na mmoja kufariki,
Mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la Mbuze Masibo mwenye umri wa miaka 76 adaiwa kuwapa dawa inayodaiwa kuwa na sumu watu watano wa familia moja na kusababisha kifo cha mtu mmoja.
Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mawereru Wilaya ya Geita Septemba 8 majira ya saa tatu usiku ambapo mganga huyo alidai kuwa dawa hiyo inatibu magonjwa mia moja na familia hiyo ikaona ni vyema kunywa kwa kuwa baba wa familia alikuwa akisumbuliwa na vichomi.
Inaelezwa kuwa mganga Masibo alifika...
5 years ago
BBCSwahili01 Jun
Virusi vya corona: Rwanda yabadili msimamo wa kuondoa kafyu baada ya mtu mmoja kufariki
10 years ago
Vijimambo07 Mar
WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.
![SIMBA V YANGA 8](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/SIMBA-V-YANGA-8.gif)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-rooczUGFL7Q/XoHZ4cMAHWI/AAAAAAAAxWg/8dw-OMw8_XMYrSxc4RRbAXBUSlp1_MzDQCLcBGAsYHQ/s72-c/4befba8c566042c69d0300bc1110d33c_18.jpg)
MSAIDIZI WA NETANYAHU ATHIBITIKA KUWA NA VIRUSI VYA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-rooczUGFL7Q/XoHZ4cMAHWI/AAAAAAAAxWg/8dw-OMw8_XMYrSxc4RRbAXBUSlp1_MzDQCLcBGAsYHQ/s640/4befba8c566042c69d0300bc1110d33c_18.jpg)
Afisa mmoja wa serikali amesema kuwa hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa maelekezo ya wizara ya afya, na kusema msaidizi huyo wa bunge ambaye vyombo vya habari nchini Israel vimemueleza kuwa yuko katika hali nzuri, atafanyiwa uchunguzi.
Kwa kawaida wizara ya afya...
10 years ago
Dewji Blog08 Nov
Mayai mabovu yasambaa Dar !
Na Mwandishi wetu
AFYA za wakazi wa jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kula mayai ya kuku yaliyooza, ambayo yameingizwa kinyemela nchini na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni wawekezaji.
Mtoa taarifa hii anasema mayai hayo yamekuwa yakisambazwa kwa wingi mitaani huku hatua stahiki hazichukuliwi .
Alisema kama Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi itashindwa kuwadhibiti wakezaji hao wasio waminifu wakaingiza mayai hayo kinyume na sharia basi serikali ijiandae kwa fedha nyingi...
9 years ago
AllAfrica.Com17 Nov
Kidnapped Homa Bay Official's Three Kids Found in Tanzania
The Star
AllAfrica.com
A Homa Bay official's three children who were kidnapped last Saturday and a Sh6 million ransom sought have been found in Tanzania. Country secretary Isaiah Ogwe's two daughters, aged four and 10, and his seven year-old son were found at a hideout at ...
Help us find abducted children, Homa Bay family pleadsThe Standard Digital News (satire) (press release) (registration) (blog)
all 5
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona
![](https://1.bp.blogspot.com/-p7EmU5tMFAg/XpiupQdZxOI/AAAAAAALnNY/uAo4-BOxndUPnufuYEK6iA7hPGpzEDl-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-04-16%2Bat%2B7.47.32%2BPM.jpeg)
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita.
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...
10 years ago
Bongo524 Nov
Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni