Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Homa ya kidinga popo yasambaa Tanzania, mmoja athibitika kufariki

Mbu anayeambukiza kidinga popo
Nchini Tanzania watu 147 wamethibitika kuwambukizwa ugonjwa wa homa ya kidinga popo yaani homa ya dengu huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo. Kasi ya ugonjwa huo ambao ikiwa hautadhibitiwa unaweza kuleta madhara dalili zake zinashabihiana na zile za malaria kwani unaambukizwa kwa kupitia mbu na unadaiwa kusambaa katika maeneo mengine nchini Tanzania ingawa kwa sasa uko zaidi mjini Dare salaam. Taarifa zinasema kuwa kuna visa vya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini

Shirika la afya duniani linasema kuwa mlipuko wa homa ya Middle East Respiratory Syndrome au MERS nchini Korea Kusini ni mkubwa

 

9 years ago

StarTV

Soma kiundani taarifa za watu watano wafamilia moja kupewa Sumu na mmoja kufariki,

 

Mganga wa kienyeji aliyejulikana kwa jina la Mbuze Masibo mwenye umri wa miaka 76 adaiwa kuwapa dawa inayodaiwa kuwa na sumu watu watano wa familia moja na kusababisha kifo cha mtu mmoja.

Tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mawereru Wilaya ya Geita Septemba 8 majira ya saa tatu usiku ambapo mganga huyo alidai kuwa dawa hiyo inatibu magonjwa mia moja na familia hiyo ikaona ni vyema kunywa kwa kuwa baba wa familia alikuwa akisumbuliwa na vichomi.

 

Inaelezwa kuwa mganga Masibo alifika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Rwanda yabadili msimamo wa kuondoa kafyu baada ya mtu mmoja kufariki

Uamuzi wa saa sita usiku wa serikali kufutilia mbali hatua ya kupunguza masharti ya kukabiliana na virusi vya corona dakika chache kabla ya kuanza kutekelezwa, yanajiri baada ya Rwanda kurekodi kifo chake cha kwanza cha virusi vya corona mbali na kuongezeka kwa visa vipya.

 

10 years ago

Vijimambo

WIKI ENDI HII NI YANGA NA SIMBA HOMA KUSHUKA HOMA KUPANDA WACHEZAJI WENYEWE ROHO KWATU.

SIMBA V YANGA 8Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) limetangaza viingilio vya mchezo wa siku ya jumapili kati ya Simba SC na Young African utakaofanyika kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majira ya saa 10 kamili za jioni.Mchezo huo utachezeshwa na mwamuzi Martin Saanya kutoka Morogoro, akisaidiwa na Soud Lila (DSM) mshika  kibendera wa kwanza, Florentina Zabron (Dodoma) mshika kibendera wa pili, Mwamuzi wa akiba Israel Mjuni (DSM), na kamisaa wa mchezo ni Ame Santimeya (DSM).Viingilio vya mchezo...

 

5 years ago

CCM Blog

MSAIDIZI WA NETANYAHU ATHIBITIKA KUWA NA VIRUSI VYA CORONA

   Msaidizi wa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amethibitika kuwa na virusi vya Corona, maafisa wamesema leo, lakini haijafahamika mara moja iwapo kiongozi huyo mwenye umri wa miaka 70 ameambukizwa ama kazi yake itaathirika.
 Afisa mmoja wa serikali amesema kuwa hatua zitachukuliwa kwa mujibu wa maelekezo ya wizara ya afya, na kusema msaidizi huyo wa bunge ambaye vyombo vya habari nchini Israel vimemueleza kuwa yuko katika hali nzuri, atafanyiwa uchunguzi.

 Kwa kawaida wizara ya afya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mayai mabovu yasambaa Dar !

Egg-In-Tray

 Na Mwandishi wetu

AFYA za wakazi wa jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kula mayai ya kuku yaliyooza, ambayo yameingizwa kinyemela nchini na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni wawekezaji.

Mtoa taarifa hii anasema mayai hayo yamekuwa yakisambazwa kwa wingi mitaani huku hatua stahiki hazichukuliwi .

 Alisema kama Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi itashindwa kuwadhibiti wakezaji hao wasio waminifu wakaingiza mayai hayo kinyume na sharia basi serikali ijiandae kwa fedha nyingi...

 

9 years ago

AllAfrica.Com

Kidnapped Homa Bay Official's Three Kids Found in Tanzania


The Star
Kidnapped Homa Bay Official's Three Kids Found in Tanzania
AllAfrica.com
A Homa Bay official's three children who were kidnapped last Saturday and a Sh6 million ransom sought have been found in Tanzania. Country secretary Isaiah Ogwe's two daughters, aged four and 10, and his seven year-old son were found at a hideout at ...
Help us find abducted children, Homa Bay family pleadsThe Standard Digital News (satire) (press release) (registration) (blog)

all 5

 

5 years ago

Michuzi

Sekta binafsi Tanzania inavyosaidia kupambana na homa ya kirusi cha Corona

KATIKA siku za karibuni kumekuwa na habari nyingi kuhusu hatua mbalimbali zinazochukuliwa kupambana na kuenea kwa homa ya kirusi cha corona.
Wiki hii serikali ya Tanzania imetangaza mpango kujenga hospitali ya kupambana na magonjwa ya mlipuko kama homa hii ya kirusi cha corona. Hospitali hiyo inayokadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 7 za Kitanzania inatarajiwa kumalizika ndani ya miezi sita. 
Mbali na hilo, ni faraja kubwa kuona nchi mbalimbali zinakuja pamoja kuhakikisha maisha...

 

10 years ago

Bongo5

Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni

Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila ‘denda’ imesambaa mtandaoni. Zari The boss lady Picha ya Diamond Platnumz na Zari iliyosambaa mtandaoni, huku Zari akiwa amevaa kofia […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani