Mayai mabovu yasambaa Dar !
Na Mwandishi wetu
AFYA za wakazi wa jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kula mayai ya kuku yaliyooza, ambayo yameingizwa kinyemela nchini na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni wawekezaji.
Mtoa taarifa hii anasema mayai hayo yamekuwa yakisambazwa kwa wingi mitaani huku hatua stahiki hazichukuliwi .
Alisema kama Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi itashindwa kuwadhibiti wakezaji hao wasio waminifu wakaingiza mayai hayo kinyume na sharia basi serikali ijiandae kwa fedha nyingi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Wakazi Dar walishwa mayai mabovu
AFYA za wakazi wa Jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kudaiwa kula mayai ya kuku mabovu ambayo yameingizwa nchini kinyemela na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni...
10 years ago
BBCSwahili13 Jun
Homa ya MERS yasambaa Korea Kusini
10 years ago
Bongo524 Nov
Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni
11 years ago
Michuzi16 Apr
Homa ya kidinga popo yasambaa Tanzania, mmoja athibitika kufariki
![mbu](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/lwisVIGfVyrmFlv70XYPpMOUNKqnA6D8-HkvqkhetLd67VGPysuTZUen4g7-bTaMArnwEadMEMX5dxICnnJnl4-rhTHsmTqAHA0RwEreyAcxV3ElB5e-J1oJTai60-cCBhQvh5sb=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/04/mosq1.jpg)
Nchini Tanzania watu 147 wamethibitika kuwambukizwa ugonjwa wa homa ya kidinga popo yaani homa ya dengu huku mtu mmoja akiripotiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo. Kasi ya ugonjwa huo ambao ikiwa hautadhibitiwa unaweza kuleta madhara dalili zake zinashabihiana na zile za malaria kwani unaambukizwa kwa kupitia mbu na unadaiwa kusambaa katika maeneo mengine nchini Tanzania ingawa kwa sasa uko zaidi mjini Dare salaam. Taarifa zinasema kuwa kuna visa vya...
10 years ago
Bongo509 Sep
Video ya mchezaji wa NFL akimpiga ngumi mkewe kwenye lifti hadi kuanguka na kuzimia yasambaa
10 years ago
Bongo512 Nov
Breaking: Geez Mabovu afariki dunia
11 years ago
Habarileo18 Mar
Kiini cha majengo mabovu chatajwa
UKWEPAJI wa gharama za ujenzi wa nyumba, unadaiwa kuchangia kuwepo majengo yasiyo na ubora katika maeneo mbalimbali hapa nchini.
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mfumo unachangia matokeo mabovu — Mhadhiri
MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Bashiru Ally, amesema tatizo la elimu nchini haliko kwenye alama wanazopata wanafunzi bali mfumo uliopo. Bashiru alitoa kauli hiyo alipozungumza na Tanzania...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oJSI3sXfh3WDvaNjOWDEr29EueevlJ3pNgkDNH4pNkvsgc8C6FyEb0V9OcsKakXMS2RbusQzSnZCqZrasg431v*jG3mK7pL8/GeezMabovu.jpg?width=650)
MWANAMUZIKI GEEZ MABOVU AFARIKI DUNIA