Home Shopping Centre yafunga biashara zake
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KAMPUNI ya Home Shopping Centre imefunga biashara zake zilizokuwa jijini Dar es Salaam na katika mikoa mingine.
Tangazo la kampuni hiyo yenye maduka yanayouza bidhaa mbalimbali za nyumbani na ofisini, lilitolewa jana katika ukurasa wa 20 wa gazeti la Daily News la nchini likisema imevunjwa kwa hiari.
“Umma unafahamishwa kuwa kupitia azimio maalumu la Oktoba 5, mwaka huu, Home Shopping Centre Limited imeamua kuivunja kampuni kwa hiari,” limesema tangazo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/home-shopping-center-2.jpg)
Home Shopping Centre nao kufunga maduka yao
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s72-c/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Home Shopping Centre yamzawadia mshindi wake wa kwanza wa shindano la 'pendezesha nyumba na HSC'
![](http://2.bp.blogspot.com/-1eKuunD_9bo/Uyc3FAvTHdI/AAAAAAAFUPI/ut98Xqa0l0E/s1600/Nadhir+akimkabidhi+hundi+mshindi.jpg)
Na Andrew Chale
KAMPUNI ya uuzaji wa bidhaa za majumbani na ofisini ya Home Shopping Centre (HSC) imemzawadia mshindi wake wa kwanza wa ‘pendezesha nyumba na HSC’, Rehane Jaffer zawadi ya sh 500,000. Shindano hilo linaendeshwa kwenye mtandao wa kijamii wa Facebook kwa jina la ‘Give a Way’. Mshindi alikabidhiwa hundi ya kiasi hicho cha pesa jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Meneja Mauzo na Masoko wa HSC, Nadhir Mubarak Bahayan ambaye aliwataka watanzania kushiriki shindano hilo...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75834000/jpg/_75834667_bn-448x252.jpg)
Nigeria shopping centre hit by blast
5 years ago
BBCSwahili15 Mar
Coronavirus: Mahakama Kenya yafunga baadhi ya shughuli zake
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LDeVDojZlIE/U0AZne_4HsI/AAAAAAAFYqw/Xfev_iE6iGE/s72-c/MMG29677.jpg)
CCM YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://1.bp.blogspot.com/-LDeVDojZlIE/U0AZne_4HsI/AAAAAAAFYqw/Xfev_iE6iGE/s1600/MMG29677.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IJBymaqZPxU/U0AZqoeTlPI/AAAAAAAFYq4/qPB9QtlvgSs/s1600/MMG29383.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kEEEVNUhKF0/Viu9bxU3vfI/AAAAAAABn64/ZKWQcscsuJ8/s72-c/IMG_8833.jpg)
CCM YATIKISA JIJI LA MWANZA,YAFUNGA KAMPENI ZAKE KWA KISHINDO
![](http://2.bp.blogspot.com/-kEEEVNUhKF0/Viu9bxU3vfI/AAAAAAABn64/ZKWQcscsuJ8/s640/IMG_8833.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-R2WwLtFiFgQ/Viu9atWvMGI/AAAAAAABn6w/JIZe1b4Z0Sw/s640/IMG_8829.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lfMgnJ8lVm0/ViviUXOkzCI/AAAAAAADBb0/RylErjfX5mk/s640/_MG_9655.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jul
Urasimishaji biashara na faida zake kiuchumi
UCHUMI wa Tanzania umeelezwa kuimarika huku pato laifa likikuwa kwa asilimia 7, lakini ukuaji huo hauna matokeo chanya kwa mwananchi. Moja ya sababu kubwa ni kwamba watu wengi hawajarasimisha rasilimali...
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YAFUNGA SHULE ZA AWALI HADI KIDATO CHA SITA KWA SIKU 30 KUIHAMI NCHI NA CORONA, YAFUNGA PIA MIKUSANYIKO YA SIASA NA MICHEZO
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu hatua za awali zilizochukuliwa na Serikali kutokana na kuwepo nchini virusi vya ugonjwa wa Corona.
DAR ES SALAAM, Tanzania
Serikali imezifunga shule za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30 na pia kuzuia mikusanyiko yoyote ikiwemo ya siasa na michezo ili kuihami nchi na ugonjwa wa Corona ambao umethibishwa kuingia nchini kufuatia kupatikana kwa mgonjwa mmoja wa ugonjwa huo hapa nchini.
Hatua hizo...
11 years ago
Bongo516 Jul
Diamond aruhusu watu kutumia picha zake kwenye biashara ya T-shits na Salon