Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hospitali ya AMI yafungwa rasmi

HATIMAYE Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Masaki Dar es Salaam, imefungwa rasmi na mmiliki wa jengo kukabidhiwa funguo zake.
Hospitali ya AMI na ya gharama ya juu, ilikuwa ikitoa matibabu kwa viongozi wa ngazi za juu wa Serikali, wabunge, mabalozi na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje ya nchi.
Kufungwa kwa hospitali hiyo ni kutokana na kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za Marekani milioni 1.6,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Hospitali ya AMI hatarini kufungwa

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
HOSPITALI ya AMI iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam iko mbioni kufungwa baada ya kushindwa kutekeleza amri ya Mahakama ya Rufaa ya Tanzania, iliyoitaka kuwasilisha mahakamani dola za Marekani 1,514,000 pamoja na kodi ya kila mwezi inayofikia dola 64,000 baada ya kukiuka mgogoro wa mkataba wa upangaji.
Jopo la majaji watatu wa Mahakama ya Rufaa, Mbarouk Mbarouk, Salum Massati na Katherine Oriyo waliiamuru African Medical Investments (T) Ltd (AMI) kufanya...

 

10 years ago

Mtanzania

Mali za Hospitali ya AMI zakamatwa na dalali

Pg 1Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
DALALI wa Mahakama, MEM Auctioneers and General Brokers Ltd, jana alikamata na kuondoa mali za Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Centre iliyoko Msasani Dar es Salaam, kutokana na kudaiwa kodi ya pango ya zaidi ya Sh bilioni tatu.
Akizungumza na waandishi wa habari hospitalini hapo mwakilishi wa kampuni hiyo ya udalali, Elieza Mbwambo, alisema kiasi hicho ni kodi ya pango ya zaidi ya miezi 26 kinachodaiwa na mmiliki wa jengo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Hospitali ya AMI kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu

3-ami

Na Mwandishi Wetu

Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6 (zaidi ya Shilingi Bilioni tatu za Kitanzania).

Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw....

 

10 years ago

Michuzi

Hospitali ya AMI hatarini kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu

Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za kimarekani milioni 1.6 (zaidi ya Shilingi Bilioni tatu za Kitanzania).
Hatua hii imefikiwa baada ya mabishano ya muda mrefu ya kisheria baina ya AMI na mfanyabiashara ambaye pia ni mmiliki wa jengo hilo, Bw. Navtej Singh...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda amtembelea mbunge Vita Kawawa anayepatiwa matibabu hospitali ya AMI jijini Dar

PG4A8390

Waziri Mkuu, Mizengo  Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. Kushoto ni mke wa mbunge huyo, Siwa Kawawa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

PG4A8411

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimpa pole Mbunge wa Namtumbo, MheshimiwaVita Kawawa ambaye amelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam kwa matibabu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

GPL

OFISI YA KANUMBA YAFUNGWA RASMI!

Stori:Waandishi Wetu
Inauma sana! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kusikia habari hii kuwa ile ofisi ya aliyekuwa mwigizaji kinara wa sinema za Kibongo, Steven Charles Kanumba ‘Marehemu Kanumba The Great’ iitwayo Kanumba The Great Films iliyokuwa maeneo ya Sinza-Mori jijini Dar imefungwa rasmi huku vitu vikihamishwa usiku. Ofisi ya Kampuni ya Kanumba The Great Films illiyopo Sinza Mori Dar imefungwa rasmi huku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya rais wa Kenya yafungwa rasmi

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imefunga kesi yake dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta .

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI NDOA YAFUNGWA RASMI

WAANDISHI WETU HUKU wakidaiwa kuogelea kwenye utajiri wa mabilioni ya fedha, nyota  wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibukia kwenye Gazeti la Amani na kusema kuwa, amefunga ndoa ya kimyakimya na mpenzi wake wa sasa, Zarina Hassan ‘Zari’ ambaye ni nyota wa muziki wa kizazi kipya, nchini Uganda na Afrika Kusini. Nyota  wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa na mpenzi wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete na Mkewe wamjulia hali mbunge wa Namtumbo Mhe Vita Kawawa aliyelazwa hospitali ya AMI jijini Dar es Salaam leo

aa4

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali Mbunge wa Namtumbo Mhe. Vita Kawawa aliyelazwa katika hospitali ya AMI jijini Dar es salaam akipatiwa matibabu ya tumbo. Katikati yao ni Mhe Adam Malima, nai bu Waziri wa Fedha na kushoto ni Daktari katika wodi hiyo.(PICHA NA IKULU).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani