Kesi ya rais wa Kenya yafungwa rasmi
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imefunga kesi yake dhidi ya rais wa Kenya Uhuru Kenyatta .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania23 May
Hospitali ya AMI yafungwa rasmi
HATIMAYE Hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Masaki Dar es Salaam, imefungwa rasmi na mmiliki wa jengo kukabidhiwa funguo zake.
Hospitali ya AMI na ya gharama ya juu, ilikuwa ikitoa matibabu kwa viongozi wa ngazi za juu wa Serikali, wabunge, mabalozi na wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje ya nchi.
Kufungwa kwa hospitali hiyo ni kutokana na kushindwa kulipa kodi ya pango kwa zaidi ya miezi 26, inayofikia zaidi ya dola za Marekani milioni 1.6,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hMNECPNor9-SfFSkrXVR9tWAyvR9RaaiQUhk5XnT1RQ4xNaOadXMARw5SKJ6Lw8b6z9ypLCtCF8AUfbVvqDpDqfIhNXcMtwm/BACK.jpg?width=650)
OFISI YA KANUMBA YAFUNGWA RASMI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LDRZ*VdxUTHJjsOlWI7U97hb-54*e-Id6Q1wTWxU1gQu34wI1PSmh9bBdz9lB1Mez9X8sEEw3T8xvVpMesME9Z8D3mOZ8yIw/thjty.jpg)
DIAMOND, ZARI NDOA YAFUNGWA RASMI
10 years ago
Michuzi04 Dec
Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda
![](https://2.bp.blogspot.com/-xqIaKTncqn4/VH_cFnF7ajI/AAAAAAABzYY/efKUwoaBj0c/s1600/141008160241_kenya_icc_640x360_bbc_nocredit.jpg)
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda
Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cpf3131BG5s/UzPEl7KKcEI/AAAAAAAFWu0/ocrMsM_F2Zc/s72-c/1.jpg)
Semina ya mawakala wa shindano la Redd's miss Tz yafungwa Rasmi
![](http://2.bp.blogspot.com/-cpf3131BG5s/UzPEl7KKcEI/AAAAAAAFWu0/ocrMsM_F2Zc/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SR7Ma-Jaeyo/UzPEnA0eHzI/AAAAAAAFWu8/Me1knMaQufI/s1600/4.jpg)
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
10 years ago
MichuziMASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO
10 years ago
GPLMASHINDANO YA SKAUTI NGAZI YA TAIFA YAFUNGWA RASMI MKOANI MOROGORO SEPTEMBA 26,2014
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Kesi Bunge la Katiba kunguruma rasmi leo