Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOSPITALI YA MWANANYAMALA YAZINDUA KITUO CHA HUDUMA JUMUISHI


Na Janeth Raphael, Michuzi TV

HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam imezindua kituo cha huduma jumuishi za kitabibu, Polisi, Ustawi wa kijamii na kisheria kwa malengo ya kuwasaidia wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia huku ikielezwa asilimia 44 ya wanawake wamepitia ukatili wa kimwili katika maisha yao.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam baada ya kupokea kituo hicho jumuishi cha mkono kwa mkono katika hospitali hiyo Mwenyekiti wa bodi ya ushauri wa Hospitali...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000

Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...

 

10 years ago

Michuzi

MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA

Manispaa ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam, imedhihirisha jitihada zake za kwenda na wakati katika huduma zake, baada ya kuamua kutoa huduma ya bure ya mtandao wa intrenet wa WiFi kwenye Kituo kipya cha Mabasi cha Sinza, jijini Dar es Salaam.

Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).

Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...

 

9 years ago

Michuzi

Benki ya Exim yazindua kituo chake cha huduma kwa wateja

 Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Selemani Ponda, (wa pili kulia) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kuhusiana  na  uzinduzi wa kituo kipya cha  huduma  kwa wateja wa benki hiyo kwa njia ya mawasiliano ya simu ikiwa ni sehemu ya mkakati wa benki hiyo kuboresha huduma zake kupitia teknolojia ya mawasiliano. Pembeni yake ni Mkuu wa Hazina wa Benki hiyo, Bw George Shumbusho (wa pili kushoto), Afisa masoko wa benki hiyo, Bw Abdulrahman Nkondo (kushoto)...

 

9 years ago

Michuzi

NHIF YAZINDUA KITUO CHA MAWASILIANO NA HUDUMA KWA WATEJA KUPITIA SIMU ZA MKONONI

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Michael Mhando akizungumza na vyombo vya habari wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano na Huduma Kwa Wateja (Call center) ambacho kitahusika na kupokea na kujibu hoja za wadau mbalimbali zitakazowasilishwa katika Mfuko kupitia Namba ya simu 0800 110063, barua pepe info@nhif.or.tz na mawasiliano kwa njia ya mtandao (Mitandao ya kijamii na simu za mkononi), uliofanyika leo kwenye makao makuu ya Mfuko huo, jijini Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA YAPOKEA KIZIMBA CHA TAKA NGUMU

  Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala  Dkt. Daniel
Nkungu akizungumza na wadau  wa  maendeleo, leo  jijini Dar es salaam katika hafla ya kukabidhiwa Kizimba cha Taka  chenye thamani ya zaidi ya milioni 9.ambapo amesema kizimba hicho kitasaidia kuzuia ifections.Mwanzilishi wa Kikundi cha (WOMEN OF SUBSTANCE),Mercy
Mchechu kulia akizungumza na Michuzi Tv katika hafla ya kukabidhi  Kizimba cha Taka ambapo amesema  ujenzi wa kizimba hicho umegharimu zaidi ya milioni
9.  Picha ya...

 

11 years ago

Michuzi

HOSPITALI YA RUFAA YA KCMC YAZINDUA HUDUMA YA UPASUAJI KWA NJIA YA DARUBINI

 Madaktari bingwa wakifanya upasuaji kwa njia ya darubini ikiwa ni teknolojia mpya kufanyika katika Hospitali ya rufaa ya KCMC, Teknolojia hiyo inadaiwa kuokoa muda na gharama za upasuaji pamoja na kupunguza vifo.  Madaktari KCMC wakimfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia Teknolojia mpya Darubini.  Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.  Zoezi linaendelea...

 

11 years ago

Michuzi

KIKUNDI CHA UPENDO WOMEN'S GROUP KILICHOPO BRUSSEL UBELGIJI CHACHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

Balozi wa Tanzania nchini ubelgiji Dr. Diodorus Kamala akisoma hotuba yake katika ghafla ya uchangishaji wa fedha kwa ajili ya kina mama na watoto waliopo katika wakati mgumu hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam Tanzania,Kushoto kwa balozi ni Balozi wa Kenya nchi Belgium Mh:Johson Uweru na pembeni wa balozi wa Kenya ni mwakilishi kutoka Madagasca mh: Norbet Richard Ibrahim,kulia kwa balozi Dr. Kamala ni balozi wa Burundi Dr.Felix. Wana Upendo Group wakiingia ukumbini katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar

DSC_0022

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.

DSC_0031

Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.

DSC_0053

Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR

Meneja wa Usalama wakati wa Kazi wa Kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Jonathan Mmari akizungumza machache. Walioko mbele kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Dkt. Ben Moshi na  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Bw. Phillipe Corsaletti wakiwa na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa Vilainishi vya Castrol vilivyoendana na uzinduzi wa kituo kipya cha Mafuta kilichopo Oysterbay jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani