HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA YAPOKEA KIZIMBA CHA TAKA NGUMU
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala Dkt. Daniel
Nkungu akizungumza na wadau wa maendeleo, leo jijini Dar es salaam katika hafla ya kukabidhiwa Kizimba cha Taka chenye thamani ya zaidi ya milioni 9.ambapo amesema kizimba hicho kitasaidia kuzuia ifections.Mwanzilishi wa Kikundi cha (WOMEN OF SUBSTANCE),Mercy
Mchechu kulia akizungumza na Michuzi Tv katika hafla ya kukabidhi Kizimba cha Taka ambapo amesema ujenzi wa kizimba hicho umegharimu zaidi ya milioni
9. Picha ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
TAMKO LA TUME KUHUSU HOSPITALI YA RUFAA MWANANYAMALA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-YmWYGFb2uPw/Xr0hpLdKAJI/AAAAAAALqLg/2_r1i1G1togzEeff70Y4EA62IMV5cmvcACLcBGAsYHQ/s1600/index.jpg)
Kusikitishwa na taarifa ya vitendo vya baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala kuwanyanyapaa na kuwasumbua Wagonjwa
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na taarifa ya vitendo vinavyofanywa na baadhi ya Madaktari na Wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa, Mwananyamala vya kuwanyanyapaa na kuwasumbua wagonjwa wanaoenda kupata matibabu kwa kuwataka wagonjwa hao kwenda kufanya vipimo vya Korona kabla ya kuanza kupata matibabu.
Tume...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-IQ_syvGxLfI/XmY-nGDtjKI/AAAAAAALiO8/HaWA7asx5_sl8FhFnt0wldYaTdtCrhCBgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B15.31.18.jpeg)
HOSPITALI YA MWANANYAMALA YAZINDUA KITUO CHA HUDUMA JUMUISHI
Na Janeth Raphael, Michuzi TV
HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Mwananyamala jijini Dar es Salaam imezindua kituo cha huduma jumuishi za kitabibu, Polisi, Ustawi wa kijamii na kisheria kwa malengo ya kuwasaidia wahanga wa vitendo vya ukatili wa kijinsia huku ikielezwa asilimia 44 ya wanawake wamepitia ukatili wa kimwili katika maisha yao.
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam baada ya kupokea kituo hicho jumuishi cha mkono kwa mkono katika hospitali hiyo Mwenyekiti wa bodi ya ushauri wa Hospitali...
9 years ago
MichuziNHIF YAKAMILISHA UJENZI WA KITUO CHA KISASA CHA UCHUNGUZI NA MATIBABU KILICHOJENGWA HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-YF8Cl6f9BDk/Vlhpe8ekmZI/AAAAAAADC6U/V0-ykHicOj4/s640/NHIF%2BKAIMU%2BMKURUGENZI%2BMKUU%2B1.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Sumbawanga yaelemewa na taka ngumu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga imezidiwa na mzigo wa uzoaji wa taka ngumu kutoka eneo lililotengwa kwa ajili ya kukusanyia kutokana na uzalishaji wake kuwa mkubwa kuliko ilivyotarajiwa. Hali hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Tanzania haina dampo la taka ngumu’
TANZANIA haina dampo la kutekeleza taka ngumu zenye sumu, bunge lilielezwa jana. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Ummi Mwalimu, alipokuwa akijibu...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DqpgUlC32D0/U3hd82fHFzI/AAAAAAAFjYY/VtCe7JjT1J0/s72-c/unnamed+(9).jpg)
KIKUNDI CHA UPENDO WOMEN'S GROUP KILICHOPO BRUSSEL UBELGIJI CHACHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA HOSPITALI YA MWANANYAMALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DqpgUlC32D0/U3hd82fHFzI/AAAAAAAFjYY/VtCe7JjT1J0/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QvxTy4t1KRM/U3hd7kk_SPI/AAAAAAAFjYU/Zdu1aHEDFkI/s1600/unnamed+(10).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Q_wKBAJLtzQ/Xs9xha8N4WI/AAAAAAALr0M/0S0FRJq7zyQ8LkVZQffQV56rne7YCnccQCLcBGAsYHQ/s72-c/JH7A9039.00_06_09_08.Still010.jpg)
FAHAMU UBUNIFU WA MFUMO WA MAJIMOTO UNAOTUMIA TAKA NGUMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-Q_wKBAJLtzQ/Xs9xha8N4WI/AAAAAAALr0M/0S0FRJq7zyQ8LkVZQffQV56rne7YCnccQCLcBGAsYHQ/s640/JH7A9039.00_06_09_08.Still010.jpg)
Mbunifu Jumbe, ambaye ni mhitimu wa siku nyingi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) alikosomea masuala ya bomba na mifumo ya maji anasema alikuwa anafanya kazi hotelini ambako miongoni mwa changamoto alizokuwa anakutana nazo ni kuharibika kwa ‘heater’ jambo...
10 years ago
Dewji Blog20 May
Wakazi wa manispaa ya Singida walalamikia uongozi kushindwa kuzoa taka ngumu
Baadhi ya maghuba yaliyopo katika Manispaa ya Singida yakiwa yamefurika taka ngumu kwa muda mrefu sasa kama ambavyo Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Bwana Joseph Mchina alivyokiri katika maelezo yake kushindwa kuzoa kutokana na magari ya kuzolea taka kuchelewa kufika.(Picha zote na Jumbe Ismailly).
Na Jumbe Ismailly, Singida
WAKAZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Singida wameulalakia uongozi wa Manispaa hiyo kwa kushindwa kuzoa taka kwenye maghuba ya kukusanyia taka ngumu zinazokusanywa...