Hotuba ya rais Magufuli Bungeni
Bunge la Tanzania limefunguliwa ambapo rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli ndie aliyefungua rasmi bunge hilo la 11
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8DnqzINCoY/VZ6WhVXnW_I/AAAAAAAB07Q/GIsyH-eEtDo/s72-c/DSC_6020.jpg)
HOTUBA YA RAIS BUNGENI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y8DnqzINCoY/VZ6WhVXnW_I/AAAAAAAB07Q/GIsyH-eEtDo/s640/DSC_6020.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5i0UtV9NNBI/VZ6WiN_SvhI/AAAAAAAB07U/Pux0zZ0g3to/s640/DSC_6064.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/dkW6FslMJ2A/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Nov
CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli
Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.
Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/VP4mOd-uDxA/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-RavWfrBXMSM/Vlb6fbbyvOI/AAAAAAAIId8/Bp2HsaeLxw4/s72-c/Chama_Cha_Wakulima_Logo.png)
Chama cha Wakulima Tanzania chaipongeza hotuba ya Rais Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-RavWfrBXMSM/Vlb6fbbyvOI/AAAAAAAIId8/Bp2HsaeLxw4/s320/Chama_Cha_Wakulima_Logo.png)
Chama cha Wakulima Tanzania (AFP) kimepongeza hotuba ya Rais wa awamu ya Tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli aliyoisoma wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11, Novemba 20 mwaka huu mjini Dodoma.
Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Mahusiano wa Makundi Maalum wa AFP Bw. Peter Sarungi ameeleza kuwa hotuba hiyo imesimama katika mambo ya msingi na yenye kuleta mabadiliko ya...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/wzjWafeZuZU/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb0wEmiAmgzgN01Z2sYoL55lLclLS*6SyICPJ0oV9KQ9ooo6Du1IHREFW5PBzCeNQykCmytZb7o1E-WSQsbBwK79/1mkapanamagufuli.jpg?width=650)
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ALIPOMKABIDHI DK. MAGUFULI NAKALA ZA VITABU VYA HOTUBA ZAKE
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s72-c/IMG_20151211_125213.jpg)
WASOMI KUJADILI HOTUBA YA RAIS DK. MAGUFULI ALIYOITOA WAKATI WA KUFUNGUA BUNGE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-b7i9LJY1jBg/Vmu1fRMngKI/AAAAAAAA1gg/rP4dD8dZWlI/s640/IMG_20151211_125213.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DuDOkKJqbic/Vmu2cphOxiI/AAAAAAAA1go/VYpWNcGOyow/s640/IMG_20151211_125910.jpg)
9 years ago
CCM Blog22 Nov
HOTUBA YA MHE. RAIS MAGUFULI YA KUZINDUA BUNGE MJINI DODOMA IJUMAA NOVEMBA 20, 2014
HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015Hotuba Ya Mhe. Rais - Ufunguzi Wa Bunge La 11 Dodoma 2015