Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hotuba ya rais Magufuli Bungeni

Bunge la Tanzania limefunguliwa ambapo rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli ndie aliyefungua rasmi bunge hilo la 11

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS BUNGENI LEO


Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mohammed Gharib Bilali,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma wakati Rais wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hutuba ya kufunga Bunge leoRais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hutuba yake ya kulifunga Mkutano wa Ishirini 20 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano...

 

9 years ago

Dewji Blog

CCM Singida wapongeza hotuba ya Rais Dk. Magufuli

DSCN5521

Katibu CCM mkoa wa Singida, Mary Maziku (kushoto) akitoa pongezi zake kwa Rais Dk.John Pombe Magufuli kwa hotuba nzuri aliyoitoa bungeni hivi karibuni na kudai kuwa imeonyesha wazi kwamba ataleta mabadiliko ya kweli yanayotarajiwa na Watanzania.Wa kwanza kulia ni Katibu msaidizi mkuu wa CCM mkoa wa Singida, Adamu Makulilo.

DSCN5520

Baadhi ya wajumbe wa sekretarieti ya CCM mkoa wa Singida,wakimsikiliza Katibu CCM mkoa Mary Maziku (hayupo kwenye picha) akitoa pongezi kwa hotuba ya rais Dk.John Pombe...

 

9 years ago

Michuzi

Chama cha Wakulima Tanzania chaipongeza hotuba ya Rais Magufuli

Na Nyakongo Manyama-Maelezo
Chama cha Wakulima Tanzania (AFP) kimepongeza hotuba ya Rais wa awamu ya Tano wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.John Pombe Magufuli aliyoisoma wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11, Novemba 20 mwaka huu mjini Dodoma.
   Akiongea katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Mkurugenzi wa Mahusiano wa Makundi Maalum wa AFP Bw. Peter Sarungi ameeleza kuwa hotuba hiyo imesimama katika mambo ya msingi na yenye kuleta mabadiliko ya...

 

11 years ago

GPL

RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA ALIPOMKABIDHI DK. MAGUFULI NAKALA ZA VITABU VYA HOTUBA ZAKE

Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa (kushoto) akimkabidhi Dk. John Magufuli nakala za vitabu vya hotuba zake. Nakala za vitabu vya hotuba za Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa alivyomkabidhi Magufuli .
Rais Mstaafu awamu ya Tatu Benjamin William…

 

9 years ago

CCM Blog

WASOMI KUJADILI HOTUBA YA RAIS DK. MAGUFULI ALIYOITOA WAKATI WA KUFUNGUA BUNGE MJINI DODOMA

Waandaaji wa Mdajala kuhusu Hotuba ya Rais Dk. John Magufuli, aliyoitoa wakati wa kufungua Bunge mjini Dodoma, wakizungumza na waandishi wa habari leo, katika ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dar es Salaam.


 

9 years ago

CCM Blog

HOTUBA YA MHE. RAIS MAGUFULI YA KUZINDUA BUNGE MJINI DODOMA IJUMAA NOVEMBA 20, 2014



HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHESHIMIWA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, AKIFUNGUA RASMI BUNGE JIPYA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, DODOMA, 20 NOVEMBA 2015Hotuba Ya Mhe. Rais - Ufunguzi Wa Bunge La 11 Dodoma 2015

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani