Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HOTUBA YA ZITTO ALIYOTAKA KUITOA BUNGENI JANA

Mh. Zitto Zuberi Kabwe Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma. Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HII NDIO HOTUBA YA ZITTO ALIYOTAKA KUITOA BUNGENI YA KUWAAGA WABUNGE WENZAKE

Mh. Zitto Zuberi Kabwe Mbunge wa Kigoma Kaskazini
Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma.

Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza tangu nikiwa na umri wa miaka 16 na...

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Hotuba Niliyotaka Kuitoa Bungeni Jana

Mheshimiwa Spika, nilijiunga na Bunge lako tukufu mwaka 2005 nikiwa kijana mdogo mwenye malengo ya kupaza sauti ya vijana kwenye masuala yanayohusu nchi yetu na pia kutetea maslahi ya wananchi wa Jimbo la Kigoma Kaskazini na Mkoa wa Kigoma.

Katika kudumu kwangu kama mbunge nililelewa na kukuzwa na chama cha siasa cha CHADEMA ambacho kupitia chama hiki niliingia Bungeni. Chama hiki kilinilea na kunikuza tangu nikiwa na umri wa miaka 16 na kupitia chama hiki nimejifunza mambo mengi sana....

 

9 years ago

GPL

HOTUBA YA EDWARD LOWASSA WAKATI WA KUZINDUA KAMPENI ZA UKAWA JANA

Wagombea wa UKAWA na Mwenyekiti wa UKAWA wakionyesha kitabu chao cha Ilani ya Uchaguzi wa 2015. HOTUBA YA MGOMBEA URAIS KUPITIA CHAMA CHA CHADEMA NA UKAWA MH. EDWARD NGOYAI LOWASSA YA KUZINDUA ILANI NA KAMPENI YA UCHAGUZI MKUU Jangwani, Dar-es-Salaam, 29 AGOSTI 2015 Ndugu Wana Dar es salaam na Watanzania wenzangu Leo ni siku ya kihistoria. Baada ya miaka ishirini na tano tangu mfumo wa vyama vingi urejeshwe, vyama vya upinzani wa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Hotuba ya rais Magufuli Bungeni

Bunge la Tanzania limefunguliwa ambapo rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli ndie aliyefungua rasmi bunge hilo la 11

 

10 years ago

Vijimambo

HOTUBA YA RAIS BUNGENI LEO


Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Mohammed Gharib Bilali,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakiwa katika ukumbi wa Bunge Mjini Dodoma wakati Rais wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hutuba ya kufunga Bunge leoRais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akitoa hutuba yake ya kulifunga Mkutano wa Ishirini 20 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano...

 

10 years ago

Vijimambo

Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni

Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Mhe. Freeman Mbowe
1. UTANGULIZI:
Mheshimiwa Spika,

Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa katika harakati na shughuli zangu za kisiasa.

Mheshimiwa Spika,Napenda kuchukua nafasi hii pia, kuwashukuru watanzania wote kwa ujumla kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko nchini. Shukrani hizi za pekee ziwafikie wenyeviti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani