Huduma ya Push for Change yazinduliwa Tanzania
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Push Media Mobile, Freddie Manento akizingumza katika uzinduzi wa Kitengo cha Push For Change ambacho kinajihususisha zaidi na utoaji taarifa mbali mbali kwa taasisi za kijamii.Ili kujiunga na huduma hiyo, unatakiwa kutuma neno Change kwenda namba 15774 na kuchagua huduma unayotaka.
Miss Tanzania 1999 ambaye kwa sasa anafanyakazi wa Umoja wa Mataifa (UN) kitengo cha mawasiliano akiwa na wageni wengine waalikwa katika uzinduzi wa Kitengo cha Push For...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
AllAfrica.Com28 Aug
Regional Legislators Push for Disaster Preparedness in Light of Climate Change
AllAfrica.com
Kampala — A key policy report on Climate change and gender is calling on Partner States to promote pro-active approaches through adequate preparedness and appropriate strategies in light of climate change. The Report which follows a regional ...
HOUSE ADJOURNS DEBATE ON EAC ELECTRONIC TRANSACTIONS BILLStarAfrica.com
all 4
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aUUEBmVkGEY/VQGAhLk0AVI/AAAAAAAHJ3Y/KHbvwBECPEs/s72-c/unnamed.jpg)
Kampuni ya Push Mobile Media yazindua huduma ya kurahisha mawasiliano
Akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Push Mobile Media, Freddie Manento alisema kuwa huduma hiyo itamwezesha mtumiaji kufikisha ujumbe muhimu kwa gharama nafuu ikiwa katika sekta mbalimbali...
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Huduma ya kulipa wanaotembea yazinduliwa Afrika
9 years ago
MichuziHUDUMA ISIYOKUWA NA USUMBUFU YA MAWASILIANO YAZINDULIWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-7rpa37c6SCY/Vl7K4UJiH2I/AAAAAAAIJuc/_PAl6p0-Wus/s1600/image004.png)
Ni huduma ya Vodacom Red Inayotoa ofa nafuu na maalumu kwa wateja.
KAMPUNI ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania leo imezindua huduma mpya inayojulikana kama Vodacom Red ambayo imewalenga wateja wake wote wanaonunua muda wa maongezi kabla ya kupata huduma za mawasiliano ambayo ni bora zaidi,ina unafuu wa gharama na yenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VMd3oaOoRLg/XswZXktkdqI/AAAAAAALrgM/jJdiaP2CQAQe_OXQgSZKCWiD7WUgZ0jqACLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
Zahanati pasua kichwa Njombe yazinduliwa,yaanza kutoa huduma
Wakazi wa mitaa ya Sido na Buguruni halmashauri ya mji wa Njombe wameshindwa kuzuia hisia zao baada ya kukamilika ujenzi na kuzinduliwa kwa zahanati ya mitaa hiyo ambayo ujenzi ujenzi wake umesuasua kwa zaidi ya miaka 9.
Ujenzi huo ulioghalimu zaidi ya Mil 110 umechukua muda mrefu kukamilika kutokana na sababu mbalimbali matumizi mabaya ya fedha za ujenzi huku pia tofauti za kiitikadi zikitajwa kuwa kikwazo kikubwa katika eneo hilo.
Baadhi ya akina mama...
5 years ago
MichuziKANZIDATA YA KUDUMU YA WATOA HUDUMA ZA FEDHA YAZINDULIWA LEO JIJINI DAR
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/77e373f8-4f97-4383-b8c0-b231f8c875e1.jpg)
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania,Profesa Florens Luoga, (wa tatu kushoto),akibofya kitufe maalum wakati wa uzinduzi wa Kanzidata ya kudumu ya watoa huduma za Fedha katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika jijini Dar Es Salaam leo,(wa pili kushoto) ni Naibu Gavana wa Benki Kuu,Dk.Benard Kibesse,kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya DCB Community bank, Godfrey Ndalahwa,wengine kutoka kulia ni Meneja Usimamizi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Bima (TIRA),Paul Abdiel , Naibu Mrajisi wa...
9 years ago
AllAfrica.Com14 Dec
Tanzania: In Education Push, Tanzania to Punish Parents of Children Out of School
Stuff.co.nz
AllAfrica.com
Dar es Salaam — As Tanzania prepares to introduce free basic education for all, the government has warned that it will punish parents who fail to ensure their children go to school. In a major policy shift, primary and secondary schooling will be free ...
Dar hosts regional workshop on hotel courseDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
Hockey development needs serious...
9 years ago
AllAfrica.Com30 Nov
Tanzania: Germans Boost Tanzania's Anti-Poaching Push
defenceWeb
AllAfrica.com
Arusha — The German government has donated two aircraft to the government for reinforcing the fight against poaching activities in protected areas. German Foreign Minister Dr. Frank-Walter Steinmeier last week handed over a symbolic key for two Husky ...
Germany donates Husky aircraft to Tanzania to fight poachingdefenceWeb
all 2
10 years ago
VijimamboHUDUMA YA UPASUAJI WA WATOTO WENYE UGONJWA WA KICHWA KUJAA MAJI NA MGONGO WAZI YAZINDULIWA RASMI KATIKA HOSPITARI YA RUFAA YA MKOA WA KAGERA
Na Faustine Ruta, Bukoba
Shirika lisilokuwa la serikali la Friends of Children with Cancer Tanzania (FOCC TZ) lazindua rasmi huduma ya upasuaji wa watoto wenye ugonjwa wa vichwa kujaa maji na mgongo wazi mkoani Kagera katika Hospitali ya Rufaa ya mkoa ambapo jumla ya watoto arobaini wenye tatizo hilo wanatajiwa kufanyiwa upasuaji kuanzia Julai 25-26, 2015. Mkurugenzi wa shirika la FOCCTZ Bw. Walter Miya katika uzinduzi huo alisema kuwa baada ya kutoa matangazo kupitia redio za jamii mkoani...