Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUYU NA YULE.......Mahojiano na Dr Crispin Semakula

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dr Crispin Semakla.
Daktari wa mahgonjwa ya kisukari, shinikizo la damu na pia Mwalimu wa Afya katika Chuo Kikuu nchini Marekani
Pia ni mwanzilishi wa Access Medical and Dialysis Center iliyopo Dar Es Salaam
Ameeleza mengi kuhusu maradhi anayoshughulika nayo na pia kituo chake.

Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza Production
Kwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali wasiliana...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HUYU NA YULE: MAHOJIANO NA DR CRISPIN SEMAKULA‏

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dr Crispin Semakla.
Daktari wa mahgonjwa ya kisukari, shinikizo la damu na pia Mwalimu wa Afya katika Chuo Kikuu nchini Marekani
Pia ni mwanzilishi wa Access Medical and Dialysis Center iliyopo Dar Es Salaam
Ameeleza mengi kuhusu maradhi anayoshughulika nayo na pia kituo chake.
Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo… ...

 

10 years ago

Michuzi

HUYU NA YULE YA KWANZA PRODUCTION NA VIJIMAMBO: Mahojiano na Dr Crispin Semakula

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dr Crispin Semakla. Daktari wa mahgonjwa ya kisukari, shinikizo la damu na pia Mwalimu wa Afya katika Chuo Kikuu nchini Marekani. Pia ni mwanzilishi wa Access Medical and Dialysis Center iliyopo Dar Es SalaamAmeeleza mengi kuhusu maradhi anayoshughulika nayo na pia kituo chake.
Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza ProductionKwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali...

 

10 years ago

Michuzi

HUYU NA YULE........Mahojiano na Dr Talib Ali

Karibu katika kipindi cha HUYU NA YULE ambapo wiki hii tumeongea na Dk Talib AliYeye ni mwanzilishi wa Avatar Dental Care iliyopo Leesburg Virginia.Ameeleza mengi kuhusu kazi zake na mikakati aliyonayo baadae Pia, ametoa punguzo la 50% kwa waTanzania watakaoenda kutiiwa kwake, pamoja na mpango wa malipo ya awamu kuwzesha watu kumudu gharama hizoKaribu Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog na kuzalishwa na Kwanza ProductionKwa mawasiliano, maoni ama ushauri, tafadhali...

 

10 years ago

Vijimambo

Huyu na Yule...........Mahojiano na Dr na Mama Williams

Karibu kwenye mahojiano ya Dr na Mama Williams.
Waasisi wa AHEAD Inc. Taasisi ambayo iliasisiwa mwaka 1985 na inajishughulisha kubadili maisha ya wengi nchini Tanzania kupitia Elimu, Stadi za Maisha, Afya ya Mama na Mtoto na pia kuzisaidia jamii mbalimbali..
Wamezungumzia mengi kuhusu namna walivyofika Tanzania kwa mara ya kwanza 1974. Kilichowapeleka, walivyoamua kubaki huko mpaka sasa, shughuli za Taasisi yao na mengine mengi
Karibu
Huyu na Yule ni kipindi kinachotayarishwa na Vijimambo Blog...

 

10 years ago

Vijimambo

KESHO JUMATATU MAHOJIANO YA HUYU NA YULE USIKOSE KUJUA USIRI WA MAISHA YA LINDA

NI MENGI AMEZUNGUMUZA AMBAYO MIMI NA WEWE HATUKUYAJUAKesho Jumatatu katika kipindi cha huyu na yule cha mahojiano na mwanamitindo mbunifu wa LB kutoka Atlanta, Georgia atakapoelezea historia yake yenye milima na mabonde historia ya maisha yake yenye huzuni na furaha wakati mwingine Linda akitokwa na machozi kwa kukumbuka maisha aliyopitia. Je Mume wake Mali walijuana nae wapi? na mengine mengi kuhusu maisha yake ikiwemo kampuni yake ya LB na malengo yake ya kupeperusha bendera ya Tanzania...

 

10 years ago

Vijimambo

DR. CRISPIN SEMAKULA KUZUNGUMZA NA MUBELWA BANDIO SIKU YA JUMATATU USIKOSE

Dr. Crispin Semakula kutoka Minnesota
Siku ya Jumatatu Januari 5, 2015 Dr. Crispin Semakula atazungumuza na Mubelwa Bandio katika kipindi cha Huyu na Yule kitakachokuwa kinarushwa kila siku ya Jumatatu na kinachotoa fulsa kujua Watu mbalimbali kutoka sehemu tofauti na mchango wao kwa jamii inayowazunguka. Dr. Crispin Semakula ni mmoja wao na mwanaDiaspora aliyefanya mengi makubwa ikiwemo kujenga Hospitali Tanzania USIKOSE KUMSIKILIZA 

 

10 years ago

Michuzi

HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... DK. Talib Ali

Katika HUYU NA YULE Jumatatu ijayo tunakuletea mahojiano yetu na Dr Talib Ali.

 

10 years ago

Vijimambo

HUYU NA YULE Jumatatu ijayo....... Dr Talib Ali

Katika HUYU NA YULE Jumatatu ijayo tunakuletea mahojiano yetu na Dr Talib Ali.
Kwa ufupi........

 

11 years ago

Michuzi

Katika "HUYU NA YULE" ya NJE-NDANI wiki hii...

Photo Credits: Bongo Celebrity  Katika NJE NDANI wiki hii, mbali na habari kutoka Afrika, utasikia mahojiano yangu na NURU THE LIGHT. Msanii, Mjasiriamali, Mtangazaji, Blogger na Mwanaharakati ambaye amekuwa mkarimu sana kujiunga nami kutoka Stockholm Sweden Kazungumza mengi mema Jiunge nami, MUBELWA BANDIO Jumamosi (June 28) katika NJE NDANI ya Kwanza Production na Border Radio kuanzia saa sita mpaka saa nane mchana kwa saa za Marekani ya mashariki kupitia www.kwanzaproduction.com ama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani