ICC yatupilia mbali kesi ya Kenyatta
Mahakama ya kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi inayomkabilia Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKESI YA KENYATTA ICC YATUPILIWA MBALI
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
10 years ago
BBCSwahili08 Dec
Korti yatupilia mbali kesi ya 'fungate'
5 years ago
MichuziMAHAKAMA YATUPILIA MBALI KESI NDUGAI ILIYOFUNGULIWA KIKATIBA
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
5 years ago
CCM BlogMAHAKAMA KUU YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA DHIDI YA SPIKA
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya kikatiba iliyofunguliwa na Wakili Paul Kaunda dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na kusema kuwa, mpeleka maombi alikosea kufungu kesi hiyo kwa kutumia kifungo cha kikatiba badala yake alipaswa kufungua kesi ya kawaida
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine ni Mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Katika kesi hiyo Wakili Kaunda anaiomba Mahakama Kuu kutengua amri ya Spika Ndugai ya kumtambua Mwambe kama...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Mahakama yatupilia mbali pingamizi katika kesi ya mirathi ya Mwandishi wa habari mkongwe nchini
Pichani ni mwandishi wa habari mkongwe nchini marehemu, Betty Luzuka enzi za uhai wake.
Aliyekuwa Ofisa mwandamizi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Phil Kleruu.
Na Mwandishi wetu, Arusha
Mahakama ya mwanzo ya Maromboso imetupilia mbali kesi ya pingamizi iliyofunguliwa na mke wa aliyekuwa ofisa mwandamizi wa jumuiya ya Afrika Mashariki,Phil Kleruu aitwaye Hilda Kleruu kwa madai kwamba siyo mwaminifu na hivyo amekosa sifa ya kuwa msimamizi wa mirathi ya mwandishi wa habari mkongwe nchini...
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Kenyatta aipuzilia mbali mahakama ya ICC
5 years ago
MichuziMAHAKAMA KUU KANDA YA DAR ES SALAAM YATUPILIA MBALI KESI YA KIKATIBA ILIYOFUNGULIWA NA TAASISI MBILI ZISIZO ZA SERIKALI
Marekebisho katika sheria hizo yalihusu kuweka tafsiri mpya ya maneno Kampuni na Asasi katika sheria husika na pia kuzitaka Asasi zote zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Makampuni ambazo hazikuwa na malengo ya...
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tanzania yaipongeza ICC kesi ya Kenyatta
SERIKALI ya Tanzania imepongeza uamuzi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) wa kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto. Akizungumza jijini Dar...