KESI YA KENYATTA ICC YATUPILIWA MBALI
![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3z1dR*PYPma58CaXbb1CR7dquSTrocLBEZ2AzP82Xvui441YgrWm14DYpCgZqbwQV244wVJ-1coXBhyahj55gyb/BREAKINGNEWS.gif)
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. MAHAKAMA ya Kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta baada ya kushindwa kumtia hatiani. Rais Kenyatta alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya jinai kufuatia machafuko ya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 - 2008, madai ambayo…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
ICC yatupilia mbali kesi ya Kenyatta
10 years ago
CloudsFM05 Dec
Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya
Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.
Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali
10 years ago
BBCSwahili04 Aug
Kesi ya Julius Malema yatupiliwa mbali
10 years ago
GPLRUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
9 years ago
BBCSwahili20 Oct
Kenyatta aipuzilia mbali mahakama ya ICC
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Tanzania yaipongeza ICC kesi ya Kenyatta
SERIKALI ya Tanzania imepongeza uamuzi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) wa kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto. Akizungumza jijini Dar...
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
ICC:Nini hatma ya kesi ya Kenyatta?