Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KESI YA KENYATTA ICC YATUPILIWA MBALI

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. MAHAKAMA ya Kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta baada ya kushindwa kumtia hatiani. Rais Kenyatta alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya jinai kufuatia machafuko ya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 - 2008, madai ambayo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

ICC yatupilia mbali kesi ya Kenyatta

Mahakama ya kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi inayomkabilia Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta

 

10 years ago

CloudsFM

Mahakama ya Kimataifa ya ICC imeamua ktupilia mbali kesi ya Uhuru Kenyatta Rais wa Kenya

Mwendeshaji mkuu wa mashitaka Fatou Bensouda ameondoa kesi dhidi ya Kenyatta ambaye alidaiwa kutenda uhalifu dhidi ya binadamu wakati wa ghasia baada ya uchaguzi mkuu nchini Kenya.


Katika Taarifa iliyotolewa na mahakama hiyo iliyopo nchini Uholanzi imesema kesi yake haikua na ushahidi wa kutosha wa Kenyatta kuhusika moja kwa moja na mauaji ya maelfu ya Wakenya wakati wa uchaguzi mkuu wa nchi hiyo.
Kenyatta alishtakiwa kama mshukiwa mkuu wa ghasia baada ya uchaguzi wa mwaka 2007/2008...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali

Mahakama moja nchini Misri imetupilia mbali kesi dhidi ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Hosni Mubarak

 

10 years ago

BBCSwahili

Kesi ya Julius Malema yatupiliwa mbali

Mahakama ya Afrika Kusini imetupilia mbali kesi ya mashtaka ya udanganyifu na ufisadi dhidi ya kiongozi wa upinzani Julius Malema.

 

10 years ago

GPL

RUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo imetupilia mbali rufaa ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda iliyopelekwa na wakili wake Juma Nassoro ya kupinga hatia ya adhabu aliyohukumiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akidai kuwa hapakuwa na ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani kwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili. Kesi nyingine inayomkabili kiongozi huyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kenyatta aipuzilia mbali mahakama ya ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amepuzilia mbali onyo la jaji wa mahakama ya ICC ya kuwataka wakenya wakome kuijadili kesi hiyo ikisikizwa

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania yaipongeza ICC kesi ya Kenyatta

SERIKALI ya Tanzania imepongeza uamuzi wa Mahakama ya Jinai ya Kimataifa (ICC) wa kufuta kesi iliyokuwa ikiwakabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Makamu wake William Ruto. Akizungumza jijini Dar...

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta

Bensouda asema kujiondoa kwa mashahidi wawili wakuu katika kesi hiyo imemuacha pabaya huku mmoja asema ahwezi kutoa ushahidi dhidi ya rais

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC:Nini hatma ya kesi ya Kenyatta?

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya atajua hii leo hatma ya kesi inayomkabili ICC ikiwa itaendelea au la baada ya upande wa mashitaka kukosa ushahidi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani