Kesi ya Julius Malema yatupiliwa mbali
Mahakama ya Afrika Kusini imetupilia mbali kesi ya mashtaka ya udanganyifu na ufisadi dhidi ya kiongozi wa upinzani Julius Malema.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3z1dR*PYPma58CaXbb1CR7dquSTrocLBEZ2AzP82Xvui441YgrWm14DYpCgZqbwQV244wVJ-1coXBhyahj55gyb/BREAKINGNEWS.gif)
KESI YA KENYATTA ICC YATUPILIWA MBALI
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. MAHAKAMA ya Kimataifa ya ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta baada ya kushindwa kumtia hatiani. Rais Kenyatta alikuwa anatuhumiwa kwa makosa ya jinai kufuatia machafuko ya baada ya uchaguzi wa mwaka 2007 - 2008, madai ambayo…
10 years ago
BBCSwahili29 Nov
Kesi dhidi ya Mubarak yatupiliwa mbali
Mahakama moja nchini Misri imetupilia mbali kesi dhidi ya aliyekuwa rais wa taifa hilo Hosni Mubarak
10 years ago
GPLRUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo imetupilia mbali rufaa ya Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda iliyopelekwa na wakili wake Juma Nassoro ya kupinga hatia ya adhabu aliyohukumiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akidai kuwa hapakuwa na ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani kwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili. Kesi nyingine inayomkabili kiongozi huyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
10 years ago
BBCSwahili30 Sep
Julius Malema mahakamani leo
Julius Malema wa chama cha Economic Freedom Front nchini A-Kusini atafika mbele ya Mahakama kuu ya Polokwane kujibu mashitaka
9 years ago
BBC10 Sep
Julius Malema ejected from parliament
Fiery South African politician Julius Malema is ejected from parliament after refusing to retract comments he made against Deputy President Cyril Ramaphosa.
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rufaa ya Mourinho yatupiliwa mbali
Shirikisho la soka la uingereza limeitupilia mbali rufaa ya Mourinho aliyoikata kupinga kufungiwa kuingia uwanjani kesho na kulipa faini ya pauni milioni hamsini.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74610000/jpg/_74610496_022059733.jpg)
Julius Malema's message strikes a chord in townships
Julius Malema divides South Africa and scares the ANC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WVcLliQZnruMPIMbElWs1-AmnNklDhYVhgyX32nv5IyMNL6BX0a931w3PP1zyMNdRbgrzOjOGanl73dGvuZhsf/PISTORIUS.jpg?width=650)
RUFAA YA OSCAR PISTORIUS YATUPILIWA MBALI
Mwanariadha Oscar Pistorius. JAJI Thokozile Masipa ametupilia mbali rufaa ya mwanariadha anayehudumia kifungo cha miaka mitano jela kwa kumuua mpenzi wake, Oscar Pistorius huko Afrika Kusini. Oscar Pistorius akiwa na Reeva Steenkamp. Rufaa hiyo iliwasilishwa na makili wa mwanariadha huyo ambaye ni mlemavu wa miguu.…
5 years ago
BBCSwahili29 May
Virusi vya Corona: Julius Malema aonya wanachi kutokwenda kanisani
Afrika kusini yatarajiwa kufungua nyumba za ibada kuanzia Juni 1.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania