IDDI BONGE AJIANDAA KUMKABILI MWAKASANGA MARCH 23
Kocha wa mchezo wa ngumi Kwame Mkuluma kulia akimwelekeza jinsi ya kupiga ngumi bondia Iddi Kipandu 'Iddy Bonge' wakati wa mazoezi yanayoendelea kwa ajili ya mpambano wake wa march 23 na David Mwakasanga utakaofanyika ukumbi wa frends corner Manzese, mazoezi hayo katika klabu ya biafra iliyopo kigogo Mbulahati Dar es salaam.
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi16 Mar
MANNY CHUGA AJIANDAA KUMKABILI SELEMANI MOTTO MARCH 23
Kocha wa mchezo wa ngumi Waziri Chara (kushoto ) akimwelekeza bondia Amani Bariki 'Manny Chuga' jinsi ya kupiga begi wakati wa mazoezi yake...
10 years ago
Vijimambo08 Jan
MABONDIA IDDI BONGE NA ALIPHONCE MCHUMIATUMBO KUZIPIGA FEB 14
![](https://2.bp.blogspot.com/-nkIvrnejUgY/VK5KBOXznLI/AAAAAAAAG1s/oz9s9AMZjX0/s1600/6.jpg)
MABONDIA wenye uzito wa juu nchini Aliphonce Mchumiatumbo na Iddi Kipandu 'Iddi Bonge' watapambana Feb 14 katika ukumbi wa P.T.A sabasaba wakigombania ubingwa wa taifa pamoja na pikipiki akizungumzia mpambano huo promota Shabani Manyoka amesema kupitia kampuni ya Mahamba Incorporation Limited wameamua kuandaa mpambano huo wa uzito wa juu ambao ni admu sana nchini kufanyika na ndio mabondia wanaokubalika Duniani kote
mpambano huo wa raundi kumi utakuwa ni wa aina yake kwa kuwa...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OYIUtDVP9xw/UxrgGrNglLI/AAAAAAAFR6M/Lng0m6ihRg4/s72-c/image001.jpg)
9 years ago
Mtanzania26 Oct
Cheka ajiandaa kumtwanga Mashali
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
BONDIA wa ngumi za kulipwa Tanzania, Francis Cheka, ameingia mafichoni kujiandaa na pambano lisilo la kuwania ubingwa la raundi 12 dhidi ya Thomas Mashali lililopangwa kufanyika Desemba 25, mwaka huu katika Uwanja wa Jamhuri, mjini Morogoro.
Akizungumza na gazeti hili jana, Cheka alisema kwa kuwa Mashali ameanza kumtangazia vita hadharani ameamua kuanza maandalizi mapema ili aweze kumpiga katika raundi za mwanzo.
Cheka alisema amepania kuweka historia mpya ...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Lowassa ajiandaa kutoa siri nzito
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Tanzanian Film at AFI (March 17, March 19)
![](http://afi.com/silver/images/header.jpg)
This is the story of Alias, a young albino boy on the run. After witnessing his father's murder, Alias' mother sends him away to find refuge in the city, far from the witch doctors who offer thousands of dollars for albino body parts. He is brought to the care of his uncle Kosmos, a truck driver struggling with a few small businesses. In the city, Alias is a quick learner, selling sunglasses, DVDs and mobile phones. He is...