Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MANNY CHUGA AJIANDAA KUMKABILI SELEMANI MOTTO MARCH 23



Kocha wa mchezo wa ngumi Kwame Mkuluma kushoto  akimwelekeza bondia Amani Bariki 'Manny Chuga' jinsi ya kupiga ngumi kwa shabaha wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika klabu ya Biafra Mburahati kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake na Selemani Motto utakaofanyika March 23 katika ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam 

Kocha wa mchezo wa ngumi Waziri Chara (kushoto ) akimwelekeza bondia Amani Bariki 'Manny Chuga'  jinsi ya kupiga begi wakati wa mazoezi yake...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

IDDI BONGE AJIANDAA KUMKABILI MWAKASANGA MARCH 23

Kocha wa mchezo wa ngumi Kwame Mkuluma kulia akimwelekeza jinsi ya kupiga ngumi bondia Iddi Kipandu 'Iddy Bonge' wakati wa mazoezi yanayoendelea kwa ajili ya mpambano wake wa march 23 na David Mwakasanga utakaofanyika ukumbi wa frends corner Manzese, mazoezi hayo katika klabu ya biafra iliyopo kigogo Mbulahati Dar es salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Live up to police motto

Police officers are supposed to be very good friends of civilians, who bank on them for protection against illegal treatment. Suspects should always be treated as innocent until their guilt is proved in a court of law. In Tanzania’s case, the police force motto, ‘Usalama wa raia’ (People’s safety), aptly captures that mission.

 

10 years ago

Vijimambo

KIPINDI CHAKO CHA MADA MOTTO


o watch madamotto every day show go to www.madamottotvshow.comfacebook: madamottotvshowtwitter: madamottotvshow

 

11 years ago

Mtanzania

Siri ya motto aliyeibwa Dar yafichuka

Mtanzania 250714

Mama mzazi wa Marylin Repyson (kulia), Elida Fundi, akiwa amembeba mwanawe huku akiomba jana baada ya kuwasili nyumbani kwake Changanyikeni jijini Dar es Salaam. Picha na Fidelis Felix.

Aziza Masoud na Maneno Selanyika, Dar es Salaam

HATIMAYE kinara wa wizi wa watoto jijini Dar es Salaam, Amir Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa mkoani Tanga.

Juma anadaiwa kumuiba mtoto, Merlin Repyson (4) katika eneo la Changanyikeni siku nane zilizopita.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Motto: CCM inaponzwa na walafi, wapenda madaraka

Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na vyama vya siasa ni tabia ya baadhi ya wanachama ambao ni viongozikuingia tena katika ushindani ili kupata nyadhifa nyingine za uongozi katika chama hicho hicho.

 

11 years ago

GPL

MBUNGE SELEMANI SAID JAFO ASIYEHOFIA UCHAGUZI UJAO

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akimnadi Seleman Said Jafo wakati wa kampeni za uchaguzi. KWA wabunge wengi wanaomaliza muda wao wa miaka mitano ya kuwatumikia wananchi wao baada ya kuchaguliwa katika uchaguzi mkuu uliopita, wakati muda ukizidi kuyoyoma, matumbo yao yako moto kwa hofu ya kutojua majaaliwa yao, kama watarejea tena mjengoni au la. Mbunge wa Kisarawe mkoani Pwani, Seleman Said Jafo. Lakini hata...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani