Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Motto: CCM inaponzwa na walafi, wapenda madaraka

Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na vyama vya siasa ni tabia ya baadhi ya wanachama ambao ni viongozikuingia tena katika ushindani ili kupata nyadhifa nyingine za uongozi katika chama hicho hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM inang’ang’ania madaraka kama ruba

NITANGULIE kueleza kuwa ‘ruba’, pia ‘mwata’ ni mdudu wa maji baridi  anayeng’ata na kujishikamanisha na mwili wa kiumbe kama mtu au mnyama na kufyonza damu. Ndivyo kilivyo Chama Cha Mapinduzi...

 

10 years ago

Habarileo

JK: Viongozi walafi wanasababisha ugaidi

RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi kupata fursa bila ubaguzi ya kunufaika na rasilimali za taifa lao, ambapo mara hii, ameonya kuhusu kitendo cha sehemu ya jamii kunufaika zaidi katika taifa na wengine kujihisi wanadhulumiwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa:Wanandoa wasiotaka watoto ni walafi

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amesema kuwa wanandoa wasio na watoto ni chanzo cha kizazi cha ulafi.

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AWATAKA WANANCHI KUWA MAKINI NA VIONGOZI WENYE UCHU WA MADARAKA.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia  sehemu ya wakazi wa Nungwi na Wafuasi wa CCM katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Skuli,jimbo la Nungwi,wilaya ya Kaskazini A,mkoa wa Kaskazini Unguja.Kinana amewataka Wananchi hao kuwa makini na baadhi ya viongozi wenye tamaa ya madaraka kwa kuahidiwa mambo ambayo hayatekelezeki,pia amewataka Wananchi kujitokeza kwa wingi siku ikifika ya kupiga kura ya ndiyo kwa katiba inayopendekezwa,kwani imejaa mambo mengi na...

 

10 years ago

TheCitizen

Live up to police motto

Police officers are supposed to be very good friends of civilians, who bank on them for protection against illegal treatment. Suspects should always be treated as innocent until their guilt is proved in a court of law. In Tanzania’s case, the police force motto, ‘Usalama wa raia’ (People’s safety), aptly captures that mission.

 

10 years ago

Vijimambo

KIPINDI CHAKO CHA MADA MOTTO


o watch madamotto every day show go to www.madamottotvshow.comfacebook: madamottotvshowtwitter: madamottotvshow

 

11 years ago

Mtanzania

Siri ya motto aliyeibwa Dar yafichuka

Mtanzania 250714

Mama mzazi wa Marylin Repyson (kulia), Elida Fundi, akiwa amembeba mwanawe huku akiomba jana baada ya kuwasili nyumbani kwake Changanyikeni jijini Dar es Salaam. Picha na Fidelis Felix.

Aziza Masoud na Maneno Selanyika, Dar es Salaam

HATIMAYE kinara wa wizi wa watoto jijini Dar es Salaam, Amir Juma, amekamatwa na Jeshi la Polisi akiwa mkoani Tanga.

Juma anadaiwa kumuiba mtoto, Merlin Repyson (4) katika eneo la Changanyikeni siku nane zilizopita.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa...

 

11 years ago

Michuzi

MANNY CHUGA AJIANDAA KUMKABILI SELEMANI MOTTO MARCH 23



Kocha wa mchezo wa ngumi Kwame Mkuluma kushoto  akimwelekeza bondia Amani Bariki 'Manny Chuga' jinsi ya kupiga ngumi kwa shabaha wakati wa mazoezi yake yaliyofanyika katika klabu ya Biafra Mburahati kwa ajili ya kujiandaa na mpambano wake na Selemani Motto utakaofanyika March 23 katika ukumbi wa friends corner hotel manzese Dar es salaam 

Kocha wa mchezo wa ngumi Waziri Chara (kushoto ) akimwelekeza bondia Amani Bariki 'Manny Chuga'  jinsi ya kupiga begi wakati wa mazoezi yake...

 

10 years ago

GPL

NYONI AMBWAGA CANNAVARO TUZO ZA TASWA, MOTTO AFANYA MAAJABU

Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kushoto), akikabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014, na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Asah Mwambene muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hizo zlizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ndani ya Ukumbi wa Diamond Jublee. Mgeni rasmi katika tuzo za Twaswa 2014, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar DK. Ali Mohamed Shein (kulia), akikabidhi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani