Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa:Wanandoa wasiotaka watoto ni walafi

Kiongozi wa kanisa katoliki duniani papa Francis amesema kuwa wanandoa wasio na watoto ni chanzo cha kizazi cha ulafi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

China wameamua mabadiliko kuanzia January 2016 kuhusu idadi ya watoto kwa wanandoa..

Tunajua na imekuwa ikifahamika kwamba kwa kipindi kirefu China wamekuwa na utaratibu wa kila wanandoa au wapenzi kuruhusiwa kuwa na mtoto mmoja tu… japo China wana Sheria hiyo bado ni nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi duniani !! Kwa sasa China ina jumla ya watu Bilioni 1.35 ikifatiwa na India yenye watu bilioni 1.25… […]

The post China wameamua mabadiliko kuanzia January 2016 kuhusu idadi ya watoto kwa wanandoa.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto wapewa jina la Papa Kenya

Akina mama kadhaa katika mji wa Kakamega uliopo magharibi mwa Kenya wameamua kuwaita watoto wao jina la Papa Francis.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Viongozi walafi wanasababisha ugaidi

RAIS Jakaya Kikwete ameendelea kusisitiza umuhimu wa wananchi kupata fursa bila ubaguzi ya kunufaika na rasilimali za taifa lao, ambapo mara hii, ameonya kuhusu kitendo cha sehemu ya jamii kunufaika zaidi katika taifa na wengine kujihisi wanadhulumiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Motto: CCM inaponzwa na walafi, wapenda madaraka

Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakilalamikiwa na vyama vya siasa ni tabia ya baadhi ya wanachama ambao ni viongozikuingia tena katika ushindani ili kupata nyadhifa nyingine za uongozi katika chama hicho hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasiotaka kujitenga Scotland waongoza

Matokeo ya awali ya kura ya maoni ya uhuru wa Scotland yameanza kutolewa huku wasiotaka kujitenga wakiongoza.

 

11 years ago

Mwananchi

CUF: Wasiotaka Serikali ya Umoja wafukuzwe

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema wanasiasa wanaojadili suala la kuendelea au kutokuendelea na Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), wanastahili kujiuzulu au kufukuzwa ndani ya vyama vyao.

 

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

11 years ago

GPL

PAPA FRANCIS AWATANGAZA PAPA JOHN PAUL II, JOHN XXIII KUWA WATAKATIFU

Mahujaji wakifuatilia tukio la kuwatangaza watakatifu Papa John Paul II na John XXIII jijini Vatican leo. Papa Francis akiongoza ibada kabla ya kuwatangaza watakatifu.…

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI LUKUVI ATAKA MAAFISA ARDHI KUWAFUATILIA WAMILIKI WASIOTAKA KUCHUKUA HATI ZA ARDHI

  Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akitoa maelekezo mbele ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Mary Makondo (wa tatu kushoto), Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Arusha Dkt John Pima (Wa kwanza kushoto) pamoja na Msajili Msaidizi wa Hati katika ofisi ya Ardhi mkoa wa Arusha Juliana Ngonyani wakati akikagua masijala ya ardhi alipokwenda kuzindua ofisi hiyo jana. Baadhi ya Watendaji wa sekta ya ardhi mkoa wa Arusha na wananchi wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani