China wameamua mabadiliko kuanzia January 2016 kuhusu idadi ya watoto kwa wanandoa..
Tunajua na imekuwa ikifahamika kwamba kwa kipindi kirefu China wamekuwa na utaratibu wa kila wanandoa au wapenzi kuruhusiwa kuwa na mtoto mmoja tu… japo China wana Sheria hiyo bado ni nchi inayoongoza kwa kuwa na watu wengi zaidi duniani !! Kwa sasa China ina jumla ya watu Bilioni 1.35 ikifatiwa na India yenye watu bilioni 1.25… […]
The post China wameamua mabadiliko kuanzia January 2016 kuhusu idadi ya watoto kwa wanandoa.. appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
TEEP 2016 – 2nd Annual Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Round Launches 1st January 2016
Mr. Tony Elumelu (in red tie) addresses the 2015 TEEP Participants during the three day boot camp in Ota Nigeria 11th July 2015.
2015 TEEP entrepreneurs from all over Africa take a group picture with Mr. Tony Elumelu (in Red tie) during the boot camp in Ota Nigeria.
Some of the TEEP participants from Tanzania having dinner organized for them by United Bank for Africa as send off to the boot camp in Ota Nigeria.
Happy 2015 TEEP entrepreneurs who represented Tanzania as they head for the...
11 years ago
MichuziLHRC YATOA TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NUSU MWAKA KUANZIA JANUARY HADI JUNI 2014
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimesema kuwa hadi kufikia Juni 2014 wanawake na wasichana 2878 wamebakwa nchini kutokana na vitendo vya ukatili dhidi yao.
Hayo yalibainishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba wakati akitoa taarifa ya kipindi cha nusu mwaka kuanzia Januari na Juni mwaka huu kwa vyombo vya habari Dar es Salaam leo.
"Vitendo hivyo vya kikatili dhidi ya makundi hayo vilivyoripotiwa polisi kwa nchi nzima vilikuwa 3,633"...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Wanandoa wa Canada kuchunguzwa China
10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Papa:Wanandoa wasiotaka watoto ni walafi
9 years ago
Michuzi06 Jan
9 years ago
Bongo517 Dec
Ujenzi wa Flyover za Dar kuanza January, 2016 – Magufuli
![Magufuli](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Magufuli-300x194.jpg)
Rais Dk John Pombe Magufuli amesema ujenzi wa barabara zinazopita juu, flyover jijini Dar es Salaam utaanza rasmi January mwakani.
Magufuli amesema hayo jana baada ya mkutano na ujumbe kutoka kwa waziri mkuu wa Japan, Shinzō Abe ikulu jijini Dar es Salaam.
Ujenzi huo utafanyika kwa ushirikiano wa Tanzania na Japan.
“Kandarasi ameshakuja, ameshaanza kufanya mobilization pale TAZARA, fedha zipo na advance payment ameshalipwa, kwahiyo inawezekana kwenye mwezi wa kwanza jiwe la msingi...
9 years ago
Bongo509 Nov
Q-Chief asema anatarajia kufunga ndoa January 2016
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Staa wa muziki Aboubakary Shabani Katwila a.k.a Q-Chief, ambaye tayari amejaliwa kuwa baba yuko mbioni kuiaga kambi ya mabachela.
Q-Chief ametangaza kuwa sasa ameona ni wakati muafaka wa kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu.
Akizungumza na E-Newz ya EATV, Q Chilla amesema katika maandalizi yake hayo ya harusi itakayofanyika mwezi January mwakani, pia ameandaa wimbo maalum kwa ajili ya mchumba wake huyo ambaye ni mzaliwa wa hapa nchini Tanzania.
“Wimbo ambao nimemzawadia mke...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nGTcCv7erQIqJWnCVKMo8DcvpUZ8XXQLFkehyusPUUcLPrngyBIiYZY59ngCyS1Vk8SgutDZo1BsERYVBu9rJjMapI98zw3t/IKULU.png?width=650)
TANGAZO LA SERIKALI KUHUSU KUVUNJWA KWA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016
Mwimbaji Harmonize wa single ya ‘Aiyola‘ akiwa ni mwimbaji wa kwanza kutambulishwa kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz, January 1 2016 alifanya show yake ya pili toka ameitoa Aiyola, kila kitu nimekuwekea kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.