Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NYONI AMBWAGA CANNAVARO TUZO ZA TASWA, MOTTO AFANYA MAAJABU

Beki wa Azam FC, Erasto Nyoni (kushoto), akikabidhiwa tuzo ya mchezaji bora wa mwaka 2014, na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo Asah Mwambene muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa tuzo hizo zlizoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), ndani ya Ukumbi wa Diamond Jublee. Mgeni rasmi katika tuzo za Twaswa 2014, Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar DK. Ali Mohamed Shein (kulia), akikabidhi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA KUSIMAMIA TUZO ZA TASWA YATOA ORODHA YA WANAMICHEZO WANAOWANIA TUZO HIZO

KAMATI ya Kusimamia Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania zinazotolewa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ilikutana Dar es Salaam jana na kupitia majina ya wanamichezo waliopendekezwa kuwania tuzo hizo.
Usiku wa Tuzo utafanyika Desemba 12 mwaka huu ukumbi wa Diamond, Jubilee (VIP), Dar es Salaam, ambapo wanamichezo mbalimbali waliofanya vizuri kati ya Juni 2013 hadi Juni 2014 watakabidhiwa tuzo zao.
Ni imani yetu kwamba zaidi ya wanamichezo 40 watakabidhiwa tuzo zao siku...

 

10 years ago

Bongo5

Best African Entertainer: Diamond ambwaga Davido kwenye tuzo za IRAWMA

Diamond Platnumz amewabwaga Davido, Awilo Longomba, Willy Paul Msafi (Kenya) na Eddy Kenzo wa Uganda na kushinda kipengele cha ‘mtumbuizaji bora wa Afrika – Best African Entertainer kwenye tuzo za IRAWMA (International Reggae and World Music Awards). “It always seems impossible until it’s Done!…ningependa kuwataarifu Wadau wangu kwamba #MdogoMdodo ndio nyimbo bora yenye Mahadhi ya […]

 

9 years ago

Bongo5

Dewji ambwaga rais wa Nigeria na kushinda tuzo ya Forbes, ‘Person Of The Year 2015’

12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n

Mwenyekiti Mtendaji wa METL, Mohammed Dewji amembwaga rais wa Nigeria, Muhammadu Buhari na wengine watatu kwenye kinyang’anyiro cha tuzo za ‘Forbes Africa’s Person Of The Year 2015’ zilizotolewa jana.

12246983_1045350848843660_8510001966156339010_n

“Congratulations to Tanzanian businessman and philanthropist extraordinaire, Muhammed Dewji on being named Forbes Africa’s Person Of The Year 2015. ‪#‎FAPOY2015‬,” wameandika Forbes

Akipokea tuzo hiyo Dewji alidai kuitoa kwa vijana wa Tanzania.

12311229_1063019103729540_1978545552083464653_n

Ushindi huo unakuja baada ya hivi karibuni...

 

5 years ago

Raia Mwema

Mganga mashuhuri duniani afanya maajabu Uingereza

TAKRIBANI mwezi sasa umepita nchi ya Uingereza ilimpokea mganga mwenye miujiza ya ajabu na kutata

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

PROFESA CALABASH AFANYA MAAJABU DAR LIVE

Mtaalam wa michezo ya watoto na maigizo nchini, Profesa Calabash katika sikukuu ya Eid al Hajj, Oktoba 5, 2014 alifanya maajabu ndani ya Ukumbi wa burudani wa Dar Live uliopo Mbagala - Zakhem, jijini Dar.

 

9 years ago

Dewji Blog

KARIBU MUSIC FESTIVALS 2015: Papa Wemba afanya maajabu Bagamoyo!

DSC_1032

Mwanamuziki nguli wa dansi kutoka DRC Congo, Papaa Wemba  kushoto akiimba na kucheza sambamba na madansa wake  jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha la muzuki la Karibu Music Festival msimu wa pili linaloendelea katika viwanja vya Mwanakalenge,mjini Bagamoyo. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[BAGAMOYO-TANZANIA]  Mwanamuziki kutoka Congo mwenye makazi yake nchini Ufaransa, Papaa Wemba, ameweza kuonyesha ukomavu wake kwenye muziki wa dansi licha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Taswa yaunda Kamati ya Tuzo

CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (Taswa), kimeunda Kamati Maalumu ya kusimamia utoaji wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania. Kamati hiyo ya watu 12, itakuwa chini ya uenyekiti...

 

9 years ago

Habarileo

Tanapa yajitosa Tuzo za Taswa

MAMLAKA ya Hifadhi za Taifa (TANAPA) ni miongoni mwa wadhamini wa Tuzo za Wanamichezo Bora Tanzania waliofanya vizuri zaidi katika miaka 10 ya Rais Jakaya Kikwete zinazotarajiwa kufanyika keshokutwa kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE APEWA TUZO NA TASWA

Mwenyekiti wa TASWA Bwana Juma Pinto akimpa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete kwa kutambua mchango wake mkubwa katika kuendeleza michezo nchini wakati wa hafla maalum ilioandaliwa na TASWA katika ukumbi wa Mlimani City jana  jijini Dar es Salaam.Picha na Freddy Maro)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani