IGP MANGU ATUMA TIMU MAALUM MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-m7XaZAZLTtg/U0fi3AjSJxI/AAAAAAAFZ_g/_osnZAGiSrk/s72-c/New+Picture.bmp)
Katika siku za hivi karibuni, huko mkoani Mara wilaya ya Butiama kumejitokeza matukio ya mauaji yanayowalenga hasa akina mama wawapo katika shughuli zao mbalimbali.
Kufuatia matukio hayo, Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu ametuma timu maalum ya wataamu itakayoongozwa na Mkurugenzi wa Upelelezi wa makosa ya jinai nchini, DCI Issaya Mngulu kwenda mkoani humo kuongeza nguvu kwa kushirikiana na wataalam wa mkoa huo, ili kuhakikisha kwamba wote wanaojihusisha na vitendo hivyo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s72-c/New%2BPicture.png)
Rais Magufuli atuma salamu za pole kwa IGP Mangu
![](http://2.bp.blogspot.com/-ug-NBABHisU/VozvSJ8k3aI/AAAAAAAIQyo/GiQ08RZjjnE/s1600/New%2BPicture.png)
Simu: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: press@ikulu.go.tzTovuti : www.ikulu.go.tz Faksi: 255-22-2113425
OFISI YA RAIS, IKULU, 1 BARABARA YA BARACK OBAMA, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi hapa Nchini IGP Ernest Mangu kufuatia kifo cha msaidizi wake Inspekta - Gerald Ryoba...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ooQnacLhpoY/VZf2X7Z-pRI/AAAAAAAHm3c/E5uvCj-cvJQ/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
IGP MANGU AFANYA ZIARA YA KIKAZI MKOANI PWANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ooQnacLhpoY/VZf2X7Z-pRI/AAAAAAAHm3c/E5uvCj-cvJQ/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uqadbYFcOsQ/VZf2X5KH8II/AAAAAAAHm3M/Rw5ykqdxeq8/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s72-c/unnamed%2B(69).jpg)
IGP MANGU AWASILI MKOANI MOROGORO KUFUNGUA MKUTANO WA SITA WA MWAKA URA-SACCOS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IKfhOnFJPzY/VSY2GBr-W7I/AAAAAAAHPvw/YUePZdNkMSU/s1600/unnamed%2B(69).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FpUfZYIPbRM/VSY2GVaoR1I/AAAAAAAHPv4/P61JnHldizM/s1600/unnamed%2B(70).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
IGP Mangu awafunda Polisi
MAOFISA na askari Polisi nchini wametakiwa kuendelea kufanya kazi kwa kufuata misingi na maadili ya kazi ili kuendelea kutoa huduma bora kwa jamii. Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP)...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s72-c/1.jpg)
MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA
![](http://3.bp.blogspot.com/-prFe0IwzjMs/VfhpmsGhVNI/AAAAAAAH5EA/CxQHt6U7i4I/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tsiZAHkOin0/VfhpxGyMqRI/AAAAAAAH5Eg/rSdPFad4r4M/s640/2.jpg)
10 years ago
MichuziMAZOEZI YANAJENGA AFYA — IGP MANGU
10 years ago
Michuzi18 Nov
IGP MANGU AONGEZA ASKARI KITETO
![E88A9486](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9486.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
![E88A9514](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/11/E88A9514.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Sep
Chadema ngangari, IGP Mangu aonya
![Dk. Wilbrod Slaa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Willibrod-Slaa.jpg)
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa
NA WAANDISHI WETU, DAR NA MIKOANI
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kuwa ngangari kwa kusisitiza kuwa maandamano yake yako palepale.
Chadema kimesema kuwa watajilinda wenyewe katika mikutano yao kwa sababu wana vijana waliopata mafunzo ya ulinzi na usalama.
Chama hicho jana kilitangaza kuanza kutekeleza maazimio ya mkutano wake mkuu kwa ajili ya kufanya maandamano na migomo isiyo na ukomo nchi nzima.
Wakati Chadema wakisisitiza...