Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing Dj Mix Version "Gere Rudmixx"

Shukrani kwa mapokezi mazito ya "East African Gere Remix" Salute kwa support yenu Upakuzi mkito na Requests Redioni. Kama Tulivyoahidi kuwapa Deejay Version aka "Rudmixx" Tarehe 19 Januari Bofya HAPA https://mkito.com/song/gere-rudmixx/12262 powered by @weusikampuni @vmgafrica @mkitodotcom www.vmgafrica.com @defxtro #supportafricanartists

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Diamond and Tanasha’s Gere video hit with controversy

Diamond and Tanasha’s Gere video hit with controversy  The Citizen Daily

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WA MASSACHUSETTS NINAWAONEA GERE KWA UPENDO NA MSHIKAMANO WENU

Na Mwandishi wetu, Washinton, DCKitendo cha Watanzania wa Massachusetts cha kujitokeza kwa wingi kwenye kisomo cha Rashid Mkakile ndicho kilichonipa msukumo na wa mimi kuandika haya ya kwangu kutoka rohoni, sio kwa nia mbaya bali ni kujivunia Utanzania wangu na Wabongo wa Massachusetts wameninifundisha jambo ambalo siku zote kichwani mwangu nilifikiria halitawezekana kwenye Jumuiya zetu za Kitanzania zilizo mbali na nyumbani.

Maisha niliyokulia mimi ni maisha ya kuwa karibu na ndugu, jamaa na...

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Weusi f/ Navio, Naziz, Collo & Rabbit – Gere (East African Remix)

Weusi wameachia remix ya hit single yao ‘Gere’ ambapo wamewakusanya miongoni rappers wakali wa Kenya na Uganda. Walioshirikishwa ni pamoja na Naziz, Collo na Rabbit wa Kenya na Navio wa Uganda. Pia kwenye remix hii utamsikia Lord Eyez.

 

10 years ago

Bongo5

Weusi waingia studio na Navio wa Uganda kufanya ‘Gere’ East African remix waliyowashirikisha Naziz na Collo

Kundi la Weusi limemeingia tena studio, lakini safari hii wakiwa na rapper Navio kutoka Uganda ambaye yupo jijini Dar es salaam kwa sasa. Weusi wamemuongeza Navio kwenye remix ya single yao ‘Gere’, ambayo tayari walitangaza kuwa wameifanyia remix nchini Kenya miezi kadhaa iliyopita na kuwashirikisha Collo na Naziz na hivyo kuifanya kuwa ni remix iliyohusisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani