WATANZANIA WA MASSACHUSETTS NINAWAONEA GERE KWA UPENDO NA MSHIKAMANO WENU
Na Mwandishi wetu, Washinton, DCKitendo cha Watanzania wa Massachusetts cha kujitokeza kwa wingi kwenye kisomo cha Rashid Mkakile ndicho kilichonipa msukumo na wa mimi kuandika haya ya kwangu kutoka rohoni, sio kwa nia mbaya bali ni kujivunia Utanzania wangu na Wabongo wa Massachusetts wameninifundisha jambo ambalo siku zote kichwani mwangu nilifikiria halitawezekana kwenye Jumuiya zetu za Kitanzania zilizo mbali na nyumbani.
Maisha niliyokulia mimi ni maisha ya kuwa karibu na ndugu, jamaa na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Nov
Asanteni Watanzania kwa upendo wenu
RAIS Jakaya Kikwete juzi alikutana na kufanya mazungumzo na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohammed Chande Othman na ujumbe wake ambao uko nchini Marekani kikazi. Aidha, Rais Kikwete amewashukuru Watanzania kwa maelfu ya salamu za upendo kwake zikimtakia heri aweze kupona, ambazo Rais amekuwa anapokea.
10 years ago
VijimamboWATANZANIA MASSACHUSETTS NI MFANO WA KUIGWA WAJITOKEZA KWA WINGI KISOMO CHA MKAKILE
10 years ago
Dewji Blog01 Aug
Mgombea Ubunge Arusha , Mustafa Panju apandikiza mbegu ya Upendo, Amani na Mshikamano
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
Mkurugenzi wa Bushback Safaris, Mustafa Panju ambaye ni mtia nia ubunge wa jimbo la Arusha kwa tiketi ya CCM akiwaonyesha kadi ya CCM inayoonyesha imani ya mwanachamana kwa wanahabari pamoja na wadau mbalimbali jijini Arusha, pia alizungumzia kuhusu mchakato wa ndani ya chama kumpata mgombea wa Ubunge wa jimbo la Arusha kupitia CCM siku moja baada ya kumalizika kwa mchakato wa kuzunguka katika kata 25 za kuomba kura kwa wananchama wa chama hicho,aliwataka wananchi kumchagua mwanachama...
10 years ago
Michuzi01 Aug
MGOMBEA UBUNGE ARUSHA ,MUSTAFA PANJU APANDIKIZA MBEGU YA UPENDO,AMANI NA MSHIKAMANO
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![SAM_4682](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/2G7ZeKN7bP0VKyvIMLSi8rCMEgdsCihJjwaTJjflAObkjdzqTGczYdbuhMR3iAYP0JxSRreF2lFxpt_pV21l77q5Mmu9e09tiT4B6GjMjgy9o6I=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/07/sam_4682.jpg)
10 years ago
MichuziSOKA FESTIVAL MASSACHUSETTS CHINI YA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW ENGLAND YAFANA
10 years ago
GPLSOKA FESTIVAL MASSACHUSETTS CHINI YA UONGOZI WA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW ENGLAND YAFANA
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania washauriwa kudumisha umoja, mshikamano
WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza upendo miongoni mwao bila ya kubaguana kwa misingi ya rangi, kabila na dini, ili kuendeleza jamii na nchi kwa ujumla. Akizungumza wakati wa kuchangisha fedha kwa ajili...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cyoUCcab-To/VFokOc0rYjI/AAAAAAAGvpQ/5A2tUDyZXCQ/s72-c/unnamed.jpg)
Watanzania watakiwa kudumisha Amani na Mshikamano
Watanzania wametakiwa kuendeleza amani na mashikamano uliopo kwa maslahi ya Kizazi hiki na Kizazi Kijacho kwa kuenzi misingi ya Amani na Uzalendo iliyojengwa na Waasisi wa Taifa hili.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na aliyekuwa Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Bw. Amon Mpanju ambaye pia ni mwenyekiti wa wa shirikisho la vyama vya watu wenye ulemavu Tanzania.
Nchi ni zaidi ya itikadi na Mihemko ya watu wachache hivyo ni lazima tuwaepuke wote wanaotaka...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
NinapodadavuaVijana jitokezeni kwa wingi, huu ni wakati wenu