Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NinapodadavuaVijana jitokezeni kwa wingi, huu ni wakati wenu

Chama Cha Mapinduzi mwanzoni mwa mwaka huu kiliwaonya makada wake sita kwa kufanya kampeni kabla ya wakati. Waliopewa angalizo hilo walikuwa ni Edward Lowassa, Frederick Sumaye, Bernard Membe, Stephen Wassira, William Ngeleja pamoja na January Makamba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WANAWAKE JITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA - MAMA SALMA KIKWETE

Na Anna Nkinda – TarimeWANAWAKE wilayani Tarime wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupiga kura siku ya uchaguzi mkuu utakaofanyika mwishoni mwa mwezi huu itakapofika na wachague viongozi watakaowaona wanafaa ambao watawaletea  maendeleo.
Rai hiyo imetolewa leo na  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI TENDE ZINALIWA SANA WAKATI HUU?

Ni swali linaloulizwa na watu wengi msimu huu wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Tunda hili lina historia ndefu, ukiacha imani ya kidini kuwa ni suna kuanza kufungua kwa kula tende, kisayansi tende imethibitika kusheheni madini na vitamini lukuki. ZIJUE FAIDA 10 ZA TENDE
1. Katika tende kuna kiasi kidogo tu cha mafuta (fat) na haina lehemu (kolestrol). Pasipo na chakula, mtu unaweza kuishi siku nyingi kwa kula tende tu. 2. Ukila...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -8

Tunaendelea na mada yetu ambayo tulianza nayo wiki kadhaa zilizopita. Lengo ni kuwekana sawa katika suala zima la mapenzi ili asiwepo wa kuja kujuta baadaye kwa sababu alishindwa kutimiza wajibu wake kwa ampendaye. Tunaendelea na mifano ya jinsi kushindwa kutimiza wajibu kunavyoweza kuleta athari. Endelea... akuishia hapo, Hawa akaanzisha uhusiano wa pembeni na wanaume wengine. Matali alipoona mambo magumu, ikabidi aachie ngazi....

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -3

MSINGI wa makala haya ni kukutaka ubaki njia kuu. Usiupuuze uhusiano wako unaokupa faraja kwa tamaa za muda mfupi. Tupo sehemu ya tatu, na ni imani yangu kubwa kwamba mwisho wa somo hili, utajifunza kitu kikubwa sana. Ni ukweli ulio wazi kuwa huna sababu ya kujuta, badala yake unachotakiwa kufanya ni kutimiza wajibu wako leo. Siku zote ni lazima ukumbuke kuwa mapenzi uliyonayo au unayopata kutoka kwa mwenzi wako hivi sasa,...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -7

Janga kuu ambalo limeendelea kusumbua ni kuwa mtu akiwa nacho anaweza kukifuja utadhani hakitaondoka. Ni kosa kubwa kushindwa kumtunza mwenzi wako kwa kiburi tu kuwa kwako ameshafika na hataondoka. Usicheze na moyo wa mwenzio. Usifanye majaribio ya kujuta baadaye. Kufanya jambo lolote la maudhi kwa mwenzi wako kwa makusudi ni jaribio la wewe kujuta baadaye. Unayemuudhi ni binadamu, ana moyo kama ulionao wewe. Siku atakapofanya...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI UJUTE BAADAYE? WAKATI NI HUU WA KUTIMIZA WAJIBU -6

Gaudensia: “Kwa hiyo umeacha makusudi ili kunithibitishia kuwa ulikuwa ukitembea na wanawake ovyoovyo?” Reina: “Siyo kutembea ovyoovyo, kwani wewe ulitegemea muda huo wote ningekuwa bila mwanamke? Acha utani kabisa, hata wewe kule Dodoma mimi nitajuaje kama siku zote hukuwa na wanaume? Tena nyie wanafunzi wa Udom kwa wabunge ndiyo zenu.” Baada ya kuzungumza hivyo, Gaudensia alianza kufanya usafi kwa...

 

9 years ago

Vijimambo

MCHANGO WANGU WA MAWAZO KWA WA TANZANIA WAKATI HUU WA UCHAGUZI WA 2015.

Kwa viongozi wa ngazi zote, kwa wanasiasa, waumini au washilika wa madhehebu mbali mbali, wafanyakazi wa ngazi zote,wakulima,wafanyavyashala,wanafunzi,watu wa lika zote,wagombea viti mbali mbali n.k. Ndugu na lafiki zangu wa Tanzania, mimi naitwa CHARLES M.KAROLI wa Canada.Kama mtu ambaye niliwahi kuishi Tanzania kama mkimbizi zaidi ya myaka 15 na kukaa katika kambi tofauti mikoani ya Kigoma na Kagera na kutembea ktk mikoa mbali mbali pamoja na kujifunza mambo mengi kwa wa Tanzania ndugu na...

 

5 years ago

Michuzi

BrighterMonday Tanzania yaja na suluhisho kwa waajiri wakati huu wa mlipuko wa corona


Mlipuko wa homa kali ya mapafu, COVID-19 au Virus via Corona, umeleta athari katika nyanja mbalimbali za kiuchumi kote duniani, ikiwemo sekta ya ajira. Baadhi ya makampuni yamelazimika kupunguza idadi ya waajiriwa, mengine yakilazimika kufunga biashara na uzalishaji, huku mengine yakisaidia juhudi za seriali na hata sekta binafsi kukabiliana na matokeo ya mlipuko wa virusi vya Corona ili kusaidia kurudisha mataifa katika kawaida ya uzalishaji.
Hapa Tanzania, makampuni Mengi yamechangia...

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI ARUSHA LAJIPANGA KUTOA USHIRIKIANO KWA WAONGOZA UTALII WAKATI HUU WA CORONA

Na Woinde Shizza,Arusha

Jeshi la polisi Mkoa wa Arusha,limejipanga kutoa ushirikiano kwa waongoza utalii mkoani hapa katika kipindi hiki ambacho wanatarajia kuanza kupokea watalii kwa vingi baada ya ugonjwa wa Corona kupungua kwa kiasi kikubwa hapa nchini.

Akizungumza wakati akifungua mafunzo ya siku sita ya wadau wa utalii yaliyoandaliwa na chama cha waongoza utalii Tanzania (TSG)jijini hapa,Kamanda wa polisi mkoa wa Arusha,Jonathan Shanna alisema kuwa jeshi hilo lipo imara kuimarisha ulinzi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani