INTRODUCING LadyFire ft Jambo Squad-Unabanjuka
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi04 Dec
9 years ago
Bongo501 Sep
Music: Jambo Squad Ft Young Omega — Jambo Squad Cafe
Vijana wa Jambo Squad kutoka Arusha wameachia wimbo mpya unaitwa “Jambo Squad Cafe” wamemshirikisha Young Omega Producer: DX (Mix.Noiz) Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gphGqsPJKMs/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/OfaJqCUoug0/default.jpg)
9 years ago
Bongo507 Sep
Jambo Squad wafungua mgahawa Arusha
Wasanii wa kundi la Jambo Squad kutoka Arusha wamethibitisha kauli ya kuwa muziki unalipa baada ya kufungua mgahawa jijini humo. Jambo Squad wamedai kuwa licha ya kuonekana wanafanya muziki wa tofauti, wameweza kupiga hatua kimaisha. “Sisi ni watoto wa uswahilini, tumelelewa uswahilini so maisha tunayajua,” waliiambia XXL ya Clouds FM. “Sisi ni watu wa biashara […]
10 years ago
Bongo504 Dec
New Video: Jambo Squad ft Nakaaya — Naarendu
Video mpya kutoka kwa Jambo Squad kutoka Arusha wakimshirikisha Nakaaya wimbo unaitwa “Naarendu” video imetaarishwa na kampuni ya Hoodpixx VMG Visual
9 years ago
Bongo504 Oct
Music: Jambo Squad, Young Omega, Ruff G, J Deal — Kanuna[MyWoman]
Kundi la JamboSquad kutoka mkoani Arusha wametoa Remix ya “My Woman” huu wimbo wao unaitwa “Kanuna” wamewashirikisha Young Omega, Ruff G, J Deal. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
10 years ago
Michuzi27 Dec
10 years ago
VijimamboJAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania