introducing "Natafuta" by Ema TheBoy
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
ZAMARADI:Natafuta Muigizaji Msichana!!!
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mtangazaji na muongozaji filamu Zamaradi Mtetema, ametoa fursa hii.
“Kwa wale wote wenye ndoto za kuwa WAIGIZAJI WAKUBWA na kama UNA KIPAJI CHA UKWELI hii inakuhusu!!! Ntatangaza rasmi tarehe ya USAILI na MAHALA pa usaili kwa ajili ya filamu MPYA inayotarajiwa kuanza kushutiwa mwishoni mwa mwezi huu ama mwanzoni mwa mwezi unaokuja INSHA'ALLAH!!!
Nafasi ni MOJA tu.. na anaetafutwa hapa ni MSICHANA ambae ndio atakuwa kama muhusika mkuu wa filamu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ8uDF5zpZ-0R46oQG1XThuXJiBccg6zTtcU11g3VGWsDZ3OdST76RTDp5rTuublqJ4EgfoXbPph4kcDLllyPklt/jakayakikwete1.jpg?width=650)
NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s72-c/ray%2Bc2.jpg)
Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s400/ray%2Bc2.jpg)
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...
9 years ago
BBCSwahili27 Oct
Diamond Platinumz atuzwa na MTV EMA Milan
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/dimaond.jpg)
DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Diamond amshinda Miss Dunia tuzo za MTV-EMA
NA MWANDISHI WETU
MKALI WA muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, amempiku mwigizaji na mwanamuziki aliyewahi kuwa mrembo wa dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra, kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV-EMA).
Tuzo hizo zilizofanyika nchini Italia usiku wa kuamkia jana, wawili hao walikuwa wanachuana kwenye kipengele cha ‘Best Worldwide Act’, tuzo ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa nyota wengine wa muziki kutoka mataifa ya Australia, New Zealand,...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Capture.png)
DIAMOND KUCHUANA NA PRIYANKA CHOPRA KWENYE MTV EMA 2015
9 years ago
Bongo512 Dec
Picha: Diamond akabidhiwa tuzo zake za MTV EMA 2015
![diamond ema](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/diamond-ema-300x194.jpg)
Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best African Act’ na ‘Best World Wide Act’ kwenye MTV EMA 2015, hatimaye Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi tuzo zake Ijumaa hii Dec 11.
Kupitia Instagram yake Diamond alipost picha akikabidhiwa tuzo hizo na kuandika:
“What a nice day.. have jus Received my Trophies from @MtvEma as the #BestAfricanAct #BestWorldWideAct only God knows How much i was waiting for them….@melaniecarmen @babutale … thaks alot @MtvEma”
Tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilitolewa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-rc14m10Uv9Y/ViaXaJ43YCI/AAAAAAAIBX4/T-_ijDsJ7F8/s72-c/diamondPlatnumz_001_lrg.jpg)
Diamond Platnumz wina the 2015 MTV EMA Best African Act.
![](http://1.bp.blogspot.com/-rc14m10Uv9Y/ViaXaJ43YCI/AAAAAAAIBX4/T-_ijDsJ7F8/s640/diamondPlatnumz_001_lrg.jpg)