Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


introducing "Natafuta" by Ema TheBoy

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

ZAMARADI:Natafuta Muigizaji Msichana!!!

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mtangazaji na muongozaji filamu Zamaradi Mtetema, ametoa fursa hii.

“Kwa wale wote wenye ndoto za kuwa WAIGIZAJI WAKUBWA na kama UNA KIPAJI CHA UKWELI hii inakuhusu!!! Ntatangaza rasmi tarehe ya USAILI na MAHALA pa usaili kwa ajili ya filamu MPYA inayotarajiwa kuanza kushutiwa mwishoni mwa mwezi huu ama mwanzoni mwa mwezi unaokuja INSHA'ALLAH!!!
Nafasi ni MOJA tu.. na anaetafutwa hapa ni MSICHANA ambae ndio atakuwa kama muhusika mkuu wa filamu...

 

10 years ago

GPL

NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!

UCHAGUZI Mkuu wa tano wa Tanzania katika mfumo wa vyama vingi vya siasa unatazamiwa kufanyika Oktoba mwaka huu. Ingawa haijafahamika tarehe wala ni nani hasa atapewa nafasi hiyo ya kumrithi Jakaya Kikwete, angalau majina kadhaa yanatajwa, kutoka kambi zote. Wapo wanaotajwa kutoka CCM na kambi ya upinzani kwa ujumla wao, ambao kwa jinsi tunavyoendelea, ni wazi kuwa watawakilishwa na mgombea kutoka kundi la Ukawa. Kiuhalisia, hawa...

 

10 years ago

Vijimambo

Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye


Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...

 

9 years ago

BBCSwahili

Diamond Platinumz atuzwa na MTV EMA Milan

Diamond Platinumz, amewabwaga wasanii wengine wa Afrika na India na kuondoka na tuzo la onyesho bora yaani Best African/Indian Act.

 

9 years ago

GPL

DIAMOND ATWAA TUZO YA MTV EMA NCHINI ITALIA

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na tuzo yake kutoka MTV EMA. STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ jana ametwaa tuzo ya MTV EMA katika kipengele cha ‘Best Worldwide Act: Africa/India’ akimgalagaza Miss World 2000, Priyanka Chopra. Diamond alikuwa akichuana na muigizaji wa filamu na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra katika tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV EMA) kwenye...

 

9 years ago

Mtanzania

Diamond amshinda Miss Dunia tuzo za MTV-EMA

hhjNA MWANDISHI WETU

MKALI WA muziki wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul, maarufu kama Diamond Platnumz, amempiku mwigizaji na mwanamuziki aliyewahi kuwa mrembo wa dunia mwaka 2000, Priyanka Chopra, kwenye tuzo za MTV Europe Music Awards (MTV-EMA).

Tuzo hizo zilizofanyika nchini Italia usiku wa kuamkia jana, wawili hao walikuwa wanachuana kwenye kipengele cha ‘Best Worldwide Act’, tuzo ambayo ilikuwa na ushindani mkubwa kutoka kwa nyota wengine wa muziki kutoka mataifa ya Australia, New Zealand,...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND KUCHUANA NA PRIYANKA CHOPRA KWENYE MTV EMA 2015

Staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul 'Diamond Platnumz'. Muigizaji wa filamu, muimbaji na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra. STAA wa Bongo Fleva, Nasib Abdul 'Diamond Platnumz' ametajwa kuchuana na muigizaji wa filamu na aliyekuwa Mrembo wa Dunia (Miss World 2000), Priyanka Chopra…

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond akabidhiwa tuzo zake za MTV EMA 2015

diamond ema

Baada ya kushinda tuzo ya ‘Best African Act’ na ‘Best World Wide Act’ kwenye MTV EMA 2015, hatimaye Diamond Platnumz amekabidhiwa rasmi tuzo zake Ijumaa hii Dec 11.

dai ema

Kupitia Instagram yake Diamond alipost picha akikabidhiwa tuzo hizo na kuandika:

“What a nice day.. have jus Received my Trophies from @MtvEma as the #BestAfricanAct #BestWorldWideAct only God knows How much i was waiting for them….@melaniecarmen @babutale … thaks alot @MtvEma”

Tuzo za MTV Europe Music Awards 2015 zilitolewa...

 

9 years ago

Michuzi

Diamond Platnumz wina the 2015 MTV EMA Best African Act.

MTV (130) has revealed that Diamond Platnumz is the winner of the 2015 MTV EMA Best African Act.Scores of music fans visited mtvema.com to vote for Diamond Platnumz, who beat incredible competition from AKA, Yemi Alade, Davido, and DJ Arafat.Diamond Platnumz will now go up against the winning act from India to be named Best Africa/India Act – and you can help him win. Voting is now open on mtvema.com until 24 October at 23:59 CAT.Diamond Platnumz follows in the footsteps of previous Best...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani