ZAMARADI:Natafuta Muigizaji Msichana!!!
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, mtangazaji na muongozaji filamu Zamaradi Mtetema, ametoa fursa hii.
“Kwa wale wote wenye ndoto za kuwa WAIGIZAJI WAKUBWA na kama UNA KIPAJI CHA UKWELI hii inakuhusu!!! Ntatangaza rasmi tarehe ya USAILI na MAHALA pa usaili kwa ajili ya filamu MPYA inayotarajiwa kuanza kushutiwa mwishoni mwa mwezi huu ama mwanzoni mwa mwezi unaokuja INSHA'ALLAH!!!
Nafasi ni MOJA tu.. na anaetafutwa hapa ni MSICHANA ambae ndio atakuwa kama muhusika mkuu wa filamu...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi09 Apr
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sRY-hG6lRQ8uDF5zpZ-0R46oQG1XThuXJiBccg6zTtcU11g3VGWsDZ3OdST76RTDp5rTuublqJ4EgfoXbPph4kcDLllyPklt/jakayakikwete1.jpg?width=650)
NATAFUTA KAZI NIMNADI RAIS AJAYE!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s72-c/ray%2Bc2.jpg)
Ray C : Naomba kuwatangazia kuwa natafuta mchumba wa kuishi naye milele! Atoa vigezo 10 vya mume amtakaye
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSNE4-w-sRA/VZVMtc0P8II/AAAAAAAAw8M/hBwHT0xRlFI/s400/ray%2Bc2.jpg)
Msanii wa muziki Rehema Chalamila aka Ray C amefungua mlango kwa mwanaume yoyote anayetaka kumuoa ajitokeze ilimradi awe na vigezo 10 ambavyo ameviainisha.
Kupitia ukurasa wake wa instagram Ray C ameandika:
“Habari zenu wapendwa wote dunia nzima!Leo na habari nzuri sana kwenu,Naomba kuwatangazia kuwa natafuta Mchumba wa kuishi nae milele!nataka niwe nae milele na nimzalie watoto wawili wa kike na wakiume!!!!
Ila naomba niwambie kabisa masharti
1.Awe mpole ili nikikasirika anibembeleze
2.Awe...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPy9lcpSbFihQ9VOKIVyq339IBEReClCESAXwoSy9K1M4wBXLB8D9OrHk3M-XAl4RuyfpXCB9BtxR487ouVSm1EH/WOLPER.jpg?width=650)
WOLPER, ZAMARADI...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iPu63cE5yCDmkRVtsY*b21ThvUOlXKE09xCLS37jen-BILzGEU4u1srMt7wvCVzYQPzCVM3*crTq2uXsY0WuP*1jgNTLOhHU/zamaradi.jpg)
ZAMARADI KUASILI MTOTO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zXzp3DhECP7gKNajcIDY-8wpTTTkwZqvVy-YAFrgogoUScqkEOEpxVQ31noXj1l0yjwVZgUCLCcekfqDzEWPhpEcyr4NsyjF/Zamarad.jpg)
ZAMARADI ANOGEWA NA KUZAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LYZrjK6etVfM*FxsQ1skXHX2Zdpe3FsfMWXKJY1rlONgNVFC4uTptjr-uEiMbyxoq5bV2P5A3LPPZ1NmmJa5T9RNih4rSY1s/1390187_714119705340090_527134959_n.jpg)
HAPPY BIRTHDAY ZAMARADI MKETEMA
10 years ago
Bongo Movies24 Mar
Vita ya Ray C na Zamaradi Yapamba Moto
Wale Mastaa waliodaiwa kuingia kwenye bifu zito, Zamaradi pamoja na Ray C, na baadae kupatana, huku chanzo cha bifu kikidaiwa kuwa ni mwanaume, bifu hilo limeibuka tena, huku chanzo kikidaiwa kuwa ni maneno ya kejeli ya mtangazaji zamaradi mketema kwa mwanamuziki Ray C.
Hivi karibuni Zamaradi aliposti picha ya mwanae kwenye mtandao wa Instagram akim wish Happy birthday, uku aki repost baadhi ya pongezi kutoka kwa baadhi ya mastaa na mashabiki mbali mbali wa mtangazaji huyo, kitendo ambacho...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bcylMDFg89pasUGViI8BWNoc1mOjX70SK05bBYRkIFKMGIieCSPXeQigBtEx0XxcnRaji*e2M5wHsE94gPc7mS/zamaradi.jpg?width=650)
KISA MTOTO WA KAJALA, ZAMARADI YAMKUTA