Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL Dodoma hapakaliki

KASHFA ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imeibuka bungeni na kuibua mjadala mzito. Hali hiyo ilitokea jana baada ya Mbunge wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MAUAJI YA KIGOGO WA CCM, MWANZA HAPAKALIKI

Na Mwandishi Wetu, Mwanza
BAADA  ya  mauaji ya Diwani wa Kata ya Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Clement Mabina (pichani) yaliyotokea Desemba 15, mwaka huu, Jiji la  Mwanza limekuwa  la moto, baadhi ya watu wana hofu, wengine kukimbia makazi yao kutokana na msako mkali wa polisi kuwanasa watuhumiwa. Mwili wa Mabina baada ya kushambuliwa. Kwa mujibu wa baadhi ya wakazi wa jijini hapa, hali imekuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Tumedhibiti ujambazi, lakini mitaani hapakaliki

Kama kuna jambo ambalo wananchi wengi wanakubaliana ni ukweli kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na raia wema vimefanikiwa kudhibiti kwa kiasi kikubwa vitendo vya ujambazi wa kutisha, kwa maana ya kudhibiti mtandao wa uhalifu mkubwa wa wizi wa kutumia silaha katika benki na kampuni.

 

10 years ago

Michuzi

DODOMA ....DODOMA... DODOMA.......... MAMBO YANAENDELEA

 Sehemu ya Wafuasi wa Mmoja wa Wagombea Urais ambao hawakuingiakatika hatua ya tano bora ya ya kuwania nafasi hiyo kupitia CCM, wakiimba kwa pamoja wimbo wa kuwa na imani na Mgombea wao, nje ya Makao Makuu ya Chama hicho, Mjini Dodoma mchana huu. Pamoja na kwamba Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa unaendelea kwenye Ukumbi wa White House, huku nje hali iko namna hii na ulinzi umekuwa ni mkali sana katika eneo lote la Makao Makuu ya CCM.
Askari Polisi akimzuia Mbwa wake asimzuru...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani