Tumedhibiti ujambazi, lakini mitaani hapakaliki
Kama kuna jambo ambalo wananchi wengi wanakubaliana ni ukweli kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na raia wema vimefanikiwa kudhibiti kwa kiasi kikubwa vitendo vya ujambazi wa kutisha, kwa maana ya kudhibiti mtandao wa uhalifu mkubwa wa wizi wa kutumia silaha katika benki na kampuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-raGU42RNGbA/XlejqJxM1FI/AAAAAAALfpo/E_dxh_mgXOc-UG_4vewqjVmRhF3oTObQwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
Masauni:Tumedhibiti Matukio ya Uporaji Fedha
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akizungumza katika mkutano wa mashauriano ulioandaliwa na Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji,Angellah Kairuki ukiwaalika...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
IPTL Dodoma hapakaliki
KASHFA ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imeibuka bungeni na kuibua mjadala mzito. Hali hiyo ilitokea jana baada ya Mbunge wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uY3PJt2fxPzp7pSszOTUWiPpY79luvz9h7qidIzuIN8VOaRLJzqkU9m3HaOdBQWs5JW*nmYr*WuPXEKBICQCYrM*7f55HIH6/MABINA.jpg?width=550)
MAUAJI YA KIGOGO WA CCM, MWANZA HAPAKALIKI
11 years ago
Tanzania Daima25 Dec
Mtuhumiwa wa ujambazi auawa
MTU anayetuhumiwa kuwa jambazi sugu mkazi wa Kitongoji cha Chanji, mjini Sumbawanga, amekufa kwa kupigwa na wananchi wenye hasira kali. Mtuhumiwa huyo Denis Gagala maarufu kama ’Babyloon’ (31) anadaiwa kuwa...
11 years ago
Habarileo18 Jun
Wananchi waua watuhumiwa wa ujambazi
WATUHUMIWA wawili wa ujambazi wameuawa jijini Dar es Dalaam na wananchi katika jaribio la kufanya tukio la uporaji katika eneo la benki ya NMB Wilaya ya Ilala.
9 years ago
Habarileo19 Aug
Watuhumiwa 4 wa ujambazi watiwa mbaroni
POLISI mkoani Katavi inawashikilia watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokamatwa wakiwa na bunduki mbili aina ya SMG zilizokuwa na risasi 40 za moto.
11 years ago
Tanzania Daima08 Aug
Ujambazi mpya waibuka Arusha
JIJI la Arusha limekumbwa na taharuki baada ya kuibuka kwa matukio ya wanawake wanaoendesha magari kuvamiwa na kupigwa risasi na watu wasiofahamika ambao hutoweka bila kuchukua chochote. Hadi sasa, wanawake...
10 years ago
CloudsFM23 Oct
MCHINA MBARONI KWA UJAMBAZI
Jeshi la Polisi linawashikilia watu watano kwa tuhuma za ujambazi, akiwamo raia mmoja wa China.
Kamanda wa polisi wa Mkoa wa Pwani, Ulrich Matei alisema watu hao walikamatwa na bastola aina ya shortgun na risasi 98.
Alisema kati ya watu ambao inadaiwa walikuwa wakifanya ujambazi juzi wilayani Mkuranga, kulikuwa na Wachina watatu, lakini wawili walikimbia baada ya polisi kufika eneo la tukio.
Kamanda Matei alidai kuwa Mchina huyo na wenzake walimteka na kumfunga kitambaa usoni raia mmoja wa...