Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masauni:Tumedhibiti Matukio ya Uporaji Fedha

Serikali imesema imefanikiwa kudhibiti matukio ya uporwaji fedha kwa wafanyabiashara na wawekezaji huku ikiwa na mkakati maalumu wa kuhakikisha wawekezaji na wafanyabiashara wanafanya shughuli zao za maendeleo kwa amani na utulivu pasina shaka yoyote.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akizungumza katika mkutano wa mashauriano ulioandaliwa na Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji,Angellah Kairuki ukiwaalika...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wauaji wa Ubungo wahukumiwa kunyongwa - Ni wale waliohusishwa na uporaji wa fedha za NMB

Jaji Mkuu Othman Chande

Jaji Mkuu Othman Chande

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam,
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kunyongwa hadi kufa kwa washtakiwa sita katika kesi ya mauaji ya askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) wa mkoani Morogoro na mfanyakazi wa Benki ya NMB, maarufu kama mauaji ya Ubungo Mataa.
Washtakiwa hao waliohukumiwa kunyongwa hadi kufa jana na Jaji Projest Rugazia ni Haji Kiweru, Mashaka Pastory, Wycliff Imbora, John Mndasha, Martine Mndasha na Rashidi Abdikadir.
Jaji Rugazia...

 

11 years ago

Mwananchi

Tumedhibiti ujambazi, lakini mitaani hapakaliki

Kama kuna jambo ambalo wananchi wengi wanakubaliana ni ukweli kwamba vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kwa kushirikiana na raia wema vimefanikiwa kudhibiti kwa kiasi kikubwa vitendo vya ujambazi wa kutisha, kwa maana ya kudhibiti mtandao wa uhalifu mkubwa wa wizi wa kutumia silaha katika benki na kampuni.

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

11 wauawa Brazil katika uporaji

Idara ya usalama nchini Brazil imesema kuwa imewaua watu saba waliokuwa wakifanya jaribio la kupora katika benk.

 

11 years ago

Mwananchi

Shahidi aeleza alivyoshuhudia uporaji Mwanga

Mwanafunzi wa Shule ya Sekondari juzi aliieleza Mahakama kuu Kanda ya Moshi namna alivyoshuhudia majambazi wakipora Sh239 milioni za Benki ya NMB tawi la Mwanga.

 

10 years ago

GPL

NIMESHTUSHWA; CHAGONJA KUHUSISHWA NA UPORAJI SILAHA

Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja. MIMI si Kamishna wa Oparesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi kama alivyo Paul Chagonja wala siyo mwakilishi wa wananchi wote, lakini linapokuja suala la falfasa ya uongozi ni IMANI nalazimika kuwa Chagonja na pia mwakilishi wa wananchi wote. Kabla sijasonga mbele na makala haya naomba ninukuu kauli ya Mbunge wa Arusha Mjini aliyoitoa bungeni mwishoni mwa wiki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA: Uwekezaji umegubikwa na uporaji rasilimali

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kutokana na uongozi mbovu na sera zisizomlinda Mtanzania, uwekezaji katika madini umegubikwa na uporaji mkubwa wa rasilimali na tayari nchi imeanza kuachiwa mashimo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jina la Rais latumika uporaji ardhi

WATUMISHI wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo wanalalamikiwa na wananchi katika wilaya hiyo kwa kile kinachodaiwa kupanga njama za kutaka kupora ardhi ya vikongwe kwa madai kuwa eneo hilo...

 

11 years ago

Habarileo

Aliyeuawa katika uporaji Arusha ni mstaafu

ALIYEUAWA katika tukio la uporaji wa Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureau de Change, ametambuliwa kuwa ni mwalimu mstaafu wa jijini Arusha, Benedict Mmasi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani