CHADEMA: Uwekezaji umegubikwa na uporaji rasilimali
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kutokana na uongozi mbovu na sera zisizomlinda Mtanzania, uwekezaji katika madini umegubikwa na uporaji mkubwa wa rasilimali na tayari nchi imeanza kuachiwa mashimo....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
RASILIMALI ZAWEZA KUNUFAISHA SEKTA YA UWEKEZAJI NCHINI - MARK OTTY
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya EY, Bw. Mark Otty, amesema Tanzania ina rasilimali nyingi ambazo zinahitaji watu kuwekeza, hasa katika sekta ya miundombinu, kilimo, huduma za Kifedha ,mawasiliano,madini pamoja na gesi asilia .Otty ameyasema hayo leo wakati wa alipokutana na waandishi wa habari kwenye ofisi ya kampuni hiyo hapa nchini,yenye makao yake makuu nchini Uingereza,amesema kutokana na rasilimali zilizopo zitavuta uwekezaji na uchumi wa nchi unaweza...
10 years ago
Dewji Blog09 Jun
Waziri Nyalandu atangaza nia na kuchukua fomu, asema uwekezaji kwenye rasilimali umma ni muhimu
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu na mkewe Bi.Faraja Nyalandu wakiingia uwanja wa Namfua Mjini Singida kabla ya kuhutubia wananchi kwa kutangaza nia ya kugombea Urais.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Wilaya wa Singida, Barnabas Hanje kabla kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania kwenye mkutano uliofanyika uwanja wa Namfua Mjini Singida.
Bi. Faraja Nyalandu akiongea na wananchi kabla ya hotuba ya mumewe Mhe. Lazaro...
10 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi.jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI
.jpg)
11 years ago
Michuzi
KITUO CHA UWEKEZAJI CHAWAPONGEZA WAKUU WA MIKOA KATIKA JITIHADA ZAO ZA KUHAMASISHA UWEKEZAJI MIKOA YA KANDA YA ZIWA
Mikoa ambayo itashiriki katika Kongamano la Uwekezaji la Kanda ya Ziwa ni Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga Kongamano ambalo kwa pamoja litawakutanisha Wawekezaji pamoja na Serikali katika kujadili vivutio vya Uwekezaji vinavyopatikana katika mikoa hiyo ya kanda ya Ziwa.
Kituo cha Uwekezaji Kimejizatiti...
10 years ago
BBCSwahili30 Mar
11 wauawa Brazil katika uporaji
11 years ago
Habarileo03 Jun
Aliyeuawa katika uporaji Arusha ni mstaafu
ALIYEUAWA katika tukio la uporaji wa Sh milioni 20 kutoka kwa mtumishi wa duka la kubadilishia fedha za kigeni la Northern Bureau de Change, ametambuliwa kuwa ni mwalimu mstaafu wa jijini Arusha, Benedict Mmasi.
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Jina la Rais latumika uporaji ardhi
WATUMISHI wanne wa Halmashauri ya Wilaya ya Rombo wanalalamikiwa na wananchi katika wilaya hiyo kwa kile kinachodaiwa kupanga njama za kutaka kupora ardhi ya vikongwe kwa madai kuwa eneo hilo...
5 years ago
Michuzi
Masauni:Tumedhibiti Matukio ya Uporaji Fedha
Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni wakati akizungumza katika mkutano wa mashauriano ulioandaliwa na Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji,Angellah Kairuki ukiwaalika...