Wananchi waua watuhumiwa wa ujambazi
WATUHUMIWA wawili wa ujambazi wameuawa jijini Dar es Dalaam na wananchi katika jaribio la kufanya tukio la uporaji katika eneo la benki ya NMB Wilaya ya Ilala.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo19 Aug
Watuhumiwa 4 wa ujambazi watiwa mbaroni
POLISI mkoani Katavi inawashikilia watu wanne wanaosadikiwa kuwa majambazi waliokamatwa wakiwa na bunduki mbili aina ya SMG zilizokuwa na risasi 40 za moto.
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Polisi yasaka watuhumiwa wa ujambazi
JESHI la Polisi mkoani hapa limeanzisha msako mkali wa kuwatafuta watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliovamia familia moja na kumuua kijana Ng’hayiwa Lengwa (14). Mbali na mauaji hayo, majambazi...
9 years ago
Mtanzania15 Sep
Watuhumiwa ujambazi 26 mbaroni Dar
ASIFIWE GEORGE NA LUGOLA CHITAGE (TUDARCO), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikila watu 26 wanaodaiwa kuwa majambazi wanaojihusisha na vitendo mbalimbali vikiwamo vya kuvamia vituo vya polisi.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishina Suleimani Kova, alisema watuhumiwa hao wamekamatwa katika operesheni maalumu iliyoanza Agosti, mwaka huu.
Alisema watuhumiwa hao, walikamatwa na silaha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nMkb-Djjb3ezxrwcFkaFzzKO1UTXksEQJICBJ-a8iJPPVTvhGuCz8bV-76p6j9V-J5dANyY5fuQal5A3aVsBl3pifBVXFFA7/STAKISHARI13.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI STAKISHARI WATIWA MBARONI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-6SkKwQUyfds/VUDyxteaCvI/AAAAAAAHUF8/k5fkctQENn0/s72-c/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy%2B(1).jpg)
NEWS ALERT: WATUHUMIWA WATATU WA UJAMBAZI WAUWAWA MKOANI KIGOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-6SkKwQUyfds/VUDyxteaCvI/AAAAAAAHUF8/k5fkctQENn0/s1600/POLISI%2BLOGO%2B-%2BCopy%2B(1).jpg)
JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuuwa majambazi watatu baada ya kurushiana risasi na kukamata silaha mbalimbali za kivita.
Akizungumzia tukio hilo ofisini kwake Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kigoma,Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Frednand Mtui alisema kuwa majira ya saa nane usiku katika eneo la mto kahabwe mpakani mwa Wilaya ya Kakonko na Kibondo, askari Polisi wakiwa doria walirushiana risasi na majambazi ambao idadi yao haijajuikana na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s72-c/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINADAMU(AfCHPR) YASIKILIZA KESI YA WATUHUMIWA 10 WA UJAMBAZI MOSHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-_SW3e-CatSM/VV7iRhY5WFI/AAAAAAAHY9M/40OxONPu2i8/s640/unnamed%2B%252837%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-aQvhUmdLOHM/VV7iREEthSI/AAAAAAAHY9I/jm92syS8vk0/s640/unnamed%2B%252838%2529.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200507-WA0067.jpg)
WATUHUMIWA WA UJAMBAZI WAKAMATWA WAKIWA NJIANI KWENDA KUFANYA UHALIFU MKOANI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-6284ldJ8pDg/XrQ5UIfUl8I/AAAAAAAAJUk/f8JRYomFwjskNibV5FrPC7sSoKklvf2IgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0067.jpg)
Kamanda wa Polisi mkoani Arusha Jonathan Shana akiongozana na Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo mwenye Suti ya blue wakitoka kukagua gari Lilikuwa likitumiwa na majambazi hao aina ya Toyota Crown lenye namba za usajili T777DSJ wakati akitoa taarifa ya kukamatwa kwa majambazi wanne Leo jijini Arusha picha zote na Ahmed Mahmoud Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-ylOvAwQpzvU/XrQ5TohDcNI/AAAAAAAAJUc/0g761e9A5BAAV6LbnER7x8vL7HftMTYlgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200507-WA0068.jpg)
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo akilipongeza Jeshi la Polisi kwa kutumia sheria ya tii bila shuruti na kufanikiwa kukamata majambazi wanne bila kuwapiga...
10 years ago
Vijimambo03 Jan
Mtuhumiwa wa ujambazi na mauaji auawa na wananchi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lazaro-3Jan2015.jpg)
Mkazi wa kitongoji cha Nyahongo kilichoko kijiji cha Nyarwana wilayani Tarime mkoani Mara aliyekuwa akisakwa na polisi kwa tuhuma za ujambazi na mauaji ameuawa na wananchi katika shambulizi ambalo lililojeruhi wanakijiji watatu.
Wambura Kihongwe (40) ameuawa na wananchi kwa kukatwa mapanga kichwani na sehemu mbalimbali za mwili huku naye akiwajeruhi watu watatu waliojaribu kumkamata ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria.
Kamanda wa Polisi Tarime...
10 years ago
Dewji Blog10 Oct
Wananchi jijini Arusha washangilia kuuwawa kwa mtuhumiwa wa ujambazi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0yas95P2Xf0/VDeumi2EpbI/AAAAAAAANjo/JmXzyxLf_os/s1600/IMG_20141010_094833.jpg)
Picha ya juu na chini wananchi wa jiji la Arusha waliojitokeza kuuangalia mwili wa jambazi huyo hatari aliyeuawa na polisi usiku wa kuamkia leo. (Habari picha kwa hisani ya Woindeshizza blog).
Jambazi mmoja aliyefahamika kwa jina la Ramadhan Abudallah alimaarufu kwa jina la Ramadhani Ndonga (37) mkazi wa Moivo ameuwawa baada ya kupigwa risasi katika majibizano na askari wa jeshi la polisi.
Akizungumzia tukio hilo kamanda wa polisi mkoani Arusha Liberatus Sabas, alisema kuwa tukio hilo...