IPTL yatoa Tsh milioni 20 kwa RT kusaidia maandalizi ya mashindano ya riadha ya kitaifa
![](http://3.bp.blogspot.com/-VtW6oAFmCDs/U8DryDI7aGI/AAAAAAAClSA/2J9JlT61eaQ/s72-c/AT+1.jpg)
Makamu wa Rais-Utawala wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) William Kallaghe (wapili kushoto) akipokea sehemu ya fedha taslim Tsh milioni 20 zilizotolewa na kampuni ya ufuaji umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) kusaidia maandalizi ya mashindano ya mwaka huu ya Riadha ya Kitaifa yatakayoanza leo katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaaam. Kulia ni Katibu na Mwanasheria Mkuu wa IPTL/ Pan African Power Solutions (PAP), Bw. Joseph Makandege, akifuatiwa na Msaidizi wa kampuni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s72-c/IPTL+1.jpg)
IPTL yatoa shilingi milioni 14.5 kusaidia ujenzi wa Kanisa la Mtakatifu Petro
![](http://4.bp.blogspot.com/-SL577_OlF1Y/U7ucZwn8WhI/AAAAAAAClCk/h5pVoiajFhc/s1600/IPTL+1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hNdvsKdozMc/VJgvFmOAyAI/AAAAAAAG5E4/qXIGm4h0Ar8/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
DKT. SHEIN KUWA MGENI RASMI MASHINDANO YA KITAIFA YA RIADHA ZANZIBAR
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika mashindano ya Kitaifa ya Riadha ya wilaya ambayo yanatarajiwa kufanyika katika kiwanja cha Amaani Disemba 26-27 mwaka huu.
Mashindano hayo yaliyodhaminiwa na Rais Shein kwa lengo la kukuza sekta ya michezo nchini yametayarishwa na Baraza la michezo la Taifa Zanzibar (BMTZ) kwa kushirikiana na chama cha Riadha (ZAAA) Hayo yameelezwa leo na...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-IiQiNy84WPo/VQaN_P9R3TI/AAAAAAAB5nU/inMKj4V172s/s1600/2G2A4891.jpg)
MBUNGE FILIKUNJOME ATIMIZA PIA AHADI YA UJENZI WA DARAJA MTO KITEWAKA KWA TSH MILIONI 248, ASAIDIA VIFAA VYA UJENZI KWA TSH MILIONI 248
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Kampuni ya simu ya Tigo Tanzania yatoa TSH. Milioni 200 kudhamini Kilimanjaro Marathon 2016!
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s72-c/New%2BPicture.png)
KLABU YA MICHEZO YA RIADHA YA DAR ES SALAAM ‘DAR RUNNING CLUB’ YAANDAA MASHINDANO YA RIADHA YA MARATHON 02 MAY 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-veB6RlxRkT0/VUIxV4_cSaI/AAAAAAAHUSY/CxpI7HjVtIA/s1600/New%2BPicture.png)
Akizungumza na waandishi wa habari Mlezi wa Klabu ya DRC Mkuu wa mkoa wa kipolisi wa Kinondoni bwana Camillus...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s72-c/unnamed+(19).jpg)
RIADHA TABORA WAJIFUA KWA AJILI YA MASHINDANO YA TAIFA
![](http://2.bp.blogspot.com/-7B-MTGxtaYg/U7qS9zVyfxI/AAAAAAAFve8/0EcOX6mw3UA/s1600/unnamed+(19).jpg)
Na Allan Ntana,Tabora
TIMU ya Riadha ya mkoa wa Tabora ipo katika mazoezi makali kujiandaa na mashindano ya Riadha Taifa yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi mwishoni mwa wiki hii jijini Dar e s salaam.
Katibu wa chama hicho Mkoa wa Tabora Salum Tarraddady, alisema jumla ya...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 100 KUSAIDIA WALIOATHIRIKA NA MAFURIKO MKOANI MOROGORO
5 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YATOA MILIONI 30 KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UGONJWA WA CORONA (COVID-19)
=== === ===
Benki ya CRDB imetoa msaada wa shilingi milioni 30 kwa Chama...
10 years ago
Dewji Blog24 Jul
TPA yatoa shilingi milioni mbili kusaidia wanahabari wanaopambana na ujangili nchini
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe akizungumza na wanahabari wakati akikabidhi hundi ya sh.milioni mbili kwa Taasisi ya Habari Development Association Dar es Salaam jana asubuhi.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Awadh Massawe (kushoto), akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni mbili kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Habari Development Association (HDA), Kunze Mswanyama (kulia), Dar es Salaam jana...