IS wadhibitiwa Ramadi, Iraq
Jeshi la Iraq limesema linadhibiti jengo kubwa la serikali ambalo lilikuwa ndio kitovu cha mapigano katika mji wa Ramadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 May
Mji wa Ramadi watorokwa Iraq
Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi
9 years ago
BBCSwahili23 Dec
Tunakaribia kuikomboa Ramadi:Iraq
Iraq imesema inakaribia kuukomboa mji wa Ramadi dhidi ya wapiganaji wa IS waliokuwa wakishikilia mji huo tangu mwezi mei mwaka huu
10 years ago
BBCSwahili23 May
Iraq:Makabiliano yapamba moto Ramadi
Vikosi vinavyoitii serikali ya Iraq vimelishambulia kundi la wapiganaji la Islamic State katika eneo la Ramadi kwa mara ya kwanza tangu mji huo utekwe wiki moja iliopita.
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Mapigano makali yaendelea Ramadi, Iraq
Mapigano makali ya kuwania udhibiti wa mji wa Ramadi nchini Iraq unaendelea.
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Jeshi la Iraq latwaa ngome ya IS Ramadi
Chanzo kimoja cha habari kutoka jeshi la Iraq kimesema jeshi la Iraq linazidi kusogea kwenye jengo la makao makuu ya IS, Ramadi
10 years ago
BBCSwahili18 May
Wapiganaji washia waelekea Ramadi, Iraq
Inasemekana kuwa wapiganaji wa kishia wanadaiwa kuelekea Ramadi, mji mkuu wa mkoa wa Al-Anbar, Magharibi mwa Baghdad
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Marekani:Jeshi la Iraq lichukue Ramadi
Pentagon imesema kuwa, muda umewaadia kwa kikosi cha wanajeshi wa Iraq waliofunzwa na Marekani kuchukua udhibiti wa mji wa Ramadi, kutoka mikononi mwa kundi hatari la Islamic State.
9 years ago
BBCSwahili22 Dec
Iraq yazingira Islamic State mjini Ramadi
Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeanzishaharakati za kukomboa mji wa Ramadi, ulioko chini ya udhibiti wa Islamic State
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s72-c/Ir.jpg)
KUNDI LA DOLA YA KIISLAM LAUTWAA MJI WA RAMADI NCHINI IRAQ
![](http://3.bp.blogspot.com/-yn2_13CjDwQ/VVl0uDIS_GI/AAAAAAAA9k0/xe-_Ix_qA4o/s640/Ir.jpg)
Mji wa Ramadi nchini Irak umetwaliwa na wapiganaji wa kundi la Dola ya Kiislam baada ya vikosi vya jeshi la nchi hiyo kuzidiwa nguvu na kuondoka.
![](http://1.bp.blogspot.com/-M9F4pAP8gJM/VVl0uFhilqI/AAAAAAAA9k4/qOO4o_YrEH8/s640/Ir1.jpg)
Vikosi vya askari polisi na jeshi la Irak vimelazimika kurudi nyuma baada ya siku kadhaa za mapigano makali.
Hata hivyo Marekani, imekanusha kutwaliwa kwa mji huo na kusema kuwa hali ni tete na kuongeza kuwa bado ni mapema mno kutoa taarifa ya uhakika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania