Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Iraq yazingira Islamic State mjini Ramadi

Iraq inasema kuwa vikosi vyake vimeanzishaharakati za kukomboa mji wa Ramadi, ulioko chini ya udhibiti wa Islamic State

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Islamic State waendelea kushambulia Ramadi

Wapiganaji wa IS wameendelea kushambulia maeneo yaliyo karibu na mji wa Ramadi wiki moja baada ya jiji hilo kukombolewa na wanajeshi wa Iraq.

 

10 years ago

BBCSwahili

Islamic State yateka mji wa Ramadi

Waziri mkuu nchini Iraq Haider al-Abadi, anasema hawezi kuruhusu mji wa Ramadi kuingia mikononi mwa wanamgambo wa islamic state

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufaransa yaishambulia Islamic State Iraq

Rais wa ufaransa ametangaza kuwa ndege zao zimetekeleza mashambulizi ya kwanza dhidi ya Islamic State

 

9 years ago

BBCSwahili

Islamic State washambulia kambi ya jeshi Iraq

Wapiganaji wa kundi la Islamic State (IS) wameshambulia kambi ya jeshi karibu na mji wa Ramadi, siku chache baada ya mji huo kukombolewa.

 

10 years ago

TheCitizen

COLES: ‘Terrorists’ help US in battle against Islamic State insurgents in Iraq

>Washington has acquired an unlikely ally in its battle against Islamic State militants in Iraq - a group of fighters it formally classifies as terrorists.

 

9 years ago

BBCSwahili

IS wadhibitiwa Ramadi, Iraq

Jeshi la Iraq limesema linadhibiti jengo kubwa la serikali ambalo lilikuwa ndio kitovu cha mapigano katika mji wa Ramadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tunakaribia kuikomboa Ramadi:Iraq

Iraq imesema inakaribia kuukomboa mji wa Ramadi dhidi ya wapiganaji wa IS waliokuwa wakishikilia mji huo tangu mwezi mei mwaka huu

 

10 years ago

BBCSwahili

Mji wa Ramadi watorokwa Iraq

Maelfu ya raia wa Iraq wanaendelea kuukimbia mji wa Ramadi huku kundi la wanamgambo wa Islamic State likiwazuia na kuendeleza mashambulizi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mapigano makali yaendelea Ramadi, Iraq

Mapigano makali ya kuwania udhibiti wa mji wa Ramadi nchini Iraq unaendelea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani