Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IS yateka kambi ya wanahewa wa Syria

kambi moja ya jeshi la wanahewa kaskazini mwa nchi imetekwa na wanamgambo wa Islamic state

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya upinzani yateka eneo Syria

Wizara ya ulinzi ya Marekani imesema kwamba wanajeshi wa upinzani waliounda kundi lao hivi karibuni nchini Syria,wamefanikiwa kutwaa eneo lenye ukubwa

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yadhibiti kambi ya wakimbizi Syria

Wapiganaji wa kundi la Islamic State nchini Syria wameingia na kuchukua udhibiti wa kambi kubwa ya wakimbizi wa Palestina

 

9 years ago

BBCSwahili

Waasi wachelewa kuondoka kambi Syria

Maelfu ya waasi waliotarajiwa kusaidiwa kuondoka kutoka kambi ya wakimbizi ya Yarmouk na maeneo ya karibu wameshindwa kuondoka kama ilivyotarajiwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki

Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib

 

5 years ago

BBCSwahili

10 years ago

Mtanzania

Yanga yateka usajili

IMG_5436[1]NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

TIMU ya Yanga imeendelea kuteka soko la usajili nchini, baada ya jana mchana kuwanasa wachezaji wawili kwa mpigo, beki wa kushoto Mwinyi Haji Mngwali na kipa wa Kagera Sugar, Benedicto Tinocco.

Usajili wa wachezaji hao unaifanya timu hiyo kufikisha idadi ya wachezaji watatu iliyowasajili mpaka sasa baada ya Jumapili iliyopita kumsainisha winga Deus Kaseke aliyetoka Mbeya City.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro, alilithibitishia...

 

9 years ago

Mwananchi

Majambazi yateka magari ya abiria

Watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameyateka magari matano ya abiria na kuwapora mali mbalimbali zenye thamani ya Sh1.3 milioni.

 

10 years ago

BBCSwahili

AU yateka ngome ya mwisho ya Al shaabab

Baada ya vita vikali vikosi vya muungano wa Afrika vilivyoko Somalia vikishirikiana na vile vya serikali vimeuteka mji uliokua ngome ya mwisho ya Alshaabab wa Baardheere

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab yateka msikiti Garissa

Al Shaabab waliuteka msikiti mmoja katika kaunti ya Garissa kwa muda na kuonya wenyeji dhidi ya kuisaidia serikali ya Kenya na ujasusi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani