Majambazi yateka magari ya abiria
Watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi wameyateka magari matano ya abiria na kuwapora mali mbalimbali zenye thamani ya Sh1.3 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Majambazi yateka mabasi sita
Na Mary Mwita, Arusha
WATU zaidi ya 40 wanaodhaniwa kuwa majambazi, wameteka mabasi sita ya abiria yanayofanya safari kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema atalitolea ufafanuzi leo.
Kamanda Sabas, alisema mabasi hayo yalitekwa juzi saa 8 usiku, baada ya kufika eneo la Mbuga Nyeupe, Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha.
Taarifa zilizopatikana jijini Arusha, zinasema baada ya majambazi hayo...
10 years ago
Vijimambo19 Jan
Majambazi yateka mabasi saba Arusha
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/sabas-19Jan2015.jpg)
Kundi la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, wameteka mabasi saba ya abiria yanayofanya safari zake kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya na kupora mali na fedha ambavyo thamani yake haijafahamika.
Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la polisi, mkoani Arusha llitokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la Mbuga Nyeupe, wilayani Longido Mkoa wa Arusha baada ya watu hao kuweka mawe barabarani na...
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Majambazi wateka magari, wapora mali
10 years ago
Tanzania Daima18 Sep
Magari makubwa ya abiria kukaguliwa
SERIKALI ipo kwenye mpango wa lazima kukagua magari makubwa ya abiria kila mwaka na kuwafutia leseni madereva walevi katika harakati za kupunguza ajali barabarani. Hayo, yalisemwa Dar es Salaam jana...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s72-c/LAZAROZ.jpg)
SERIKALI YA KENYA YAKUBALI KUYARUHUSU MAGARI YA ABIRIA NA WATALII KUTOKA TANZANIA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-hkYXBZ7-K-A/VLv0nBRD3_I/AAAAAAAAsa0/mPnUyqwN4iU/s1600/LAZAROZ.jpg)
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania, ilidumu kwa zaidi ya wiki mbili, ambapo katika kusaka suluhu hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s72-c/unnamed%2B(93).jpg)
Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari
![](http://2.bp.blogspot.com/-fWyZFEZucHg/U-sxP-7Rg2I/AAAAAAAF_IE/dQULh-NCqKI/s1600/unnamed%2B(93).jpg)
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...