Majambazi yateka mabasi saba Arusha
Yavua nguo abiria, yapora hadi viatuKamanda wa Polisi mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas.
Kundi la watu wanaosadikiwa kuwa majambazi, wameteka mabasi saba ya abiria yanayofanya safari zake kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya na kupora mali na fedha ambavyo thamani yake haijafahamika.
Tukio hilo ambalo limethibitishwa na Jeshi la polisi, mkoani Arusha llitokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la Mbuga Nyeupe, wilayani Longido Mkoa wa Arusha baada ya watu hao kuweka mawe barabarani na...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Jan
Majambazi yateka mabasi sita
Na Mary Mwita, Arusha
WATU zaidi ya 40 wanaodhaniwa kuwa majambazi, wameteka mabasi sita ya abiria yanayofanya safari kati ya Jiji la Arusha na Nairobi, Kenya.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema atalitolea ufafanuzi leo.
Kamanda Sabas, alisema mabasi hayo yalitekwa juzi saa 8 usiku, baada ya kufika eneo la Mbuga Nyeupe, Wilaya ya Longido, Mkoa wa Arusha.
Taarifa zilizopatikana jijini Arusha, zinasema baada ya majambazi hayo...
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Majambazi yateka magari ya abiria
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Majambazi yateka kituo cha polisi, yaua askari wawili, yapora SMG tano
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s72-c/1.jpg)
BREANKING NYUZZZ.....: ZAIDI YA WATU 35 WAFARIKI DUNIA KATIKA AJALI YA MABASI ILIYOTOKEA MCHANA HUU MJINI MUSOMA ANEO MAARUFU LA SABA SABA
![](http://2.bp.blogspot.com/-vHJy8mHNzag/VAmxVZ17zhI/AAAAAAAGe3I/oSCfZkNfuCI/s1600/1.jpg)
Watu zaidi ya 35 wamepoteza maisha papo hapo na wengine zaidi ya 86 kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Ripota wetu aliopo eneo la tukio hivi sasa,inaelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo Basi la J4...
9 years ago
VijimamboDURHAM WACHANGIA JIJI LA ARUSHA KWA KUFANYA ONESHO LA SABA SABA FAIR TRADE
David Mngondo akiongea na mmoja ya wageni wahudhuriaji saba saba day.
Meza nyingi ya familia ya Kitanzania wakitangaza bidhaa zao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d4vRC8Bj--8CuBlt0qGRbBJTj6Iq67TINQ8UndD9aPpnBUEkwovUU7NROehynsnpG3uHbSE*sCn-b17RoW-6Vrp/AUAWA2.jpg?width=650)
MAJAMBAZI YAUA ARUSHA
9 years ago
Habarileo19 Sep
Polisi yaua majambazi hatari Arusha
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa majambazi ambao ni raia wa Kenya pamoja na Mtanzania mmoja wameuawa katika mapambano na polisi yaliyotokea eneo la Chekereni mpakani mwa wilaya ya Arumeru na Jiji la Arusha.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-biKk9iDOgTA/U7a_4KvI8rI/AAAAAAAFu8c/Gqtms2uQf5c/s72-c/New+Picture+(1).bmp)
MAJAMBAZI WATATU WAUWAWA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-biKk9iDOgTA/U7a_4KvI8rI/AAAAAAAFu8c/Gqtms2uQf5c/s1600/New+Picture+(1).bmp)
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake Jijini Arusha leo, Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Liberatus Sabas amesema kuwa,majambazi hao watatu waliuawa jana tarehe 3 eneo la TBL -Njiro wakiwa kwenye harakati za...