ISHU YA DENI LA MABILIONI YA MADAWA, WANANCHI WAMPA ‘BIG UP’ MBUNGE
Mbunge wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhanga Mpina akizunumza kwenye moja ya vikao vya Bunge mjini Dododma. WANANCHI wa kada mbalimbali nchini, wamempa ‘big up’ na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhanga Mpina (pichani) kwa kitendo chake cha kuomba Bunge la Jamhuri ya Muungano kusitisha mikutano yake, ili fedha zinazolipwa kwa wabunge ziiwezeshe serikali kulipa deni...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Jul
Uvutaji sigara wa mumewe wampa mabilioni
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s72-c/3.jpg)
BIG RESULTS NOW' YAKUSANYA MABILIONI KWA KIPINDI CHA NUSU MWAKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-i6WktlU3_Js/UzjlSE0JUKI/AAAAAAABDi4/WOU-mw8Bf-I/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-WZsVEtkgtvk/UzjlTaICT7I/AAAAAAABDjA/NV_MOcjzvUQ/s1600/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-w7c7CZMySrw/UzjlUfUSkWI/AAAAAAABDjI/2pOuQ9TYIfM/s1600/6.jpg)
10 years ago
Vijimambo07 Feb
Alichokijibu Mbunge Mbatia kuhusu ishu ya kusema kuwa Mrema ni mgonjwa…
![](http://i1.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/02/Mrema-II.jpg?resize=449%2C299)
Leo wakati wa kikao cha Bunge jioni, Mbunge Mbatia alipata nafasi kujibu kuhusu ishu hiyo; “Maelezo haya nayatoa...
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Mbunge: Mgodi Bulyanhulu ushinikizwe kulipa deni
SERIKALI imetakiwa kufanya mazungumzo na mwekezaji wa mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu, ili iweze kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama deni la dola milioni 8. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
WIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
![](https://1.bp.blogspot.com/-2eqWQ7Kbuuk/Xt0KdVBeQVI/AAAAAAALs64/W5UDZKkYchMuknwRj4gfWP4aE0ksNyBUgCLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Wananchi wa Temeke sasa kufidiwa mabilioni
11 years ago
MichuziMbunge Ndungulile aanika siri mpya za matumizi ya madawa ya kulevya kwa watoto wadogo
10 years ago
Bongo Movies26 Jun
Mbunge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Atoa Maelezo Yake binafsi Bungeni Baada ya Ishu ya Faiza Ally na Mtoto Wao kuzungumzwa Hapo Jana
Kwenye kilichosikika jana June 25 2015 toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma ilikuwepo pia ishu ya Mbunge Martha Mlata kuanzisha mjadala kuhusu amri ya Mahakama kwamba Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi Sugu akabidhiwe mtoto wake ambae amezaa na Faiza Ally kutokana na Mbunge huyo kuonekana kutoridhwishwa na malezi ya mtoto akiwa kwenye mikono ya mama yake.
Ombi likapokelewa kwenye meza ya Naibu Spika leo June 26 2015 >>>”Nimepokea ombi maalum la kuwasilisha maombi binafsi kutoka kwa...