Wananchi wa Temeke sasa kufidiwa mabilioni
Manispaa ya Temeke inatarajia kutumia zaidi ya Sh20 bilioni kwa ajili ya kuwalipa fidia wakazi wa manispaa hiyo eneo la Temeke, ambao nyumba zao ziliwekwa alama ya X kupisha ujenzi wa barabara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Sep
Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme
-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa
-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC
Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi
10 years ago
GPLISHU YA DENI LA MABILIONI YA MADAWA, WANANCHI WAMPA ‘BIG UP’ MBUNGE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-kH6aokJNk5If*V0icqDK7lyzLGXfP5*-UTv1fWCIO5epaMJji1WChXXidF3r6YYmNQAfmuCUlB5aRwsArTDSjA/Abasi.jpg?width=650)
WANANCHI: UKAHABA NA UKABAJI NI KERO KUBWA TEMEKE
5 years ago
MichuziGENERAL PETROLEM (GP) YATOA MSAADA WA VYAKULA KUWASAIDIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI TEMEKE
Katibu Tarafa ya Mbagala Bertha Minga(katikati) ambaye amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Felix Lihaniva akipokea msaada wa vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya General Petroleum (GP) Zafar Khan(kulia) pamoja na ofisa mwingine wa kampuni hiyo.Msaada huo wa vyakula unakwenda kutolewa kwa wananchi wenye kipato cha chini ndani ya Wilaya hiyo.
Bertha Minga ambaye ni Katibu Tarafa ya Mbagala jijini Dar es Salaam(kushoto) akiwa na Meneja Mauzo wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-K1IGdkWXtNs/VekcuU8Sp_I/AAAAAAAAyec/-LFE1wzAeTs/s72-c/1a.jpg)
MAMA SAMIA ARINDIMA TEMEKE, DAR ES SALAAM, WANANCHI KWA MAELFU WAFURIKA MKUTANO YAKE KATA YA BUZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-K1IGdkWXtNs/VekcuU8Sp_I/AAAAAAAAyec/-LFE1wzAeTs/s640/1a.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xsLR6joMJ0A/VekcuYLpyaI/AAAAAAAAyeU/GXcVwVerZzc/s640/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-drKZ9xH0vkA/Vekct_CAenI/AAAAAAAAyeQ/XFtKdB0bpEk/s640/2b.jpg)
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Libya:wanawake waliobakwa kufidiwa
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Mwathiriwa wa ubakaji kufidiwa Zimbabwe
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania