Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wa Temeke sasa kufidiwa mabilioni

Manispaa ya Temeke inatarajia kutumia zaidi ya Sh20 bilioni kwa ajili ya kuwalipa fidia wakazi wa manispaa hiyo eneo la Temeke, ambao nyumba zao ziliwekwa alama ya X kupisha ujenzi wa barabara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Sasa ni Rasmi: Tanzania kupata mabilioni mengine ya MCC

Jakaya-Kikwete1

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.

-Yafaulu mtihani wa kupata bilioni 992.8 za kuboresha sekta ya umeme

-Yafanikiwa baada ya kutimiza masharti yote likiwemo la kupambana na rushwa

-Zitaanza kutolewa mwakani baada ya kupigiwa kura na Bodi ya MCC

Tanzania imetimiza masharti yote ya kupatiwa raundi ya pili ya fedha za maendeleo kutoka Shirika la Maendeleo ya Milenia la Millennium Challenge Corporation (MCC) la Marekani na itaanza kupata na kunufaika na...

 

11 years ago

Mwananchi

Madini na Ujenzi: TMAA yaamka sasa, yakusanya mabilioni ya kodi

>Kampuni zinazomiliki migodi mikubwa na ya kati nchini zimeendelea kulipa stahiki mbalimbali za Serikali, ikiwa ni pamoja na kodi ya mapato.

 

10 years ago

GPL

ISHU YA DENI LA MABILIONI YA MADAWA, WANANCHI WAMPA ‘BIG UP’ MBUNGE

Mbunge wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhanga Mpina akizunumza kwenye moja ya vikao vya Bunge mjini Dododma. WANANCHI wa kada mbalimbali nchini, wamempa ‘big up’ na kumuunga mkono Mbunge wa Kisesa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Luhanga Mpina (pichani) kwa kitendo chake cha kuomba Bunge la Jamhuri ya Muungano kusitisha mikutano yake, ili fedha zinazolipwa kwa wabunge ziiwezeshe serikali kulipa deni...

 

10 years ago

GPL

WANANCHI: UKAHABA NA UKABAJI NI KERO KUBWA TEMEKE

Temeke ni moja kati ya wilaya tatu zinazounda Jiji la Dar es Salaam. Pia ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mheshimiwa Abbas Mtemvu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM).Temeke inapatikana Kusini mwa Jiji la Dar es Salaam ambapo kwa upande wa Mashariki, kuna Bahari ya Hindi, Kusini inapakana na Wilaya ya Mkuranga na Kaskazini na Magharibi inapakana na Wilaya ya Ilala. Mheshimiwa Abbas Mtemvu. Wiki iliyopita, Uwazi lilisaga...

 

5 years ago

Michuzi

GENERAL PETROLEM (GP) YATOA MSAADA WA VYAKULA KUWASAIDIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI TEMEKE


Katibu Tarafa ya Mbagala Bertha Minga(katikati) ambaye amemwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam Felix Lihaniva akipokea msaada wa vyakula mbalimbali kutoka kwa Meneja Mauzo wa Kampuni ya General Petroleum (GP) Zafar Khan(kulia) pamoja na ofisa mwingine wa kampuni hiyo.Msaada huo wa vyakula unakwenda kutolewa kwa wananchi wenye kipato cha chini ndani ya Wilaya hiyo.
Bertha Minga ambaye ni Katibu Tarafa ya Mbagala jijini Dar es Salaam(kushoto) akiwa na Meneja Mauzo wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA ARINDIMA TEMEKE, DAR ES SALAAM, WANANCHI KWA MAELFU WAFURIKA MKUTANO YAKE KATA YA BUZA

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa baada ya kuwasili katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kata ya Buza jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam. Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam.
  Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye...

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:wanawake waliobakwa kufidiwa

Wanawake waliobakwa wakati wa harakati za kuuangusha utawala wa aliyekuwa Rais wa Libya Muammar Gaddafi kulipwa fidia

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwathiriwa wa ubakaji kufidiwa Zimbabwe

Mahakama ya juu zaidi nchini Zimbabwe imeagiza serikali kumlipa fidia mwathiriwa wa ubakaji aliyekataliwa kuavya mimba yake

 

11 years ago

BBCSwahili

Waathiriwa wa Osama kufidiwa Tanzania

Watanzania walioathirika na mlipuko wa mabomu katika ubalozi wa Marekani mjini Dar es Salaam wameshinda kesi yao na sasa watalipwa fidia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani