Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAMA SAMIA ARINDIMA TEMEKE, DAR ES SALAAM, WANANCHI KWA MAELFU WAFURIKA MKUTANO YAKE KATA YA BUZA

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akilakiwa baada ya kuwasili katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kata ya Buza jimbo la Temeke jijini Dar es Salaam. Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye mkutano wa kampeni katika Kata ya Buza jimbo la Temeke mkoani Dar es Salaam.
  Wananchi wakimshangilia mgombea Mwnza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipowasili kwenye...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAMA SAMIA AITEKA DODOMA MJINI, MAELFU WAFURIKA MKUTANO WAKE

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Sukuhu Hassan, akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni Dodoma mjini.  Kijana akiwa na bango wakati akienda mkutano wa  kampeni za CCM Dodoma.…

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SAMIA AFUNIKA TABORA, MAELFU WAFURIKA MIKUTANO YAKE YA KAMPENI

Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa kampeni uliofayika leo kwenye viwanja vya shule ya Sekondari Uyui katika jimbo la Tabora mjini.Maelfu ya wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari ya Uyui, jimbo la Tabora mjini mkoani TaboraAliyekuwa mgombea Ubunge jimbo la Nkenge lakini akashindwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Maelfu wafurika mkutano wa utambulisho wa viongozi wa ACT Mpanda

DSC_0861

Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea na ziara za kutambulisha viongozi wake. 

DSC_0844

DSC_0789

Wanampanda wakishangilia hotuba ya Zitto Kabwe wakati wa utambulisho wa viongozi wa chama hicho mjini Mpanda.

DSC_0777

Mwanaharakati na Mshauri wa chama cha ACT Wazalendo, Mama Terry, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mpanda mkoani Katavi jana, ambapo chama hicho kinaendelea  na ziara ya kutambulisha viongozi wake.

DSC_0746

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAFURIKA KATIKA BANDA LA DEGE ECO VILLAGE, MLIMANI CITY, DAR ES SALAAM

Na Mwandishi Wetu. Wananchi wa jiji la Dar es Salaam wamepata nafasi ya kutembelea banda la Dege Eco Village na kufahamu juu ya mradi huo wa makazi bora unaofanyika Kigamboni eneo la Ras Dege. Akizugumza na wananchi waliotembelea banda hilo Afisa Masoko wa Hifadhi Builders Ltd inayosimamia mradi huo Bw. Adam Jusab alisema kuwa mradi huo ni kwa ajili ya wananchi wanaohitaji makazi bora na mpaka sasa nyumba elfu mbili zimekamilika kati ya nyumba elfu saba. Mradi huo utajumlisha aina mbili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA KIGAMBONI DK. FAUSTINE NDUGULILE KUFUNGUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM


 Diwani wa Kata ya Kisarawe Two, Issa Zahoro, akimkabidhi jezi na mpira Nahodha wa Timu ya Nyati, Saidi Momba kwa ajili ya mashindano hayo. Diwani wa Kata ya Kisarawe Two, Issa Zahoro (kulia), akimkabidhi vifaa vya michezo Mwakilishi wa Timu ya Soka ya Mwasonga, Saidi Simba Dar es Salaam leo asubuhi  kwa ajili ya michuano ya Diwani Cup katika kata hiyo yenye kauli mbiu 'Umoja ni Mshikamano" yatakayoanza Jumamosi Juni 20 mwaka huu.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano hayo, Ayub Mkonde...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA KIGAMBONI DK.FAUSTINE NDUGULILE AZINDUA MASHINDANO YA DIWANI CUP KATA YA KISARAWE TWO MANISPAA YA TEMEKE JIJINI DAR ES SALAAM

Mbunge wa Kigamboni, Dk.Faustine Ndugulile (wa pili kulia), akizungumza na wachezaji wa timu za Dubu na Tumaini (hawapo pichani), wakati akifungua mashindano ya  kombe la umoja na mshikamano maarufu kama Diwani Cup yaliyoanza uwanja wa Kibamande eneo la Mwasonga Manispaa ya Temeke Dar es Salaam jana. Kulia ni mlezi wa mashindano hayo,  Diwani wa Kata ya Kisarawe II,  Issa Zahoro.Mlezi wa mashindano hayo Diwani wa Kata ya Kisarawe II,  Issa Zahoro, akikagua timu ya Dubu kutoka eneo la...

 

9 years ago

GPL

HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM

 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia umati wa wananchi katika mkutano wake wa kampeni aliofanya jana katika eneo la Msasani jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.  Wananchi wakimshangilia mgombea ,wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, alipohutubia mkutano wa kampeni katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam, jana.… ...

 

9 years ago

Michuzi

mama salma kikwete anadi wagombea ubunge na udiwani kata ya ubungo jijini dar es salaam

 Jijini Dar es Salaam wakati wa Kampeni ya kumnadi Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma Kikwete,akizungumza na wakazi wa Kata ya Makurumla Magomeni mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo,Didas Masaburi na Diwani wa kata hiyo Rajabu Hassani  Mjumbe wa NEC –CCM Lindi Mjini ,Mama Salma Kikwete,akizungumza na kuonesha Irani ya uchaguzi wakazi wa Kata ya Makurumla Magomeni Jijini Dar es Salaam wakati wa Kampeni ya kumnadi mgombea wa Ubunge Jimbo la Ubungo,Didas Masaburi na Diwani wa kata hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani