ISOME BARUA YA HUZUNI YA PETR CECH KUWAAGA CHELSEA
Arsenal wamemsainisha mkataba golikipa Petr Cech kutoka Chelsea, Cech mwenye miaka 33 ametua Emirates Stadium kwa mkataba wa muda mrefu (undisclosed) baada ya kudumu Chelsea kwa muda wa miaka 11.
Baada ya kumwaga wino kujiunga na Arsenal, Cech ameandika barua ya kuwaaga mashabiki wa Chelsea kwa ushirikiano waliompa kwa kipindi chote alichokuwa anaitumikia klabu hiyo.Hii hapa ni barua yake….Sikuwahi kufikiria kama ingekuja kutokea sikumoja nitakuja kusema kwaheri kwenye klabu ya Chelsea. Klabu...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Africanjam.ComTHIS IS WHAT PETR CECH SAYS ABOUT CHELSEA PROGRESS
Arsenal star Petr Cech insists former side Chelsea are still favourites for the Premier League
title despite their poor start to the season.
The 33-year-old completed a controversial move to the Emirates this summer when Arsene
Wenger prised the veteran away from Stamford Bridge in an £11million deal.
Cech’s former side have started the season in poor form and have already lost more games
this season than they did in the entirety of their title-winning campaign in 2014/2015.
However, the former...
10 years ago
BBCSwahili15 May
Petr Cech ruksa kuondoka Chelsea
10 years ago
Africanjam.ComTHE REASON WHY PETR CECH CHOSE NO.33 JERSEY AT ARSENAL
Petr Cech has explained the reasons behind his decision to wear the number 33 jersey at Arsenal.The Czech keeper – who joined from London rivals Chelsea this summer – took to Twitter to clarify his reasons behind the choice, with David Ospina and Wojciech Szczesny also competing for the No1 spot at the Emirates.
It is of course Cech’s age and the Czech Republic custodian also joins Arsenal having played 333 Premier League games for Chelsea.In a subsequent Tweet, Cech also came out with...
10 years ago
GPLPETR CECH ASAJILIWA ARSENAL KWA PAUNI 11
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Wenger amsifu sana kipa Petr Cech
10 years ago
Africanjam.ComROMAN ABRAMOVICH AMRUHUSU PETR CECH KUTIMKIA ARSENAL
Ijumaa iliyopita, Sky Sports walidai kwamba Cech angesaini Emirates siku hiyo, lakini haikutokea.Mashabiki wa Arsenal wamechoka kusikia tetesi inayotangaza kwamba watamsajili golikipa wa Chelsea, Petr Cech, lakini siku ya kufanya hivyo haijulikani.Kwa wiki kadhaa, taarifa zimekuwa zikitoka kuwa Cech anaweza kusaini leo, lakini hiyo leo haifiki.
Hii inazua wasiwasi kama kweli Cech atajiunga na Arsenal majira haya ya kiangazi kwa dau la paundi milioni 11.Hata hivyo, Jose Mourinho hapendi kuona...
9 years ago
Bongo530 Dec
Petr Cech aweka rekodi yake mpya katika ligi ya England
Mlinda mlango wa klabu ya Arsenal Petr Cech ameweka rasmi rekodi mpya ya kuwa kipa aliyecheza mechi nyingi bila ya kufungwa ‘clean sheets’ katika historia ya Ligi Kuu England.
Cech,mwenye miaka 33, amevunja rekodi ya kipa wa zamani David James baada ya kufikisha idadi ya ‘clean sheets’ 170 katika mchezo dhidi ya Bournemouth ambapo Arsenal walishinda kwa magoli 2-0.
Amefikisha idadi hiyo ndani ya michezo 352 dhidi ya 572 ya Davidi James ambaye aliwahi kuzichezea klabu za Liverpool, Aston...
10 years ago
VijimamboJe Wafahamu sifa moja kuu ya Mji wa Dubai?Isome hapa.
9 years ago
Michuzi04 Oct
ISOME HAPA SAFARI NZIMA YA MAISHA YA MAREHEMU MCH.MTIKILA
Imeandaliwa na Mzee wa matukio daima.
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa nchini.
Mtikila alizaliwa mwaka 1950 mkoani Iringa, kusini mwa nchi yetu.(Kwa bahati mbaya, hadi nachapisha uchambuzi huu sikupata taarifa za elimu yake) kwani hakuwa mwepesi kutoa ushirikiano mwezi mmoja uliopita alisafiri kwenda nje ya nchi na kurejea wakati nikiwa katika hatua za mwisho za uhariri.
Pamoja na shughuli za siasa, Mchungaji...