Je Wafahamu sifa moja kuu ya Mji wa Dubai?Isome hapa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-rYDdNnnFyaw/VLlkuFA40oI/AAAAAAAAd9M/FCTQbYjNPKo/s72-c/dubai.jpg)
Hakuna kitu kizuri hapa duniani kama kuwa na uaminifu kwa mtu, na ikitokea Mtu akakuamini basi unatakiwa kufanya juu chini asipoteze uaminifu wake kwako kwa maana uaminifu wake ukipotea basi ni kazi kubwa sana kuurudisha. Uaminifu huo ndio ulioifanya Dubai kuwa Moja Mji hapa Duniani kuaminika.
Hii imetokea Huko Dubai ambapo Sifa moja hii ya Imani imepelekea Dubai kujinyakulia sifa moja tu katika Miji yote Hapa Duniani.Mara baada ya Mtengenezaji wa Filamu kutokea Uingereza katika mitaa ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi04 Oct
ISOME HAPA SAFARI NZIMA YA MAISHA YA MAREHEMU MCH.MTIKILA
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/DJFsfGIfHl1VYZLWRub-AAQP6VIeOueUghiUYxcLPIzWnZZ7OkmOURxTZrMezU4UFBEUwxaqOz7juQjytYVzjQjwN0Hw1DFTud4PfmV9owxJ55dO8Rv0yjo59SF9Ra0WfacyYuWNAchdGIEUCAdK9F14BKoDHDbHxYncgtdqlQ=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2897860/medRes/1137171/-/n3t18t/-/pic+mtikila.jpg?format=xhtml)
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ni Mwenyekiti wa chama cha Democratic Party (DP) ambacho kina usajili wa kudumu hapa nchini.
Mtikila alizaliwa mwaka 1950 mkoani Iringa, kusini mwa nchi yetu.(Kwa bahati mbaya, hadi nachapisha uchambuzi huu sikupata taarifa za elimu yake) kwani hakuwa mwepesi kutoa ushirikiano mwezi mmoja uliopita alisafiri kwenda nje ya nchi na kurejea wakati nikiwa katika hatua za mwisho za uhariri.
Pamoja na shughuli za siasa, Mchungaji...
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa
Leo mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray anasherehehea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa mbalimbali nchini.
Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa na mpenzi wake wa zamani Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray , Chuchu hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi...
9 years ago
BBCSwahili15 Aug
RIPOTI ZA MOJA KWA MOJA ZA MECHI ZA LIGI KUU YA UINGEREZA
11 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog02 Jan
Balozi Seif Iddi awata kuhama wananchi wanaoishi kwenye nyumba kuu kuu za mji Mkongwe
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiangalia nyumba iliyoporomoka dari na kujeruhi wakazi wake watatu hapo Mtaa wa Ukutani Mjini Zanzibar. Kushoto kwa Balozi Seif ni Mmiliki wa Nyumba Hiyo Bwana Mzee Abdulla Juma.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewaagiza wananchi wanaoishi kwenye nyumba mbovu na zile zilizochakaa ndani ya Mji Mkongwe wa Zanzibar wafanye utaratibu wa kuhama kwenye nyumba hizo mapema iwezekanavyo ili kunusuru maisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200218-WA0041.jpg)
BASHUNGWA AIMWAGIA SIFA KIBAHA MJI KWA UWEKEZAJI
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa ametoa rai kwa mamlaka na taasisi zinazohusika na Viwanda likiwemo Shirika la Viwanda Vidogo nchini SIDO, DIT NA NEMC kuwa karibu na wawekezaji kwa ajili ya ushauri wa kitaalamu na mazingira.
Aliyasema hayo ,wakati wa ziara yake ya kikazi ya siku moja katika Halmashauri ya Mji Kibaha ,mkoani Pwani, ambapo pia ameridhishwa kwa namna mji huo unavyotekeleza sera ya uwekezaji wa viwanda kwa vitendo .
![](https://1.bp.blogspot.com/-XVz7lZZ6giM/Xkv7O1KrhqI/AAAAAAALeA4/BT2rSbfkYSoy4NK6IG6lJdqxkP3bwvBOwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200218-WA0041.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PZwJscHtDfk/VPn68XdPE8I/AAAAAAAAXk0/lyIMCRQ_zfQ/s72-c/1.jpg)
KINANA ASEMA UADILIFU NDIO SIFA NAMBA MOJA YA KIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-PZwJscHtDfk/VPn68XdPE8I/AAAAAAAAXk0/lyIMCRQ_zfQ/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-HKv_Gxr_1Zw/VPn670x0abI/AAAAAAAAXks/_SGC-nAj12Q/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-sECUcqfCx_o/VPn68z8wYmI/AAAAAAAAXk4/mlp_1tchIwo/s1600/3.jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Mar
Milipuko miwili yakumba mji moja Nigeria
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s72-c/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
JK alipotua Dodoma kuongoza kikao cha siku moja cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kujadili majina ya walioomba kugombea Uspika
![](http://2.bp.blogspot.com/-CeqftBs_HwI/VkiWx0akE5I/AAAAAAAIF7w/DK8kOBRnYrk/s640/4788748b75d5066858755ac5973e9f2d.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-c1T2y99qqkA/VkiW1el6J9I/AAAAAAAIF74/byI1HWv9iRU/s640/231f052ece9fe2d443699739ec975e0a.jpg)