Italia yaridhishwa na utekelezaji wa miradi
Balozi wa Italia, nchini Luigi Scotto amesema majengo ya Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma yaliyopo chini ya ufadhili wa nchi hiyo ni ya kuridhisha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo04 Dec
UN yaridhishwa na utekelezaji wa miradi yake
MRATIBU wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini (UNDP), Alvaro Rodriguez amesema ameridhishwa na utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika hilo katika maeneo mbalimbali mkoani Singida kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita.
5 years ago
MichuziCCM yaridhishwa na utekelezaji wa Ilani kata ya Utengule,Makambako
Uongozi wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe umesema umeridhishwa na utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho katika kata ya Utengule halmashauri ya mji wa Makambako,kwa kipindi cha miaka mitano kuanzia 2015-2020.
Hayo yamesemwa na mjumbe wa kamati ya siasa ya wilaya ya Njombe ambaye ni mwenyekiti wa halmashauri ya mji wa Makambako HANANA MFIKWA wakati akipokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani hiyo,ambapo amesema,miradi yote ikiwemo ya afya,miundombinu ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s72-c/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YARIDHISHWA NA KASI UTEKELEZAJI MRADI WA UMEME WA JULIUS NYERERE
![](https://1.bp.blogspot.com/-NqHBDzUcZJk/XmM2YtPXebI/AAAAAAALhqk/x4rkyzZIuWIhLG86pFQ6ptVzx7S05VomACLcBGAsYHQ/s640/963931f9-fe8e-4984-ab0c-c8ee1bd6686f.jpg)
…………………………………………………………………Na Farida Said, Morogoro
Kamati ya Kudumu ya Bajeti ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepewa wasilisho juu ya maendeleo ya utekelezaji mradi Julius Nyerere (Mw 2115).
Wasilisho hilo limetolewa Mkoani Morogoro kwenye ukumbi wa bwalo la JKT Umwema na kuhudhuriwa na Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200611-WA0021.jpg)
CCM BAGAMOYO YARIDHISHWA NA KAZI YA UTEKELEZAJI WA ILANI ILIYOFANYWA NA MGALU KIPINDI CHA MIAKA MITANO
![](https://1.bp.blogspot.com/-aijc8BHZnRU/XuJWKJZ4EJI/AAAAAAALteU/DOZf3LvFrmgTRIwmDG6t2UosFZIBJRPvQCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200611-WA0021.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/IMG-20200611-WA0020.jpg)
****************************
NA MWAMVUA MWINYI, PWANI CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimeelezea kuridhishwa na kazi kubwa inayofanywa na Mbunge wa Viti Maalumu mkoani hapo ,Subira Mgalu.
Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa chama hicho wilayani hapa Alhaj Abdul Sharifu, katika Baraza la Jumuia ya Wanawake (UWT) lililofanyika Msata, ambapo Mgalu na Madiwani wa Viti Maalumu walisoma taarifa za utekelezaji wa kazi zao, katika kipindi cha miaka...
10 years ago
MichuziKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Katiba,sheria na Utawala yaridhishwa na miradi ya TASAF Mbarali
Wakizungumza na walengwa hao katika kijiji cha Madabaga wabunge hao wameonyesha kuridhishwa na mafanikio makubwa yaliyoanza kupatikana baada ya walengwa kupata fedha chini ya utaratibu wa uhawilishaji fedha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4lVfDWGWmQc/XvSVMYA5LqI/AAAAAAALvYM/zUCrBG8RHjEia9LOLSs-MIQL_q7CuYTSwCLcBGAsYHQ/s72-c/4-31-768x512.jpg)
TAMISEMI YARIDHISHWA NA MATUMIZI MAZURI YA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI KATIKA MIRADI YA MAENDELEO MANISPAA YA KINONDONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-4lVfDWGWmQc/XvSVMYA5LqI/AAAAAAALvYM/zUCrBG8RHjEia9LOLSs-MIQL_q7CuYTSwCLcBGAsYHQ/s640/4-31-768x512.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5-2-1-1024x683.jpg)
Meneja wa TATURA Leopord Runji akimuonesha Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege hatua inayoendelea katika ujenzi wa mfereji wa kupitisha maji.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/5-22-1024x683.jpg)
Naibu Waziri wa Tamisemi Mhe. Josephat Kandege pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe.Daniel Chongolo wakiangalia karavati za kuweka kwenye mifereji ya kupitisha maji.
…………………………………………………………..
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe....
10 years ago
Dewji Blog01 Nov
NHC watathmini utekelezaji wa ujenzi wa miradi
Meneja wa NHC Mkoa wa Tabora, Erasto Chilambo akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Isikizya zilizopo wilayani Uyui mkoani Tabora kwenye semina ya mameneja na wakurugenzi wa NHC inayoendelea katika Hoteli ya Tanga Beach Resort.
Meneja wa NHC Mkoa wa Dodoma, Itandula Gambalagi akiwasilisha ripoti ya utekelezaji wa mradi wa nyumba za gharama nafuu za NHC Mnyakongo, Kongwa Dodoma kwenye semina ya mameneja na wakurugenzi wa NHC inayoendelea katika Hoteli...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s72-c/IMG-20150122-WA007.jpg)
KAMATI YA BUNGE YA KILIMO, MAJI NA MIFUGO YARIDHISHWA NA MIRADI YA MAJI ILIYOTEKELEZWA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-xv_-dO3pgLU/VMEKeZpu12I/AAAAAAAG-9M/ZfJESX3aNBE/s1600/IMG-20150122-WA007.jpg)
Kamati ya Maji, Mifugo na Uvuvi imeridhishwa na miradi mbalimbali ya Maji iliyotekelezwa kwa kipindi cha miaka 10 ya kuwapatia wananchi huduma ya Majisafi na kupunguza tatizo la uhaba wa Maji hapa nchini.
Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa kamati ndogo ya Maji Mh. Selemani Kakoso Wakati wa ziara ya kamati katika kuangalia...