JAJI MKUU MSTAAFU MHE. AUGUSTINO RAMADHANI ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA ADDIS ABABA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v5j-7pZP6so/U2qV-MIkhNI/AAAAAAAFgJo/kX6coMRYZcw/s72-c/unnamed+(4).jpg)
Jaji Mkuu Mstaafu, Mhe. Augustino Ramadhani (wa pili kutoka kushoto) akiwa na Mhe. Naimi Aziz, (wa pili kulia) Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia. Wa kwanza kushoto ni Bw. Nsavike Ndatta, Afisa Mambo ya Nje Mkuu wa Ubalozi, na wa kwanza kulia ni Bw. Eutace Lubuva, Afisa Mambo ya Nje Mkuu wa Ubalozi. Jaji Mstaafu Mhe. Augustino Ramadhani, amealikwa kutoa mada katika mkutano wa Umoja wa Afrika wa wataalam wa Sheria unaofanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-e0d8fddpW1Y/Xq1RDZcZbYI/AAAAAAALo1Q/RXet2-3e9YYExqZbVWuaf2_P6BeA0N7FQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-02%2Bat%2B13.52.15.jpeg)
5 years ago
MichuziHistoria Fupi ya Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani
Na Alban AbdallahKwa masikitiko makubwa sana, tumepata taarifa ya msiba wa Kaka wa makaka, Retired Chief Justice, Brigadier general, the most famous Zanzibarian Christian in the Tanzanian Government History, Reverend Cannon, father, son, friend, and national hero, Augustino Ramadhani. Tunataka kutowa pole kwa mkewe, wanawe, wajukuu, na family ya Ramadhani nzima. This is a monumental loss.
Kwa niaba ya familia yangu, nataka kumzungumzia Justice Augustino Ramadhani kama nilivomfahamu mimi....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)
JAJI MKUU MSTAAFU AUGUSTINO RAMADHANI KUZIKWA JUMAMOSI
![](https://1.bp.blogspot.com/-_ZJOiM3AL7c/XqpnNtb0R5I/AAAAAAAA_s4/ydYuZNhiHtggsRlU5IUbutoRptrnzSfHQCNcBGAsYHQ/s400/WhatsApp-Image-2020-04-27-at-23.55.36-571x400.jpeg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s72-c/ere.jpg)
Jaji Mkuu mstaafu Augustino Ramadhani ajitosa kuwania urais kwa tiketi ya CCM
![](http://3.bp.blogspot.com/-clrAYOLSQ-Y/VYGxE3ZxKNI/AAAAAAAAv3w/aGPhKPNvSCI/s640/ere.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZCRA-tSzyHY/XqfsTTx1ShI/AAAAAAALocY/44P8byYuKoQfgHLnuvFZ7PDHkcizN4VtgCLcBGAsYHQ/s72-c/47410160_303.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YzmP8xqILFM/VHP9m7Ti92I/AAAAAAAGzO4/7j-4JWRV_zg/s72-c/unnamed%2B(91).jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA, WASHINGTON DC
Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Mohamed Chande Othman ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC, Marekani, na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande, ambaye yuko Marekani katika ziara ya kikazi na ujumbe wake, aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina...
10 years ago
VijimamboMHE. JAJI MKUU WA TANZANIA MOHAMED CHANDE OTHMAN ATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA LUSAKA ZAMBIA
MHE. JAJI MOHAMED CHANDE OTHMAN AKIWA NA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA MHE. GRACE J. MUJUMA
MHE JAJI MKUU AKIONGEA NA WAFANYAKAZI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA WAKIWEMO MHE BALOZI GRACE J. MUJUMA, KAIMU MKUU WA UTAWALA NA KONSULA RICHARD LUPEMBE (HAYUPO PICHANI) NA MWAMBATA FEDHA HUDDY KIANGI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI JAJI MKUU AKIELEZA JAMBO
JAJI MKUU WA TANZANIA MHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN ALIKUWA NA ZIARA YA KIKAZI NCHINI ZAMBIA KUANZIA TAREHE 2 HADI 6 MEI 2015 KWA...
10 years ago
VijimamboMHE. MOHAMED CHANDE OTHMAN, JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA UBALOZI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WASHINGTON DC 19/11/2014
Mhe. Mohamed Chande Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania ametembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliopo Washington DC na kufanya mazungumzo na wafanyakazi wa Ubalozi huo Ubalozini hapo Tanzania House. Katika mazungumzo yake hayo, Mhe. Chande aliwaeleza watumishi wa Ubalozi namna mihimili mitatu ya dola inavyofanya kazi pamoja na mipaka yake. Alibainisha kwamba Tanzania inajivunia mahusiano mazuri yaliyopo baina ya mihimili hiyo ambayo kutokana na misingi thabiti imekuwa ikifanya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6WOuK1u7mqc/U6KVXKrRENI/AAAAAAAFrns/en4GoFm92PI/s72-c/unnamed.jpg)
MHE. TEDROS ADHENOM, WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA ETHIOPIA ATEMBELEA KAMBI YA WANARIADHA WA TANZANIA ADDIS ABABA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6WOuK1u7mqc/U6KVXKrRENI/AAAAAAAFrns/en4GoFm92PI/s1600/unnamed.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania