James Horner afariki ajalini
James Horner, mtunzi nguli aliyetwaa tuzo ya Oscar katika filamu maarufu ulimwenguni ya Titanic,amefariki dunia mjini California
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Oct
Mtikila afariki dunia ajalini
NA Waandishi Wetu, Chalinze na Dar
MWANASIASA mkongwe na Mwenyekiti wa Chama Cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila (62) amefariki dunia kwa ajali ya gari katika Kijiji cha Msolwa, Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, barabara Kuu ya Morogoro.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Pwani, Jafary Ibrahimu alisema ajali hiyo ilitokea saa 11 alfajiri usiku wa kuamkia jana alipokuwa akitoka mkoani Njombe kurejea Dar es Salaam.
“Ni kweli Mtikila amefariki dunia saa 11 alfajiri katika eneo la Msolwa...
11 years ago
GPLMMOJA AFARIKI DUNIA, WATANO WAJERUHIWA AJALINI TARIME LEO
11 years ago
Mwananchi26 Dec
James Kisaka afariki dunia
11 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZ........: GEORGE TYSON HATUNAYE TENA,AFARIKI DUNIA AJALINI MKONI MOROGORO

GEORGE TYSON AMEFIKWA NA MAUTI HAYO USIKU HUU BAADA YA KUPATA AJALI MBAYA SANA KUTOKANA NA GARI WALIOLOKUWA WAKISAFIRIA KUTOKA MKOANI DODOMA KUJA DAR ES SALAAM,WAKITOKEA KWENYE HAFLA YA KUADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KIPINI CHA TELEVISHENI CHA THE MBONI SHOW,KUPINDUKA MARA KADHAA KUTOKANA NA KUPASUKA KWA MIPIRA...
5 years ago
Bongo514 Feb
Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia
Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.
Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.
James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.
Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”
Aliongeza: “Sidhani...
10 years ago
Michuzi
BREAKING NYUZZZZZ......: Mbunge wa Viti maalumu CUF, MH. Clara Mwatuka Afariki Dunia ajalini jioni ya leo

Gari ilikuwa inaendeshwa na dereva wake,ambaye inasemekana ni mwanae.Maiti ipo Hospitali ya Rufaa ya Ndanda, Mkoani Mtwara.
Globu ya Jamii inaungana na Familia ya Marehemu katika kipindi hiki kigumu, na tunamuombea kwa...
11 years ago
GPL
RICHARD KIEL 'MENO YA CHUMA' WA JAMES BOND AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Watu 11 wafa ajalini
11 years ago
Tanzania Daima02 Jan
Daktari afa ajalini
DAKTARI aliyefahamika kwa jina moja la Petu wa Hospitali ya Kisarawe, amefariki dunia juzi baada ya kugongwa na gari, eneo la Pugu-Kinyamwezi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ilala, Marietha Minangi,...