Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


January amwaga sera zake kama atakuwa Rais

January MakambaNAIBU Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, amebainisha sera zake pindi Watanzania watakapompatia nafasi ya kuiongoza Tanzania na kusisitiza kupambana na rushwa, urasimu, udini na ajira.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

UCHAGUZI DMV: Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais,Salima Moshi anadi sera zake

Mimi Salima Moshi,Mgombea wa Nafasi ya makamo wa Rais DMV,Napenda kuwa hakikishia kuwa tutakuwa bega kwa bega,tutashirikiana kwa pamoja ili kuendeleza Jumuia yetu hapa DMV.
SITOJITOA kamwe katika dhamana mtakayonikabidhi kama ilivyotokea kwa mgombea mwenzangu tarehe 18 July alijitoa Ubalozini mbele ya viongozi na kusema anajitoa hawezi kugombea tena na kuniendorse mimi.
 Hivyo mtu akijitoa Hataki lawama ina maana kazi haiwezi Msije mkamlaumu,tumeshuhudia wagombea aina hii,hatutaki kufanya...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AMWAGA SERA YA MATUMAINI MAPYA SINGIDA

  Capt Mstaaf, John Chiligati aliyekuwa Mbuge wa Manyoni akipunga mikono baada ya kumpigia debe mgombea mpya ubunge wa jimbo hilo, Daniel Mtuka. Chege na Temba wakikamua.…

 

9 years ago

MillardAyo

Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka …

Headlines za Jose Mourinho kuhusishwa kukaribia kujiunga na klabu ya Manchester United bado zinazidi kushika kasi sehemu mbalimblia, kwa wapenzi na mashabiki wa soka duniani kote kwa sasa vijiwe vyao mara nyingi mada kuu ni Louis van Gaal na Jose Mourinho. December 25 Mtu wangu wa nguvu nimekutana na list kutoka sokka.com ya wachezaji watano wa […]

The post Wachezaji watano ambao kama Jose Mourinho atakuwa kocha wa Man United watapenda kuondoka … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu

December 30 mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayekipiga katika klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri wa kidemokrasia ya Kongo Mbwana Samatta amekiri kuwa katika harakati za mwisho za kwenda kucheza soka barani katika klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji. Samatta ambaye December 30 alikiri kuwa bado hajasaini na Genk kama inavyoripotiwa ila mambo yanaenda vizuri, […]

The post Kama Samatta atajiunga na KRC Genk, atakuwa kajiunga na klabu ambayo imechezewa na mastaa hawa maarufu appeared first on...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yafaa kueleza sera zake za uchumi

Katika mkutano wa G20 Uchina yaambiwa iwe wazi kuhusu sera zake za uchumi ili kuzuwia misukosuko katika masoko ya fedha dunaini

 

9 years ago

Vijimambo

ASKOFU KILAINI; SIFA KUU NNE ZA MGOMBEA AMBAYE ATAKUWA RAIS WA NCHI:



Askofu wa kanisa Katoliki,siku ya trh 26-09-2015 alinukuliwa akitaja sifa za mgombea anaepaswa kuchaguliwa kuwa Rais wa awamu ya tano Tanzania.1. Mwadilifuamesema nchi yetu ilipofika inahitaji mtu/rais ambaye anao uadilifu wa kweli na wa hali ya juu ili kuleta uongozi uliojaa uadilifu na nidhamu katika kuhakikisha kuwa watanzania wananufaika na kufurahia nchi yao na mambo yake yote.2. Uchapa kazi kwa vitendo na Nidhamu,nchi hii inayo rasilimali za kutosha ambapo zikitumika vyema watanzania...

 

9 years ago

MillardAyo

Magazeti ya Tanzania January 1, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho

Leo January 1, 2016 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia ® AyoTV:Dakika 10 za Prof. Lipumba kuhusu Znz na mengine ya nchi Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […]

The post Magazeti ya Tanzania January 1, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Magazeti ya Tanzania January 4, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho

Leo January 4, 2016 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.   Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line yatiGO andika ‘AYO‘ […]

The post Magazeti ya Tanzania January 4, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Magazeti ya Tanzania January 3, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho

Leo January 3, 2016 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia. AyoTV:Harmonize na mashabiki wake kwenye stage Dodoma Jan 1 2016 Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard […]

The post Magazeti ya Tanzania January 3, 2016 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho appeared...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani