JANUARY MAKABA ASHINDA UCHAGUZI WA NDANI YA CCM NA KUWA MGOMBEA WA UBUNGE BUMBULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilo0aMT-weA/Vb5Qiq5ENtI/AAAAAAAAv3Y/zWuAlpqX1PE/s72-c/January-Makamba.jpg)
Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.
Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
January Makamba ashinda Uchaguzi wa ndani ya CCM na kuwa Mgombea wa Ubunge Bumbuli
Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.
Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa…..
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ilo0aMT-weA/Vb5Qiq5ENtI/AAAAAAAAv3Y/zWuAlpqX1PE/s72-c/January-Makamba.jpg)
January Makaba ashinda kura za maoni CCM, Bumbuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilo0aMT-weA/Vb5Qiq5ENtI/AAAAAAAAv3Y/zWuAlpqX1PE/s640/January-Makamba.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mhyplh-8XU8/Vb5RDLbFlxI/AAAAAAAAv3g/UK4LqrASfVw/s640/11822402_879964805411918_167515375971033355_n.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Mtoto wa Mama Ntilie Jumaa Aweso ashinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani CCM, Ubunge Pangani
Ndugu Jumaa Aweso.
Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga
Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Katibu wa CCM wilayani Pangani, Bi. Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Mtoto wa Mama Ntilie Jumaa Aweso ashinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani CCM Pangani
Ndugu Jumaa Aweso.
Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga
Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo katibu wa CCM wilayani Pangani Bi Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea hao.
Uchaguzi huo uliokuwa na...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s72-c/19.jpg)
KAMATI KUU YA CCM YAMTEUA NDUGU DEOGRATIUS NGALAWA KUWA MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA LUDEWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mno-4_x2ihI/VkSZS63QbxI/AAAAAAAArQs/y01SqCqITHw/s640/19.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM iliyofanyika leo tarehe 12 Novemba, 2015 chini ya Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imemteua Ndugu Deogratius Ngalawa kuwa mgombea wake wa Ubunge katika Jimbo la Ludewa mkoani Njombe.
Ndugu Ngalawa ameteuliwa kugombea nafasi hiyo ya Ubunge baada ya kushinda kura za maoni zilizofanyika Novemba 10, 2015.Taarifa Rasmi - Ubunge Ludewa-
11 years ago
Michuzi09 Mar
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI
Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s72-c/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Uchaguzi wa Burundi: Mgombea wa chama tawala Everiste Ndayishimye ashinda urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-FyALJDbAFis/XswPi0RdzvI/AAAAAAALrfE/coqd3YIPn-Ed7euQ0l60HVQ0R8Si292IwCLcBGAsYHQ/s640/_112460099_067a3e47-fc1e-44c4-a3d0-f5b11828fdf8.jpg)
Jenerali mstaafu ameshinda kwa 68.72% ya kura zilizopigwa, wakati Agathon Rwasa, kutoka chama kikuu cha upinzani akipata 24.19% ,matokeo yaliyotangazwa na tume hiyo hii leo.
Kwa kuwa Ndayishimiye amepata zaidi ya 50% ya kura, ameepuka kufanyika kwa duru ya pili ya uchaguzi.
Haya ni matokeo ya awali ya uchaguzi , ambapo matokeo ya mwisho...