Mtoto wa Mama Ntilie Jumaa Aweso ashinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani CCM, Ubunge Pangani
Ndugu Jumaa Aweso.
Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga
Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM katika kinyang’anyiro cha Ubunge.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo Katibu wa CCM wilayani Pangani, Bi. Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Mtoto wa Mama Ntilie Jumaa Aweso ashinda kwa kishindo uchaguzi wa ndani CCM Pangani
Ndugu Jumaa Aweso.
Na Mohammed Hammie, Pangani, Tanga
Mtoto wa mama ntilie mwenye uzao halisi kutoka wilayani Pangani mkoani Tanga, Ndugu Jumaa Aweso (pichani) ameibuka na ushindi wa kishindo katika uchaguzi wa ndani wa chama cha mapinduzi CCM.
Akitangaza matokeo ya uchaguzi huo katibu wa CCM wilayani Pangani Bi Zaina Mlawa amesema kuwa, katika uchaguzi huo uliowashirikisha wagombea wapatao kumi na moja, Ndugu Aweso amekuwa wa kwanza miongoni mwa wagombea hao.
Uchaguzi huo uliokuwa na...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
January Makamba ashinda Uchaguzi wa ndani ya CCM na kuwa Mgombea wa Ubunge Bumbuli
Mh January amepewa tena ridhaa ya kuendelea kugombea Jimbo la Bumbuli na wana CCM katika uchaguzi uliofanyika ndani ya chama na Kuibuka kinara kwa kura nyingi na zakishindo dhidi ya wagombea wenzake.
Hivi Ndivyo Matokeo yalivyokuwa…..
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ilo0aMT-weA/Vb5Qiq5ENtI/AAAAAAAAv3Y/zWuAlpqX1PE/s72-c/January-Makamba.jpg)
JANUARY MAKABA ASHINDA UCHAGUZI WA NDANI YA CCM NA KUWA MGOMBEA WA UBUNGE BUMBULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-ilo0aMT-weA/Vb5Qiq5ENtI/AAAAAAAAv3Y/zWuAlpqX1PE/s640/January-Makamba.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Mhyplh-8XU8/Vb5RDLbFlxI/AAAAAAAAv3g/UK4LqrASfVw/s640/11822402_879964805411918_167515375971033355_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s72-c/IMG-20140317-WA0001.jpg)
CCM YASHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI MDOGO WA UBUNGE JIMBO LA KALENGA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OQNqlept6ZA/UyaVs2pHqnI/AAAAAAACcqs/7XjhzB477YE/s1600/IMG-20140317-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-vhJuSM-SSJU/UyaNwBA1W-I/AAAAAAACcqU/-dpC61Zc4ps/s1600/IMG_0099.jpg)
11 years ago
Michuzi07 Apr
RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE WA JIMBO LA CHALINZE
![](https://2.bp.blogspot.com/-K7hEfHq8qac/U0GqM21QUPI/AAAAAAABeag/fu28H1wc3cE/s1600/IMG_7134.jpg)
Na John Bukuku Ridhiwani Kikwete aliyekuwa mgombea ubunge uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kupitia CCM ameibuka kidedea kwa asilimia 86.61 katika uchaguzi huo kwa kuwamwaga wagombea wengine kutoka vyama vinne vya upinzani.
Matokeo hayo rasmi yametangazwa usiku wa kuamkia leo April 7, 2014 majira ya saa nane usiku katika shule ya sekondari Chalinze na Msimamizi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s72-c/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
SUGU ASHINDA KESI DHIDI YA MAMA MTOTO WAKE FAIZA, MAHAKAMA YAAMUA APEWE MTOTO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ay_N8iFO_cs/VYpB7K-SYqI/AAAAAAABQjs/z-sMB7LX0Xw/s640/Sugu%2Bna%2BSasha.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TLBch-xO68U/VYpB4vR4EdI/AAAAAAABQjk/mStD8WmafcU/s640/Faiza%2BAlly%2Bna%2BSasha.jpg)
Hiki ndicho amekiandika...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Filamu ya Aisha yazinduliwa kwa kishindo wilayani Pangani
Filamu iliyopewa jina la AISHA imezunduliwa rasmi siku ijumaa ya tarehe 31/7/2015 wilayani Pangani chini ya shirika lisilo la kiserikali la UZIKWASA.
Aisha ni filamu ya tatu katika mfululizo wa filamu za UZIKWASA zikiangazia aina mbali mbali za unyanyasaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto wa kike. Filamu hizi ni ni sehemu mojawapo tu ya njia za mawasiliano katika kampeni shirikishi-jamii ya mabadiliko ya tabia inayofahamika kama ‘BANJA BASI’!, Pangani, Tanga.
Kabla ya filamu ya Aisha...
10 years ago
Dewji Blog28 Jul
Kampeni za Udiwani ndani ya CCM Kata ya Magomeni zaanza kwa kishindo
Katibuu Mwenezi wa CCM Kata ya Msasani, Bw. Andrew Mangole (kulia) akiwaomba wana CCM kuachana na makundi na baadala yake wakijenge chama katika misingi imara na kuibuka na ushindi hapo baadae katika uchaguzi Mkuu. (Picha zote na Andrew Chale, modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Magomeni-Kinondoni) Kampeni za kura za maoni kwa wagombea Udiwani ndani ya Cha Cha Mapinduzi (CCM) zimepamba moto ambapo kila mgombea amejitokeza na kujinadi mbele ya wanachama ili achaguliwe kukiwakilisha...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iSIwRpUakvw/UxjPISN40dI/AAAAAAACbwc/6w33AnkAM48/s72-c/IMG_7253.jpg)
KAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA,CCM YAJIDHATITI KWA USHINDI WA KISHINDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-iSIwRpUakvw/UxjPISN40dI/AAAAAAACbwc/6w33AnkAM48/s1600/IMG_7253.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-z-DRMTHbUps/UxjQqFecYfI/AAAAAAACbw0/1mDAN8ZZQoI/s1600/IMG_7176.jpg)