Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jasusi wa Korea Kusini ajitoa uhai?

Mfanyikazi wa shirika la ujasusi la Korea Kusini amepatikana akiwa amekufa katika kile kinachotajwa kuwa alijitoa uhai.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mpenzi wa Mick Jagger ajitoa uhai

L'Wren Scott, amepatikana akiwa amefariki nyumbani kwake mjini New York, Marekani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI: UHAI WA BINADAMU UNA THAMANI KUBWA KULIKO UHAI WA WANYAMAPORI

SERIKALI imetolea ufafanuzi wa kauli iliyotolewa na  baadhi ya Wananchi  wanaodai kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii imekuwa ikithamini uhai wa wanyamapori kuliko uhai wa binadamu.
 Akizungumza na viongozi wa vijiji vitano vinavyopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti katika wilaya ya Serengeti mkoani Mara, Constantine Kanyasu amesema  uhai wa binadamu una thamani kubwa na kamwe hauwezi kufananishwa na uhai  wa wanyamapori 
Amesema licha ya  kuwa  binadamu anaaminika kuwa akili kuliko...

 

10 years ago

BBCSwahili

Korea ya Kusini yawashikilia wamrekani

Raia watatu wenye asili ya Marekani,ambao wanashikiliwa Korea ya Kusini,wameomba usaidizi wa kuachiliwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Algeria imelaza Korea Kusini 4-2

Algeria imeilaza Korea Kusini 4-2 katika mechi ya kufa au kupona na kuwa timu ya kwanza Afrika kufunga mabao 4

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wazee wa Korea Kusini

Umasikini na changamoto za maisha zawalazimu wazee wa umri wa miaka 71 kufanya ukahaba Korea Kusini

 

10 years ago

Vijimambo

Magereza ya Korea Kusini yanatisha

Kamati ya haki za binadamu ya Umoja wa mataifa imeidhinisha azimio linaloliomba baraza la usalama la Umoja huo kuwakilisha malalamiko kuhusu haki za binadamu nchini Korea Kaskazini kwa mahakama ya kimataiafa ya uhalifu.

Kamati hiyo imepitisha hoja ya kufanywa uchunguzi dhidi ya tuhuma za uhalifu dhidi ya binaadamu nchini Korea Kaskazini.

Ripoti ya tume ya uchunguzi ya umoja huo ilitangaza mapema mwaka huu kwamba kuna ukiukaji mkubwa wa haki za binaadamu Korea kaskazini kushinda muda, uzito na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani